Hivi ndio jinsi Kenya itakavyoweza kurudusha uchumi kwa wakenya " through Magufulification of Kenyan Economy"

Hivi ndio jinsi Kenya itakavyoweza kurudusha uchumi kwa wakenya " through Magufulification of Kenyan Economy"

Siifahamu.
Ndio sababu tuko JF tujifunze.
What_are_the_components_of_GDP.jpg
 
View attachment 1232365Kwa haraka tu nikulete nyumbani hapo, piga hesabu zako za Mama Ntilie uniambie ikiwa pia Tz yapika data?
Hapa hesabu zinakubali, Formulae inakubali vizuri tu, lakini tukija Kenya inakubali miaka yote, lakini kuanzia 2015 GDP ni $64B na uchumi ulipanda kwa 5.7%. Swali la kujiuliza ni;

What is 5.7% of 64?

Hahahaha, wadanganyifu wakubwa ninyi, mnaendelea kuaibika. Tatizo mnapenda sana sifa za kijinga.
 
Hapa hesabu zinakubali, Formulae inakubali vizuri tu, lakini tukija Kenya inakubali miaka yote, lakini kuanzia 2015 GDP ni $64B na uchumi ulipanda kwa 5.7%. Swali la kujiuliza ni;

What is 5.7% of 64?

Hahahaha, wadanganyifu wakubwa ninyi, mnaendelea kuaibika. Tatizo mnapenda sana sifa za kijinga.
Ebu piga sawa hapo kwa 2013/2014 na uwe mkweli 😄 unafanya hesabu ya GDP kama ya kuuza Mihogo nyumbani Sinza?
 
Show me how you calculated.
BTW, what's the difference between real and nominal GDP & why do many economists use real GDP to determine the growth of an economy?
Look here
2014 Kenyan GDP was 61.55B, Economy grew by 5.4%. That means in 2015 GDP will be 61.55B + (5.4% of 61.55B) = 64.23B.

2015 GDP was 64.23B, economy grew by 5.7%, therefore 2016 GDP is; 64.23B +(5.7% of 64.23B)= 67.89B

Katika data hapo juu inaonyesha GDP ya Kenya 2016 ni $70.87B. Hiyo data serikali yenu imedanganya, IMF walishapiga kelele kwamba Kenya mnadanganya.
 
Ebu piga sawa hapo kwa 2013/2014 na uwe mkweli [emoji1] unafanya hesabu ya GDP kama ya kuuza Mihogo nyumbani Sinza?
Hahahaha umepatikana wacha kutapatapa, tatizo ni kuanzia 2015 kuelekea 2016.

Kama GDP 2015 ilikua$ 64.23B, na uchumi uliongezeka kwa 5.7%, ambayo ni $3.66B, ukiongeza hiyo $3.66B katika $64.23B utapata $67.89B. Ila GoK inasema ni $70.87B, huo ni uongo.
 
Hahahaha umepatikana wacha kutapatapa, tatizo ni kuanzia 2015 kuelekea 2016.

Kama GDP 2015 ilikua$ 64.23B, na uchumi uliongezeka kwa 5.7%, ambayo ni $3.66B, ukiongeza hiyo $3.66B katika $64.23B utapata $67.89B. Ila GoK inasema ni $70.87B, huo ni uongo.
Niliomba unipigie hesabu ya Tz 2013-2014, jibu ulipata lipi?
 
Tumaliza kwanza na Kenya, tukitoka huko ndio tuelekee Tanzania. Kuhusu Kenya tumekubaliana kwamba kuna udanganyifu hapo 2015 na 2016?
Nikubali nini wakati Formula unatumia ya St Kayumba! Hizi Shule mnafunzwa nini?

The following equation is used to calculate the GDP: GDP = C + I + G + (X – M) or GDP = private consumption + gross investment + government investment + government spending + (exports – imports).
 
Nikubali nini wakati Formula unatumia ya St Kayumba! Hizi Shule mnafunzwa nini?
The following equation is used to calculate the GDP: GDP = C + I + G + (X – M) or GDP = private consumption + gross investment + government investment + government spending + (exports – imports).
This formula is quite fathomable. joto la jiwe is just confused. Kuna formula ya GDP yenyewe na ya GDP growth
 
Tumaliza kwanza na Kenya, tukitoka huko ndio tuelekee Tanzania. Kuhusu Kenya tumekubaliana kwamba kuna udanganyifu hapo 2015 na 2016?
There's no udanganyifu there. Soma komenti ya sinister hapo juu. If you calculate the GDP using that approach the figure you get minus the previous GDP divided by the previous GDP multiplied by a hundred is equal to the GDP growth.
 
Nikubali nini wakati Formula unatumia ya St Kayumba! Hizi Shule mnafunzwa nini?

The following equation is used to calculate the GDP: GDP = C + I + G + (X – M) or GDP = private consumption + gross investment + government investment + government spending + (exports – imports).
Sawa nimekuelewa, sasa kwa kutumia hii formula yako, ninakuomba jibu swali lifuatalo;

GDP 2015 is $64.89B, growth rate is 5.7%, calculate GDP by the end of 2016.
Hahahaha, hahahaha, hahahaha. Usikimbie.
 
Iweje nchi zingine zote inakubali lakini ikifika Kenya inakataa?, tena inakata kuanzia 2015 hadi 2018 pekee lakini miaka mingine yote inakubali?, hahahaha
Seems like you've just invented your own formula. The least we can do now is to wait for the economists to approve it.
Meanwhile, acha tusimame na lile tunaloamini
 
Seems like you've just invented your own formula. The least we can do now is to wait for the economists to approve it.
Meanwhile, acha tusimame na lile tunaloamini
Hahahaha, wenzako wamegundua ukweli wameamua kutoroka. Ulale salama.
 
Back
Top Bottom