Hivi ndivyo Askari Police wa hapa Puerto Rico 'Wanavyoua' Wahalifu ili Kumridhisha Rais baada ya kutokea Tukio baya ambalo Wamelishindwa

Hivi ndivyo Askari Police wa hapa Puerto Rico 'Wanavyoua' Wahalifu ili Kumridhisha Rais baada ya kutokea Tukio baya ambalo Wamelishindwa

Kuna waliokamatwa na askari kwa kesi ya uzururaji ahsubuhi na kusekwa rumande!! Kwamba eti wanaweza kuwa panya road [emoji23] [emoji23] [emoji23]!

Nina uhakika asilimia 100% sio wote walio uliwa wanahatia..

Kuna namna nchi tunakosea pakubwa sana bila kuwa na maono ya mbali tutapotea.. kuwasaidia tu ongezeni nguvu kwa wajumbe wa nyumba 10/10 kusanyeni maelezo kupitia huko na hakikisheni vijana wote wote wanajisajili kupitia wajumbe husika na shughuli zao itakuwa ni mwanzo tu.. watakao kaidi hao mnaanza nao taratibu mbiambie kama panya barabara wataendelea kuwepo

Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
Hivi nyie watheenge mnataka serikali ifanyaje heti???
 
Niliuliza maswali mawili

1.) Panya Road wametoa wapi Noah?

2.) Hivi mtu mwenye silaha ya moto anakwambia shuka halafu ushuke na panga?
Nyie ndio wafadhili wakuu wa huo mtandao wa uhalifu, lazima mchukie polisi wakifanya hiyo oparation kuwamaliza
 
Panya road ni vijana wadogo sana, wengi wao ni watoto wa mtaani kwa maana wamekuja kusaka maisha wakitokea mikoani ama wameshindikana majumbani mwao hivyo wameamua kuingia kitaa.
Mchana wanaomba na kuosha vioo vya magari pale ubungo na mwenge, wengine wanazunguka kule feri na coco munawaita beach boy, sijui kama kuna mmoja wetu hapa keshabahatisha kuona wakipigana wenyewe kwa wenyewe baada ya kuzulumiana, hautatizama mara mbili, viwembe, visu na mawe ndio silaha.
Sasa jiulize wakikuvamia wewe kwako unadhani kukucharanga na mapanga kwao ni ishu?
Polisi wasituzuge, hawa watoto wapo na watajibu mapigo muda sio mrefu, ondoeni hawa vijana barabarani, ni bomu.
Mmebakia kukosoa kila kitu mapunguani nyie,polisi wamehamua kudili na hao wahalifu bado mnakosoa wapumbavu nyie
 
Kuna waliokamatwa na askari kwa kesi ya uzururaji ahsubuhi na kusekwa rumande!! Kwamba eti wanaweza kuwa panya road [emoji23] [emoji23] [emoji23]!

Nina uhakika asilimia 100% sio wote walio uliwa wanahatia..

Kuna namna nchi tunakosea pakubwa sana bila kuwa na maono ya mbali tutapotea.. kuwasaidia tu ongezeni nguvu kwa wajumbe wa nyumba 10/10 kusanyeni maelezo kupitia huko na hakikisheni vijana wote wote wanajisajili kupitia wajumbe husika na shughuli zao itakuwa ni mwanzo tu.. watakao kaidi hao mnaanza nao taratibu mbiambie kama panya barabara wataendelea kuwepo

Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app

Cha kushangaza zaidi ni mizungu ya Buza inavyokenua inaposikia kuna wanaoitwa panya road wameuwawa. Bado tunasafari ndefu.
 
Mmebakia kukosoa kila kitu mapunguani nyie,polisi wamehamua kudili na hao wahalifu bado mnakosoa wapumbavu nyie
Kukosoa kwa kujenga.. ili tuwe na amani ya kudumu puerto rico

Imagine unandugu yako unajua ni mlokole kabisa alafu unakuja kuambiwa ameuawa kama panya road.. huoni kama itakuwa ni kidonda kikubwa kwa familia husika?

Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
 
Kukosoa kwa kujenga.. ili tuwe na amani ya kudumu puerto rico

Imagine unandugu yako unajua ni mlokole kabisa alafu unakuja kuambiwa ameuawa kama panya road.. huoni kama itakuwa ni kidonda kikubwa kwa familia husika?

Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
Kwahiyo we chizi ulitakaje? Polisi wasifanye hiyo operation ya kusaka wahalifu???
 
IMG_0503.jpg

wakati afande sasamboma anatutia kamba sakata la gulamabasi,mpokea ripoti aliwaka kwamba "msidhani wana puerto rico ni mapopoma"

sema nini wanangu,kwa namna inji ianvyokwenda kwa sasa,unawezajikuta unakonda ukiwa serious sana[emoji1787]
 
Niliuliza maswali mawili

1.) Panya Road wametoa wapi Noah?

2.) Hivi mtu mwenye silaha ya moto anakwambia shuka halafu ushuke na panga?

Au wenye mammalaka walimaanisha "panyaroad walikutwa na Nguruwe na Mapanga mikononi"
 
Mmebakia kukosoa kila kitu mapunguani nyie,polisi wamehamua kudili na hao wahalifu bado mnakosoa wapumbavu nyie
Aliyekukataza wewe kuendelea kusifia kila kitu ni nani, wewe endelea kusifia acha wanaofikiria tofauti waendelee kufikiria hivyo, ni human nature, tafuta dafu changanya na ndimu, itakusaidia siku iishe fresh, pole sana hasira kwa ulizo nazo.
 
Mku hao wa Barabarani ukisema ndio hao ninakukatalia kwani kumbuka maisha yamekuwa magumu kwa wazazi na vijana na haya yote kutokea sio ajabu.
Ni kweli chief, binafsi nadhani hao wa road wanatumika zaidi, ni rahisi hata kutumwa, najiliza kama wanavamia vijana 10 kuendelea, halafu wanaiba tv na simu, unadhani hivyo vitu wanauza wapi kama sio kuna mdau wanampelekea halafu yeye anawapa cut, mi nadhani badala ya kuwaua wajitahidi wawakamate wawabane vizuri hasa, wataeleza kila kitu.
Maoni yangu.
 
Niliuliza maswali mawili

1.) Panya Road wametoa wapi Noah?

2.) Hivi mtu mwenye silaha ya moto anakwambia shuka halafu ushuke na panga?
Noah hutumia kubeba vitu vya wiZi,hata waliokamatwa vingunguti na vitu vya wizi walikuwa na Noah
 
Hili linafikirisha sana eti panya road wako kwenye noah halafu wanauwawa wote kweli kuna mambo yanayofanywa na polisi ambayo ni aibu hata kusikiliza kweli mikono ya Polisi imejaa damu na hizi operesheni za kukurupuka maskini jiandaeni kisaikolojia watoto wenu wanakuja kusombwa wawe wahalifu au sio mtajua wenyewe
Kuna jamaa yangu yupo na dogo kwenye gari,wakasimama kituo flani akamtuma dogo akanunue machungwa gengeni,anarudi kwenye gari akadakwa muda huo huo anapandishwa kwenye gari eti panya Road! Jamaa alipambana mpaka ikamtoka 20 dogo akaachiwa.
 
Back
Top Bottom