Hivi naweza kujenga nyumba kwa mshahara wa laki 5 kwa mwezi?

Hivi naweza kujenga nyumba kwa mshahara wa laki 5 kwa mwezi?

Chukua huo mkopo wa 15M kisha nenda na 5M huko Sumbawanga ndani ndani kodi shamba heka 10 piga kilimo cha mahindi. Hiyo 5M inatosha kabisa kwa heka 10 bila presha, ukitaka connection ya shamba nicheki. Hiyo 10 iliyo baki fuga kuku wa kisasa wa mayai (layers) anza na vifaranga 500, hiyo pesa inatosha kuwahudumia mpaka wanaanza kutoa mayai. Baada mwaka anza kujenga nyumba ya ndoto yako, kila la kheri.
 
Mi nakushauri kujenga kisiwe kipaombele kwa sasa. Fanya uwekezaji wenye tija na wa uhakika like shamba kwa maana ya kilimo cha umwagiliaji na ufugaji. Kujenga ni kudidimiza hela mkuu, utamaliza ujenzi halafu uishi maisha ya kishetani mpaka uichukie hiyo nyumba. Kopa wekeza kwenye ardhi. Na sikushauri sana kufanya biashara coz kuna vilio vingi sana kwa watumishi waliokopa na wakapeleka kwenye biashara.
 
Mbona naona kama nimekuja kuwasindikiza walimwengu? Age 30, kazi mshika chaki, familia na mke mtoto mmoja, elimu degree, uwezo wa kukopeshwa million 15, nina miaka 2 kazini,
Naweza kujenga nyumba? Au niachane na pressure za kujenga? Niende nikalime? Naona Kama nawasindikiza wanadamu hivi. Sioni nikijenga kabisa.
Unanikumbusha mm mwaka jana presha ya kutaka kujenga ilikuwq kubwa sana kwenye mtaa ninaoishi. Nilpohama na kuhamia mtaa mwingine hata bei ya tofali nikaisahau
 
Cheki hii ng'ombe ndio mnasababisha kada ya elimu ionekane ya kijinga wakati nyie ndo wajinga.

Haya chukua maarifa ya Bure hapa kiazi ww
1. Usikope pesa kubwa Kwa ajili ya kujenga
2. Usikope pesa Kwa ajili ya kuanzisha biashara

Kwa kuwa una take home ya 500k
*Make saving ya 250k hadi 300k each month
  • Fanya Kwa miaka 2 na HAPO utatengeza almost 6M saving.
  • Anza projet au biashira Kwa kianzio hicho cha 6M huku ukiwa na full salary yako inakupa mahitaji yako na familia yako.

Baada ya miaka miwili kupita na Kwa kuwa Bado una salary yako ipo full, kopa 5M tu Kwa makato ya miaka 2 tu ili kupunguza mzigo wa riba na kukaa na deni Kwa muda mrefu then nunua kiwanja Kisha kausha. Deni likiisha Anza ujenzi kupitia salary yako.

Za kuambiwa changanya na zako kiazi ww.
 
Cheki hii ng'ombe ndio mnasababisha kada ya elimu ionekane ya kijinga wakati nyie ndo wajinga.

Haya chukua maarifa ya Bure hapa kiazi ww
1. Usikope pesa kubwa Kwa ajili ya kujenga
2. Usikope pesa Kwa ajili ya kuanzisha biashara

Kwa kuwa una take home ya 500k
*Make saving ya 250k hadi 300k each month
  • Fanya Kwa miaka 2 na HAPO utatengeza almost 6M saving.
  • Anza projet au biashira Kwa kianzio hicho cha 6M huku ukiwa na full salary yako inakupa mahitaji yako na familia yako.

Baada ya miaka miwili kupita na Kwa kuwa Bado una salary yako ipo full, kopa 5M tu Kwa makato ya miaka 2 tu ili kupunguza mzigo wa riba na kukaa na deni Kwa muda mrefu then nunua kiwanja Kisha kausha. Deni likiisha Anza ujenzi kupitia salary yako.

Za kuambiwa changanya na zako kiazi ww.
Uko sawa.
 
Back
Top Bottom