Kwann kama taifa hatuna mikakati?? Nakasirika sana kuona serikali inadandia treni ya mafanikio ya mpira kwa mbele.
Nchi za Senegal, Mali, na Burkina Faso serikali za nchi hizi zimefanya uwekezaji mkubwa ktk soka. Na ndiyo tunayaona mafanikio yao.
Badala ya kuwategemea vijana waliokulia chai na maandazi, kisha wakaanza na kuvuta bangi kndipo wakajiingiza kwenye mpira, ni vema tuwaandaye tangu utotoni.
Hawa wa sasa hawanyumbuki, hawana nguvu na hata akili ya mpira hawana. Huyo tunayemuita star wetu wa taifa nje ya nchi ni kidampa tu.
Nchi za Senegal, Mali, na Burkina Faso serikali za nchi hizi zimefanya uwekezaji mkubwa ktk soka. Na ndiyo tunayaona mafanikio yao.
Badala ya kuwategemea vijana waliokulia chai na maandazi, kisha wakaanza na kuvuta bangi kndipo wakajiingiza kwenye mpira, ni vema tuwaandaye tangu utotoni.
Hawa wa sasa hawanyumbuki, hawana nguvu na hata akili ya mpira hawana. Huyo tunayemuita star wetu wa taifa nje ya nchi ni kidampa tu.