APEFACE
JF-Expert Member
- Oct 1, 2016
- 5,316
- 9,596
Hata ukiwa na wajukuu...vijana hawakawii kuomba uteleziNina wajukuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata ukiwa na wajukuu...vijana hawakawii kuomba uteleziNina wajukuu
Kama haw uzaramoni wanaitwaga "SIKUTEGEMEA"Unatafuta mtoto kwa muda mrefu, siku uji cheat tu mimba inaingia.
Kuna mmoja kakaa miaka bila bila akaja mteja mchina saloon kwake naona wakafika bei mtoto kazaliwa mchinaUnatafuta mtoto kwa muda mrefu, siku uji cheat tu mimba inaingia.
Cha msingi iingie tu hakuna namnaUbaya ni pale mtoa mbegu anapokua na wasi wasi hasa akiwa kwenye ndoa na kuhofia ndoa yake kuvunjika.
Ndiooo ndiooo[emoji1]Zaeni muongezeke na kuijaza dunia.
Kwani hujui sijuzipi ni hatari katika mzunguko wako?Unatafuta mtoto kwa muda mrefu, siku uji cheat tu mimba inaingia.
Na kujaza mapori ya SingidaZaeni muongezeke na kuijaza dunia.
labda mtoa mbegu awe tayar ana mtoto kwenye ndoa yake ila km nae amekwama kupata mtt atakuwa bwege kuhofia ndoa yake kuvunjikaUbaya ni pale mtoa mbegu anapokua na wasi wasi hasa akiwa kwenye ndoa na kuhofia ndoa yake kuvunjika.
wanawake wengi hawajui kuhesabu siku zao hatari, sijui kwann.Kwani hujui sijuzipi ni hatari katika mzunguko wako?
Hata kama wanajua wakifika zile siku huwa wanapatwa na ashiki balaa hata condom au akuambie kojoa nje haweziwanawake wengi hawajui kuhesabu siku zao hatari, sijui kwann.
Kasheshe ni pale mume wako anajijua hana kizazi na hajawahi kujutamkia hilo. Unamwambia una kitegemea kijacho.labda mtoa mbegu awe tayar ana mtoto kwenye ndoa yake ila km nae amekwama kupata mtt atakuwa bwege kuhofia ndoa yake kuvunjika
[emoji3][emoji3] hyo shuguli nyngne ss...ila Mwanaume inabid ukaushe tu,ukubaliane na hali km mkeo akuletei dharau.Kasheshe ni pale mume wako anajijua hana kizazi na hajawahi kujutamkia hilo. Unamwambia una kitegemea kijacho.
Mlete kwangu, nami nitamsaidia. Ila sura na kimo viwe vinalipa.Ngoja nikamshauri beste yangu fulani akacheat aisee...[emoji124][emoji124][emoji124]
Sura na kimo [emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]Mlete kwangu, nami nitamsaidia. Ila sura na kimo viwe vinalipa.
Kama power kahaya alimtongoza bibi yake