Yap!..UN ilipuuzwa na hawa wababe wa magharibi (US na UK)......japo nchi zingine kama France, Germany zilipinga vikali ule uvamizi kwa kusisitiza hakukuwa na silaha zozote za maangamizi huko Iraq.Kama kumbukumbu zangu ziko sawa, UN haikutoa kibari cha US kwenda kuivamia Iraq
Kwa sababu Marekani sio mwanachama wa hiyo mahakama.Kwa nini Bush hakupelekwa the Hague ila ingekua Russia ndio amefanaya hivyo ingekua ugomvi mkubwa sana
USA size yake Ni kina Libya, Iraq, alqaida na M23[emoji1][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Iran siyo taifa dogo kama unavyodhani.Wale ni Waajemi.
Ni ukoloni kama ukoloni wa zamani tuIslamophobia inakutesa,,, acha roho mbaya,, yani hata hili unawatetea wamarekani?
Kama usemavyo ndivyo mambo ya spiritual issues ni wayahudi kwa mujibu wa vitabu vya dini ndo wanaotakiwa kutaabika na kuhangaika mpaka pale watakapofika kwenye nchi yao ya ahadi,, lkn mbona kina Netanyahu ambao tunaambiwa ndo wayahudi wenyewe wanakula bata,, kilichofanya waarabu wauwae pale Iraq ni mambo tu ya kisiasa za kidunia mwenye nguvu ndo mwenye haki,, usituongopee sijui habari za spiritual..
Kama tatizo kwa Marekani sio kwa dunia kwahiyo nawe mmarekaniMarekani hawawezi kujutia ata siku moja swala la kuivamia Iraq kwa ulikuwa ni mpango sahihi ndani ya muda sahihi.
Hebu fikiri Sadamu angeachwa hadi leo Dunia ingetuwa kwenye tension gani?
Sasa hivi ni muda muafaka tena kwa Amerika kutafuta sababu ya kumkabili Irani as they did to Sadam sababu wakimuacha kwa baadae ni tatizo kubwa sana.
hakuna cha spiritual wala nini ni uroho wa utajiri wa mafuta tuUkisoma maandiko hasa Biblia. Hawa waarabu kuteseka na kuwa na machafuko sio jambo la kushtushwa.
US atalaumiwa bure tu ila kuna spiritual issues behind.