Hivi ndivyo Marekani alivyoiharibu Iraq

Hivi ndivyo Marekani alivyoiharibu Iraq

Kama kumbukumbu zangu ziko sawa, UN haikutoa kibari cha US kwenda kuivamia Iraq
Yap!..UN ilipuuzwa na hawa wababe wa magharibi (US na UK)......japo nchi zingine kama France, Germany zilipinga vikali ule uvamizi kwa kusisitiza hakukuwa na silaha zozote za maangamizi huko Iraq.
 
Wakati wa uvamizi Waziri Mkuu wa Uingereza alikuwa Gordon Brown au Tony Blair?
 
Tunapojadili suala la Iraq tukumbuke

"Ukraine nae alipeleka vikosi na vifaru iraq"

#KARMA IS REAL[emoji4]
IMG_20220228_081111.jpg
IMG_20220302_021455.jpg
 
Islamophobia inakutesa,,, acha roho mbaya,, yani hata hili unawatetea wamarekani?
Kama usemavyo ndivyo mambo ya spiritual issues ni wayahudi kwa mujibu wa vitabu vya dini ndo wanaotakiwa kutaabika na kuhangaika mpaka pale watakapofika kwenye nchi yao ya ahadi,, lkn mbona kina Netanyahu ambao tunaambiwa ndo wayahudi wenyewe wanakula bata,, kilichofanya waarabu wauwae pale Iraq ni mambo tu ya kisiasa za kidunia mwenye nguvu ndo mwenye haki,, usituongopee sijui habari za spiritual..
Ni ukoloni kama ukoloni wa zamani tu
 
Marekani hawawezi kujutia ata siku moja swala la kuivamia Iraq kwa ulikuwa ni mpango sahihi ndani ya muda sahihi.

Hebu fikiri Sadamu angeachwa hadi leo Dunia ingetuwa kwenye tension gani?

Sasa hivi ni muda muafaka tena kwa Amerika kutafuta sababu ya kumkabili Irani as they did to Sadam sababu wakimuacha kwa baadae ni tatizo kubwa sana.
Kama tatizo kwa Marekani sio kwa dunia kwahiyo nawe mmarekani
 
Ukisoma maandiko hasa Biblia. Hawa waarabu kuteseka na kuwa na machafuko sio jambo la kushtushwa.

US atalaumiwa bure tu ila kuna spiritual issues behind.
hakuna cha spiritual wala nini ni uroho wa utajiri wa mafuta tu
 
Back
Top Bottom