Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
Nani kakwambia kuwa ni Mateso???Na mateso yote hayo aliyaweka mungu mnaedai anawapenda sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani kakwambia kuwa ni Mateso???Na mateso yote hayo aliyaweka mungu mnaedai anawapenda sana
Hayo mengine yote aliyoandika, hayatapa muda...God forbid 🙏
Mkuu umeshawahi kufa?
- Nguvu za mwili zitaanza kukuishia,
- Utasikia kama usingizi mzito unakuja,
- Mapigo ya moyo yatapungua kasi,
- Hali ya kukata tamaa kupigania uhai itakujia.
- Utawaza maisha Yako tangu kumbukumbu za utoto wako mpaka hapo ulipo.
- Utawaza mambo mabaya na mema uliyoyafanya/yaliyokutokea.
- Utawaza vitu ambavyo ulipaswa/hukupaswa kufanya (mf. kama kutohudhuria mazishi ya mama ako, au kutomhudumia mzazi ipasavyo)
- Utawaza mipango Yako yote uliyokuwa nayo ya future
- Utawaza ukiondoka utaacha kumbukumbu gani? Na je ni % ngapi ya potential/uwezo wako umeitumia duniani?
- Utawaza je vile vitu ulivyoviona vya thamani duniani (mf. pombe, wanawake, Simba na yanga)vina thamani kama ulivyovipa?
- Utawaza na vile vitu ulivyovidharau na kuona havina thamani kama ulivyodhania (mf. mahusiano na ndugu/jamaa, dini, kufurahia maisha nk.)
- Utawaza sana yote haya na utakosa jibu, kisha utaona kuwa vyote vizuri na vibaya ni ubatili mtupu na havina maana yeyote.
- Utapata hisia ya kukata tamaa ya kupata majibu kuhusu haya kipindi mwili wako unazidi kuishiwa nguvu,Mapigo ya moyo yanazidi kupunguza,pumzi inakuwa ya tabu na hali ya usingizi inaongezeka.
Hapo ndipo utakata tamaa na kukubali matokeo, kisha utakubali kuachia pumzi Yako ya mwisho na ndipo utakufa.
(Hizi process zinaweza kuchukua anywhere from masaa machache hadi sekunde kadhaa kulingana na aina ya kifo utakachokufa)
- Nguvu za mwili zitaanza kukuishia,
- Utasikia kama usingizi mzito unakuja,
- Mapigo ya moyo yatapungua kasi,
- Hali ya kukata tamaa kupigania uhai itakujia.
- Utawaza maisha Yako tangu kumbukumbu za utoto wako mpaka hapo ulipo.
- Utawaza mambo mabaya na mema uliyoyafanya/yaliyokutokea.
- Utawaza vitu ambavyo ulipaswa/hukupaswa kufanya (mf. kama kutohudhuria mazishi ya mama ako, au kutomhudumia mzazi ipasavyo)
- Utawaza mipango Yako yote uliyokuwa nayo ya future
- Utawaza ukiondoka utaacha kumbukumbu gani? Na je ni % ngapi ya potential/uwezo wako umeitumia duniani?
- Utawaza je vile vitu ulivyoviona vya thamani duniani (mf. pombe, wanawake, Simba na yanga)vina thamani kama ulivyovipa?
- Utawaza na vile vitu ulivyovidharau na kuona havina thamani kama ulivyodhania (mf. mahusiano na ndugu/jamaa, dini, kufurahia maisha nk.)
- Utawaza sana yote haya na utakosa jibu, kisha utaona kuwa vyote vizuri na vibaya ni ubatili mtupu na havina maana yeyote.
- Utapata hisia ya kukata tamaa ya kupata majibu kuhusu haya kipindi mwili wako unazidi kuishiwa nguvu,Mapigo ya moyo yanazidi kupunguza,pumzi inakuwa ya tabu na hali ya usingizi inaongezeka.
Hapo ndipo utakata tamaa na kukubali matokeo, kisha utakubali kuachia pumzi Yako ya mwisho na ndipo utakufa.
(Hizi process zinaweza kuchukua anywhere from masaa machache hadi sekunde kadhaa kulingana na aina ya kifo utakachokufa)
Kwamba ni stareheNani kakwambia kuwa ni Mateso???
Ulishawahi kufa?
- Nguvu za mwili zitaanza kukuishia,
- Utasikia kama usingizi mzito unakuja,
- Mapigo ya moyo yatapungua kasi,
- Hali ya kukata tamaa kupigania uhai itakujia.
- Utawaza maisha Yako tangu kumbukumbu za utoto wako mpaka hapo ulipo.
- Utawaza mambo mabaya na mema uliyoyafanya/yaliyokutokea.
- Utawaza vitu ambavyo ulipaswa/hukupaswa kufanya (mf. kama kutohudhuria mazishi ya mama ako, au kutomhudumia mzazi ipasavyo)
- Utawaza mipango Yako yote uliyokuwa nayo ya future
- Utawaza ukiondoka utaacha kumbukumbu gani? Na je ni % ngapi ya potential/uwezo wako umeitumia duniani?
- Utawaza je vile vitu ulivyoviona vya thamani duniani (mf. pombe, wanawake, Simba na yanga)vina thamani kama ulivyovipa?
- Utawaza na vile vitu ulivyovidharau na kuona havina thamani kama ulivyodhania (mf. mahusiano na ndugu/jamaa, dini, kufurahia maisha nk.)
- Utawaza sana yote haya na utakosa jibu, kisha utaona kuwa vyote vizuri na vibaya ni ubatili mtupu na havina maana yeyote.
- Utapata hisia ya kukata tamaa ya kupata majibu kuhusu haya kipindi mwili wako unazidi kuishiwa nguvu,Mapigo ya moyo yanazidi kupunguza,pumzi inakuwa ya tabu na hali ya usingizi inaongezeka.
Hapo ndipo utakata tamaa na kukubali matokeo, kisha utakubali kuachia pumzi Yako ya mwisho na ndipo utakufa.
(Hizi process zinaweza kuchukua anywhere from masaa machache hadi sekunde kadhaa kulingana na aina ya kifo utakachokufa)
Na wale wanaopasuka pasuka hapo hapo wao inakuwaje
- Nguvu za mwili zitaanza kukuishia,
- Utasikia kama usingizi mzito unakuja,
- Mapigo ya moyo yatapungua kasi,
- Hali ya kukata tamaa kupigania uhai itakujia.
- Utawaza maisha Yako tangu kumbukumbu za utoto wako mpaka hapo ulipo.
- Utawaza mambo mabaya na mema uliyoyafanya/yaliyokutokea.
- Utawaza vitu ambavyo ulipaswa/hukupaswa kufanya (mf. kama kutohudhuria mazishi ya mama ako, au kutomhudumia mzazi ipasavyo)
- Utawaza mipango Yako yote uliyokuwa nayo ya future
- Utawaza ukiondoka utaacha kumbukumbu gani? Na je ni % ngapi ya potential/uwezo wako umeitumia duniani?
- Utawaza je vile vitu ulivyoviona vya thamani duniani (mf. pombe, wanawake, Simba na yanga)vina thamani kama ulivyovipa?
- Utawaza na vile vitu ulivyovidharau na kuona havina thamani kama ulivyodhania (mf. mahusiano na ndugu/jamaa, dini, kufurahia maisha nk.)
- Utawaza sana yote haya na utakosa jibu, kisha utaona kuwa vyote vizuri na vibaya ni ubatili mtupu na havina maana yeyote.
- Utapata hisia ya kukata tamaa ya kupata majibu kuhusu haya kipindi mwili wako unazidi kuishiwa nguvu,Mapigo ya moyo yanazidi kupunguza,pumzi inakuwa ya tabu na hali ya usingizi inaongezeka.
Hapo ndipo utakata tamaa na kukubali matokeo, kisha utakubali kuachia pumzi Yako ya mwisho na ndipo utakufa.
(Hizi process zinaweza kuchukua anywhere from masaa machache hadi sekunde kadhaa kulingana na aina ya kifo utakachokufa)
Hiyo hormone hustarehesha ad mtu anapata ashiki ya kumwaga manii.kuna hormone itaachiliwa kwa wingi kwenye ubongo wako itakayokufanya upate furaha ya ajabu(euphoria)
ndo maana watu waliopitia near death experiences wanasimulia kuona mwanga flani, au kuingia kwenye uwepo fulani
Ila jf kwa kamba hamjamboHiyo hormone hustarehesha ad mtu anapata ashiki ya kumwaga manii.
Na kwa mwanamke ni orgasim ya kutisha!
Uongo....Umepigwa na Bomu utapata wapi usingizi
- Nguvu za mwili zitaanza kukuishia,
- Utasikia kama usingizi mzito unakuja,
- Mapigo ya moyo yatapungua kasi,
- Hali ya kukata tamaa kupigania uhai itakujia.
- Utawaza maisha Yako tangu kumbukumbu za utoto wako mpaka hapo ulipo.
- Utawaza mambo mabaya na mema uliyoyafanya/yaliyokutokea.
- Utawaza vitu ambavyo ulipaswa/hukupaswa kufanya (mf. kama kutohudhuria mazishi ya mama ako, au kutomhudumia mzazi ipasavyo)
- Utawaza mipango Yako yote uliyokuwa nayo ya future
- Utawaza ukiondoka utaacha kumbukumbu gani? Na je ni % ngapi ya potential/uwezo wako umeitumia duniani?
- Utawaza je vile vitu ulivyoviona vya thamani duniani (mf. pombe, wanawake, Simba na yanga)vina thamani kama ulivyovipa?
- Utawaza na vile vitu ulivyovidharau na kuona havina thamani kama ulivyodhania (mf. mahusiano na ndugu/jamaa, dini, kufurahia maisha nk.)
- Utawaza sana yote haya na utakosa jibu, kisha utaona kuwa vyote vizuri na vibaya ni ubatili mtupu na havina maana yeyote.
- Utapata hisia ya kukata tamaa ya kupata majibu kuhusu haya kipindi mwili wako unazidi kuishiwa nguvu,Mapigo ya moyo yanazidi kupunguza,pumzi inakuwa ya tabu na hali ya usingizi inaongezeka.
Hapo ndipo utakata tamaa na kukubali matokeo, kisha utakubali kuachia pumzi Yako ya mwisho na ndipo utakufa.
(Hizi process zinaweza kuchukua anywhere from masaa machache hadi sekunde kadhaa kulingana na aina ya kifo utakachokufa)
Yeap
DaahHii inawahusu Hadi bodaboda?