Hivi naweza kujenga nyumba kwa mshahara wa laki 5 kwa mwezi?

Hivi naweza kujenga nyumba kwa mshahara wa laki 5 kwa mwezi?

Mil15 ni kiwanja cha dogo langu kanunua pembeni ya jiji ila kwawengine ndo mkopo wa kujengea! Kweli maisha hayapo sawa, ila tukijitahidi kuwekeza tutapata ela nzuri kwa iyo ela utajenga ila utairudisha kwa mateso sana kheri kuwekeza kama unaujasiri kanunue ata shamba kubwa la miwa ni bora kuliko kujengea
Ushauri mzuri sana, nimeelewa bora nikanunue Hekari 30 nichimbe kisima nianze kilimo serious.
 
Unajenga vizuri,tena nyumba standard kabisa ya kuishi!!
Watu wanajenga Kwa take home ya laki 3 wee unaongelea laki 5,si tajiri kabisa wewe!!!
Kilichopo punguza matumizi,Anza kujikusanya mdogo mdogo mkopo isiwe kipaumbele chako,chukua mkopo ukishasimamisha boma ili ukipaua tu unatia magril unaforce anaingia hivyo hivyo mengine yatajulikana mbele Kwa mbele!!
 
Unajenga vizuri,tena nyumba standard kabisa ya kuishi!!
Watu wanajenga Kwa take home ya laki 3 wee unaongelea laki 5,si tajiri kabisa wewe!!!
Kilichopo punguza matumizi,Anza kujikusanya mdogo mdogo mkopo isiwe kipaumbele chako,chukua mkopo ukishasimamisha boma ili ukipaua tu unatia magril unaforce anaingia hivyo hivyo mengine yatajulikana mbele Kwa mbele!!
Nzuri sana hii, nimeelewa shukrani.
 
Mbona naona kama nimekuja kuwasindikiza walimwengu? Age 30, kazi mshika chaki, familia na mke mtoto mmoja, elimu degree, uwezo wa kukopeshwa million 15, nina miaka 2 kazini,
Naweza kujenga nyumba? Au niachane na pressure za kujenga? Niende nikalime? Naona Kama nawasindikiza wanadamu hivi. Sioni nikijenga kabisa.
Cc. Mpwayungu Village
 
Laki tano nyingi sana mkuu, Kuna akina mama wanajenga kwa kukusanya elfu tano ya Mauzoi ya mihogo na vitumbua tu. Kujenga ni sula la maamuzi magumu tu. Kama wauza K wanajenga , mama ntilie, bodaboda, washona viatu n.k hata wewe Mwalimu unaweza kujenga ukiamua kuacha majungu na Kuisadiia CCM kuendelea kubaki madarakani
 
Unajenga vizuri,tena nyumba standard kabisa ya kuishi!!
Watu wanajenga Kwa take home ya laki 3 wee unaongelea laki 5,si tajiri kabisa wewe!!!
Kilichopo punguza matumizi,Anza kujikusanya mdogo mdogo mkopo isiwe kipaumbele chako,chukua mkopo ukishasimamisha boma ili ukipaua tu unatia magril unaforce anaingia hivyo hivyo mengine yatajulikana mbele Kwa mbele!!
Mkuu kwa dar es salaam au wap tupe location
 
Back
Top Bottom