Hivi ndivyo Jimmy Carter alivyobaki. Ndiyo tujue sasa dunia haina urafiki

Basi kama ndo hivyo Kulikuwa na Umuhimu gani wa wewe kutuletea habari za Jimmy Carter wakati hakujui na huna uhusiano nae katika "kuumbwa kwake na mwisho wake"🤣

Naona bado unazidi kuonesha jinsi akili zako zilivyo mgando.
Mtoa mada anashangaza , anyway maybe anatimiza wajibu wake ktk JF
 
Yaani Kuna mtu asiyejua Kuna kuzeeka na kufa, ila wewe ndiye umefunuliwa siri hiyo ?
Watu wanajua tu kuzeeka na kufa lakini wengi hawafaidiki na kujua huko yawezekana ni pamoja na wewe.
 
Kwa sababu yeye alikuwa raisi wa nchi kubwa tungetaraji asipatwe na shida alizonazo sasa.
Mkuu hii ni kwa mujibu wa nani?

Rais wa USA anaweza kuwa mtu yeyote yule....... yaani rais ni binadamu tu kama binadamu wengine
 
Hivi,ulifikiria kwa umakini kabla ya kuanzisha uzi?Unajua maana ya kuzeeka?Tafuta kamusi halafu ujifunze maana ya uzee.
NB:Sijui hata kama kusoma na kuelewa unajua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…