Hivi ndivyo Askari Police wa hapa Puerto Rico 'Wanavyoua' Wahalifu ili Kumridhisha Rais baada ya kutokea Tukio baya ambalo Wamelishindwa

Niliuliza maswali mawili

1.) Panya Road wametoa wapi Noah?

2.) Hivi mtu mwenye silaha ya moto anakwambia shuka halafu ushuke na panga?
ukivuta bangi ndo utaelewa kwann unaeza pigana na mtaa akili ikiranduka
 
Wacha wapelekee live ammunition no way hawana Adabu
 
Niliuliza maswali mawili

1.) Panya Road wametoa wapi Noah?

2.) Hivi mtu mwenye silaha ya moto anakwambia shuka halafu ushuke na panga?
Hili linafikirisha sana eti panya road wako kwenye noah halafu wanauwawa wote kweli kuna mambo yanayofanywa na polisi ambayo ni aibu hata kusikiliza kweli mikono ya Polisi imejaa damu na hizi operesheni za kukurupuka maskini jiandaeni kisaikolojia watoto wenu wanakuja kusombwa wawe wahalifu au sio mtajua wenyewe
 
Bila shaka unaongelea yanayoendelea hapa nchini Puerto Rico Mkuu au?
 
Kwani Kazi ya bunduki si kuua jambazi shida nini na hata ukiua jambazi huwezi pata laana.
 
Hakuna mganga asiyemjua mchawi. So police awajakosea, bunduki ndio inaweza kuleta ustaarabu kwenye Jamii, mama mkanye mwanao
 
Hao vijana wanao kaa vijiweni tokea maeneo mengine mtawatambuaje, dawa yao ni kuwapelekea himmars tu , Mungu ndo ataenda kuchuja huko
 
Nimekuelewa sana mkuu
 
Mkuu kwani na Wewe tuko wote hapa nchini Puerto Rico au labda Umechanganya Uzi?

Kama tuko wote turejee tu Tanzania.
Nipo mji wa San Juan hapa walipojaa watoto wa Caribbean flavour.. ningerudi tz lakini hawatoto sio poa Acha nikomae hivyohivyo tuu [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
 
Hao polisi was huko kwenu ni wa ajabu Sana yote wameongea wameshindwa kutuambia ile Noah inamilikiwa na nani au ni wale watoto?

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
JamiiForums Members nimewavulia Kofia kwa Ubobezi Uliotukuka wa kujua Kuufungua Codes. Shikamooni......!!!!!!
 
Halafu unajiita mzee wa medani kwa ufala huu,kila siku mambo ya kike kike tu.[emoji41]
 
Mku hao wa Barabarani ukisema ndio hao ninakukatalia kwani kumbuka maisha yamekuwa magumu kwa wazazi na vijana na haya yote kutokea sio ajabu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…