Hivi, ndege ya Rais aliyonunua Mkapa iko wapi?


Aaliyah anajua kwann haitumii!
 
Gulfstream ni ndege ya masafa marefu,huwezi kuitumia kwa safari za Dar-Arusha/Zanzibar/Mwanza,anaitumia sana kwa safari za mbali.Imetengenezwa ku-cover long distance bila ya kuongeza mafuta,Gulfstream ina uwezo wa kutoka Dar to London without refueling.Ni sawa na kutumia Gari kama Range Rover Sport,Lamborghin au Bughatti Veyron kutoka Kimara kwenda Kariakoo,sio kwamba halitakwenda litakwenda ila una-underutilize uwezo wa chombo husika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…