Yohimbe bark
JF-Expert Member
- Sep 1, 2019
- 2,160
- 5,728
Labda nyumba ya milele
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ushauri mzuri sana, nimeelewa bora nikanunue Hekari 30 nichimbe kisima nianze kilimo serious.Mil15 ni kiwanja cha dogo langu kanunua pembeni ya jiji ila kwawengine ndo mkopo wa kujengea! Kweli maisha hayapo sawa, ila tukijitahidi kuwekeza tutapata ela nzuri kwa iyo ela utajenga ila utairudisha kwa mateso sana kheri kuwekeza kama unaujasiri kanunue ata shamba kubwa la miwa ni bora kuliko kujengea
Usikope na kuipeleka kwenye ujenzi, ujenzi utaishia nusu halafu deni bichiii.....utapata stress hadi nguvu za kiume zikuishe.Million 15 inatosha kujenga mkuu? Au chumba na sebule?
Anawezaje bi mkubwa wakati hela zote za nchi hii mnazifaidi nyie mafisiemu?Unaweza.
Kweli, ushauri mzuri nyumba itatokea kwenye chanzo nitakachokitengeneza.Usikope na kuipeleka kwenye ujenzi, ujenzi utaishia nusu halafu deni bichiii.....utapata stress hadi nguvu za kiume zikuishe.
Waza namna ya kutanua kipato kwanza.
Nzuri sana hii, nimeelewa shukrani.Unajenga vizuri,tena nyumba standard kabisa ya kuishi!!
Watu wanajenga Kwa take home ya laki 3 wee unaongelea laki 5,si tajiri kabisa wewe!!!
Kilichopo punguza matumizi,Anza kujikusanya mdogo mdogo mkopo isiwe kipaumbele chako,chukua mkopo ukishasimamisha boma ili ukipaua tu unatia magril unaforce anaingia hivyo hivyo mengine yatajulikana mbele Kwa mbele!!
Cc. Mpwayungu VillageMbona naona kama nimekuja kuwasindikiza walimwengu? Age 30, kazi mshika chaki, familia na mke mtoto mmoja, elimu degree, uwezo wa kukopeshwa million 15, nina miaka 2 kazini,
Naweza kujenga nyumba? Au niachane na pressure za kujenga? Niende nikalime? Naona Kama nawasindikiza wanadamu hivi. Sioni nikijenga kabisa.
Mkuu kwa dar es salaam au wap tupe locationUnajenga vizuri,tena nyumba standard kabisa ya kuishi!!
Watu wanajenga Kwa take home ya laki 3 wee unaongelea laki 5,si tajiri kabisa wewe!!!
Kilichopo punguza matumizi,Anza kujikusanya mdogo mdogo mkopo isiwe kipaumbele chako,chukua mkopo ukishasimamisha boma ili ukipaua tu unatia magril unaforce anaingia hivyo hivyo mengine yatajulikana mbele Kwa mbele!!
Kama una akiba kafanye hivyo ila usitumie hela ya mkopo,maisha yako yatakua magumu kuliko ugumu wenyewe!!Ushauri mzuri sana, nimeelewa bora nikanunue Hekari 30 nichimbe kisima nianze kilimo serious.
Yes mkuu ata kisipokulipa kwa matarijio ulioweka unaweza kufanya project nyingine maana ardhi ni yakoUshauri mzuri sana, nimeelewa bora nikanunue Hekari 30 nichimbe kisima nianze kilimo serious.
Uje nikupe mifumo ya kuwekeza hio 15M bila kuhitaji usimamizi mkubwa. Mungu akikusaidia na ukawekeza akili na nguvu yako huko, utakuja kunishukuru badae.Shukrani sana.