Hivi ndivyo inavyotokea, sijui ni kwanini

Hivi ndivyo inavyotokea, sijui ni kwanini

labda mtoa mbegu awe tayar ana mtoto kwenye ndoa yake ila km nae amekwama kupata mtt atakuwa bwege kuhofia ndoa yake kuvunjika
Kasheshe ni pale mume wako anajijua hana kizazi na hajawahi kujutamkia hilo. Unamwambia una kitegemea kijacho.
 
Kasheshe ni pale mume wako anajijua hana kizazi na hajawahi kujutamkia hilo. Unamwambia una kitegemea kijacho.
[emoji3][emoji3] hyo shuguli nyngne ss...ila Mwanaume inabid ukaushe tu,ukubaliane na hali km mkeo akuletei dharau.
 
Wadau nisaidieni TV yangu ya LG haionyeshi subtitles..nisaidieni nifanye nini
 
Ngoja nikamshauri beste yangu fulani akacheat aisee...[emoji124][emoji124][emoji124]
 
Back
Top Bottom