Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 32,639
- 42,908
Yap!..UN ilipuuzwa na hawa wababe wa magharibi (US na UK)......japo nchi zingine kama France, Germany zilipinga vikali ule uvamizi kwa kusisitiza hakukuwa na silaha zozote za maangamizi huko Iraq.Kama kumbukumbu zangu ziko sawa, UN haikutoa kibari cha US kwenda kuivamia Iraq