Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jadili ajenda za nchi yako acha nchi zawenzako, 90% ya waTz ni masikin live below poverty line 60% hawana maji safi na salama 70% elimu duni 50% hawawezi kujitibu kwa pesa zao.....wewe unapoteza mda kujadili nchi zolizo piga hatua, ni upumbavu.Feminism:
View attachment 3113984
Uzaaji wa watoto wachache:
View attachment 3113980
Sera ya uhamiaji holela:
View attachment 3113979
Kuruhusu, kupokea na kuzifanyia kazi ideologies za jamii nyingine angali jamii hizo zinapinga ideologies za west:
View attachment 3113982
Ideology ya Mrengo wa Kushoto:
View attachment 3113989
Ubumunda wako ni wakoJadili ajenda za nchi yako acha nchi zawenzako, 90% ya waTz ni masikin live below poverty line 60% hawana maji safi na salama 70% elimu duni 50% hawawezi kujitibu kwa pesa zao.....wewe unapoteza mda kujadili nchi zolizo piga hatua, ni upumbavu.
Maybe humjui mtoa mada, amekamilisha Quota yake ya kusema watu wa mrengo fulani.Jadili ajenda za nchi yako acha nchi zawenzako, 90% ya waTz ni masikin live below poverty line 60% hawana maji safi na salama 70% elimu duni 50% hawawezi kujitibu kwa pesa zao.....wewe unapoteza mda kujadili nchi zolizo piga hatua, ni upumbavu.
Hahahahaaisee kwelii ukiona mambo ya didy na dangote dah naomba serikal ituongezee ulinzi wanaume tupewe ulinz Kila mmoja Ili mik*ndu yetu ibaki kuwa salama
😂😂😂😂aisee kwelii ukiona mambo ya didy na dangote dah naomba serikal ituongezee ulinzi wanaume tupewe ulinz Kila mmoja Ili mik*ndu yetu ibaki kuwa salama
Mlinzi pekee wa mkundu wako ni wewe mwenyewe na nafsi yako.aisee kwelii ukiona mambo ya didy na dangote dah naomba serikal ituongezee ulinzi wanaume tupewe ulinz Kila mmoja Ili mik*ndu yetu ibaki kuwa salama
Hahahahaha siku unakuta vijana wa miaka 20 bila ya kzi maalum ana i phone kumbe anchezea mafuta ya diddyMlinzi pekee wa mkundu wako ni wewe mwenyewe na nafsi yako.
Serikali haihusiki na makalio yako mpaka pale ukikamatwa unafokonyolewa.
Ukitaka mteremko kina Diddy watapita tu na nnya yako.
Kinachoua Ulaya ni Usa na China, Sasa hivi Ulaya kila Anachotengeneza China anakitengeneza kwa bei rahisi zaidi. Na makampuni yao yananunuliwa na Usa kila siku na kuwa treated vibaya.Feminism:
View attachment 3113984
Uzaaji wa watoto wachache:
View attachment 3113980
Sera ya uhamiaji holela:
View attachment 3113979
Kuruhusu, kupokea na kuzifanyia kazi ideologies za jamii nyingine angali jamii hizo zinapinga ideologies za west:
View attachment 3113982
Ideology ya Mrengo wa Kushoto:
View attachment 3113989
Tunazijadili wapi huko? ambako watazifanyizia kazi, (watazifanyia kazi),Jadili ajenda za nchi yako acha nchi zawenzako, 90% ya waTz ni masikin live below poverty line 60% hawana maji safi na salama 70% elimu duni 50% hawawezi kujitibu kwa pesa zao.....wewe unapoteza mda kujadili nchi zolizo piga hatua, ni upumbavu.
Sahihi, mtu anataka kuliwa mwenyewe halafu anataka serikali imsaidie kutokuliwa.Mlinzi pekee wa mkundu wako ni wewe mwenyewe na nafsi yako.
Serikali haihusiki na makalio yako mpaka pale ukikamatwa unafokonyolewa.
Ukitaka mteremko kina Diddy watapita tu na nnya yako.
Fanya tafitiFar rights ndio waharibifu wakubwa wa Magharibi kwa sababu hawakubali mabadiliko na bado wanaishi kwenye superstition zaidi.
Uzaaji wa watoto wachache sio tatizo kwa nchi yoyote dunia mpaka sasa, hiyo ni ajinda ya matajiri kama Elon Musk kupata vibarua wa bei rahisi. Dunia ina watu bilioni 8, hawa ni wengi sana
Progressivenes ndio imetupa ulimwengu tulio nao leo. Vinginevyo watu aina ya kina Galileo na Giordano Bruno wangeendelewa kuchomwa moto.Fanya tafiti
Labda tu wewe ni mpenzi wa progressive na woke scum