Bahati furaha
JF-Expert Member
- Jul 11, 2012
- 3,054
- 1,415
Wakati wa utawala wa awamu ya tatu tulimsikia aliyekuwa waziri wa fedha kipindi hicho akituambia kwamba hata tukila nyasi lazima ndege ya rais itanunuliwa.Kweli ndege hiyo aina ya Gulfstream Aerospace(5H-ONE) ilinunuliwa kwa mabilioni ya shilingi.swali langu ni kwamba,kwanini ndege hiyo haitumiki badala yake naona rais Kikwete anaendelea kutumia ndege ya mwanzo aina ya FOKKER 28(5H-CCM) badala ya hii tuliyonunua mabilioni ya shilingi? Je ndege hiyo ni nzima au mbovu?
Aaliyah anajua kwann haitumii!