Hivi ndivyo Hayati Magufuli aliharibu Uchumi wa Tanzania. Takwimu huwa hazidanganyi

Inasikitisha sana kwa wafuasi wa Magufuri kupendelea ngojera badala ya takwimu halisi na hali ya maisha ya wananchi wote katila utawala huo.
 
Mharibifu wa uchumi wa Tanzania namba one alikuwa Magufuri.
 
Samia hana hata miaka miwili😆,vuta subra,
Jpm aliimarisha uchumi sana🤷🏾‍♂️
Magufuri alikuta kila kitu na nakwambia kama Magufuri angelikuwa rais wa awamu ya tatu basi Tanzania ingekuwa nchi ya mwisho Afrika kimaendeleo.
 
Mimba aliyokuachia Magu bado hujazaa tu? Naona bado unatema mate
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…