Mhafidhina07
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 3,340
- 4,659
Wamebakia wanasiasa kubwatuka katiba mpya katiba mpya,wengine fulani katekwa,wengine njaaa,wengine kitukana mitandaoni.
Upande mwengine umoja wa mataifa na waatabu kwa ujumla wameipa mamlaka nchi ya Israel kuvamia eneo lolote kwa mabavu huku wakibakia kuangalia na wengine kukemea/kubweka kama mbwa.
Tunasafari ndefu na hizi soga tunazoita demokrasia,haki za binadamu.
Kwanini Marekani anazisapoti nchi kama Rwanda, Tanzania, Uganda n.k lakini alisambaratisha legency ya Gadafi? Kuna hoja gani ya Demokrasia katika hizi nchi nyengine tofauti na hizi za waarabu au hizi zinazovamiwa na kitupiwa shutuma za ukandamizani wa demokrasia lakini wengine kama Rwanda na Uganda, Tanzania zimebakia huru?
Tueleweke demokrasia ina maama ya soko/uhuru bandia ili kuendeleza unyonyaji.
Upande mwengine umoja wa mataifa na waatabu kwa ujumla wameipa mamlaka nchi ya Israel kuvamia eneo lolote kwa mabavu huku wakibakia kuangalia na wengine kukemea/kubweka kama mbwa.
Tunasafari ndefu na hizi soga tunazoita demokrasia,haki za binadamu.
Kwanini Marekani anazisapoti nchi kama Rwanda, Tanzania, Uganda n.k lakini alisambaratisha legency ya Gadafi? Kuna hoja gani ya Demokrasia katika hizi nchi nyengine tofauti na hizi za waarabu au hizi zinazovamiwa na kitupiwa shutuma za ukandamizani wa demokrasia lakini wengine kama Rwanda na Uganda, Tanzania zimebakia huru?
Tueleweke demokrasia ina maama ya soko/uhuru bandia ili kuendeleza unyonyaji.