Kelvin35
JF-Expert Member
- Feb 26, 2023
- 698
- 1,112
daaah! Aiseeehapa labda wanaumwa, lakini umepata ajali kichwa kimekatika hiyo process haina nafasi unajikuta ghafla tu uko peponi bila hodi utafikiri unaenda kufumania
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
daaah! Aiseeehapa labda wanaumwa, lakini umepata ajali kichwa kimekatika hiyo process haina nafasi unajikuta ghafla tu uko peponi bila hodi utafikiri unaenda kufumania
Elezes full ulichoexperienceNilishakuwa katika comma, what happen is so so badly ever, unakuwa katika situation ya kutisha sana, kwenye macho unaona blueish, kibaya kwenye masikio unasikia kila kitu kinachoongelewa, unasikia vilio na kelele, lakini huwezi kufanya lolote, unawasikia ndugu zako na jamaa zako lakini huwezi kusogeza kiungo chochote, kibaya uwezo wa kusikia huendelea kupungua kidogo kidogo, so worryful let me endup here!
Kuna ambao walijaa kwenye gari walikuwa mshikaki na wapo tungi mmoja akawa anawaita wenzake anawaambia machalii ndio tunadanja hivyo, mwenzake akamjibu hatufi kamanda.Hii inawahusu Hadi bodaboda?
Kamba?Ila jf kwa kamba hamjambo
Mkuu, if you don't mind lete story kamili. Hii itatusaidia kujua kama kifo kinakuja au tusubiri kidogo.Nilishakuwa katika comma, what happen is so so badly ever, unakuwa katika situation ya kutisha sana, kwenye macho unaona blueish, kibaya kwenye masikio unasikia kila kitu kinachoongelewa, unasikia vilio na kelele, lakini huwezi kufanya lolote, unawasikia ndugu zako na jamaa zako lakini huwezi kusogeza kiungo chochote, kibaya uwezo wa kusikia huendelea kupungua kidogo kidogo, so worryful let me endup here!
Kinachosababisha kusikia yote ni kwa sababu ubongo hufanya kazi kwa damu kidogo mno, hivyo sehemu zote huweza kusimama kufanya kazi lakini ubongo huweza kuwa hai mpaka lisaa limoja baada ya viungo vyote kusimama kufanya kazi, hivyo kusababisha kuweza kusikia kila jambo, wale wanaozika papo kwa hapo, I can't imagine kwa marehemu.Mkuu, if you don't mind lete story kamili. Hii itatusaidia kujua kama kifo kinakuja au tusubiri kidogo.
Alisha experience labda.Umeyajuaje haya?
KambaKamba?
Uliza nje ya Jf, hizi siyo fix wala nini, kwenye kukata roho kuna kumwaga kama haujui sasa.
Kinachoumiza ni iuwa kumbe mtu anakuwa anasikia lakini uwezo wa kujibu au hata kunyanyua mkono hana.Kinachosababisha kusikia yote ni kwa sababu ubongo hufanya kazi kwa damu kidogo mno, hivyo sehemu zote huweza kusimama kufanya kazi lakini ubongo huweza kuwa hai mpaka lisaa limoja baada ya viungo vyote kusimama kufanya kazi, hivyo kusababisha kuweza kusikia kila jambo, wale wanaozika papo kwa hapo, I can't imagine kwa marehemu.
Boda haimhusu kabisa hiiHii inawahusu Hadi bodaboda?
unawaza sanaHii inawahusu Hadi bodaboda?
Hekaya za AbnuasiNani ilishamkuta hii, akarudi akahadithia haya!? Au labda ni fikra zetu tu?
Vp kwa wale wanaokufa kwa mlipuko wa bomu nao wanawaza yote hayo?
- Nguvu za mwili zitaanza kukuishia,
- Utasikia kama usingizi mzito unakuja,
- Mapigo ya moyo yatapungua kasi,
- Hali ya kukata tamaa kupigania uhai itakujia.
- Utawaza maisha Yako tangu kumbukumbu za utoto wako mpaka hapo ulipo.
- Utawaza mambo mabaya na mema uliyoyafanya/yaliyokutokea.
- Utawaza vitu ambavyo ulipaswa/hukupaswa kufanya (mf. kama kutohudhuria mazishi ya mama ako, au kutomhudumia mzazi ipasavyo)
- Utawaza mipango Yako yote uliyokuwa nayo ya future
- Utawaza ukiondoka utaacha kumbukumbu gani? Na je ni % ngapi ya potential/uwezo wako umeitumia duniani?
- Utawaza je vile vitu ulivyoviona vya thamani duniani (mf. pombe, wanawake, Simba na yanga)vina thamani kama ulivyovipa?
- Utawaza na vile vitu ulivyovidharau na kuona havina thamani kama ulivyodhania (mf. mahusiano na ndugu/jamaa, dini, kufurahia maisha nk.)
- Utawaza sana yote haya na utakosa jibu, kisha utaona kuwa vyote vizuri na vibaya ni ubatili mtupu na havina maana yeyote.
- Utapata hisia ya kukata tamaa ya kupata majibu kuhusu haya kipindi mwili wako unazidi kuishiwa nguvu,Mapigo ya moyo yanazidi kupunguza,pumzi inakuwa ya tabu na hali ya usingizi inaongezeka.
Hapo ndipo utakata tamaa na kukubali matokeo, kisha utakubali kuachia pumzi Yako ya mwisho na ndipo utakufa.
(Hizi process zinaweza kuchukua anywhere from masaa machache hadi sekunde kadhaa kulingana na aina ya kifo utakachokufa)
Ulishawahi kufa mkuu?
- Nguvu za mwili zitaanza kukuishia,
- Utasikia kama usingizi mzito unakuja,
- Mapigo ya moyo yatapungua kasi,
- Hali ya kukata tamaa kupigania uhai itakujia.
- Utawaza maisha Yako tangu kumbukumbu za utoto wako mpaka hapo ulipo.
- Utawaza mambo mabaya na mema uliyoyafanya/yaliyokutokea.
- Utawaza vitu ambavyo ulipaswa/hukupaswa kufanya (mf. kama kutohudhuria mazishi ya mama ako, au kutomhudumia mzazi ipasavyo)
- Utawaza mipango Yako yote uliyokuwa nayo ya future
- Utawaza ukiondoka utaacha kumbukumbu gani? Na je ni % ngapi ya potential/uwezo wako umeitumia duniani?
- Utawaza je vile vitu ulivyoviona vya thamani duniani (mf. pombe, wanawake, Simba na yanga)vina thamani kama ulivyovipa?
- Utawaza na vile vitu ulivyovidharau na kuona havina thamani kama ulivyodhania (mf. mahusiano na ndugu/jamaa, dini, kufurahia maisha nk.)
- Utawaza sana yote haya na utakosa jibu, kisha utaona kuwa vyote vizuri na vibaya ni ubatili mtupu na havina maana yeyote.
- Utapata hisia ya kukata tamaa ya kupata majibu kuhusu haya kipindi mwili wako unazidi kuishiwa nguvu,Mapigo ya moyo yanazidi kupunguza,pumzi inakuwa ya tabu na hali ya usingizi inaongezeka.
Hapo ndipo utakata tamaa na kukubali matokeo, kisha utakubali kuachia pumzi Yako ya mwisho na ndipo utakufa.
(Hizi process zinaweza kuchukua anywhere from masaa machache hadi sekunde kadhaa kulingana na aina ya kifo utakachokufa)