Dolla_Mbili
JF-Expert Member
- May 28, 2017
- 1,207
- 2,981
Hakuna sehemu nimeweka kitisho mkuu,ila tu nimekazia tu spidi iendeleeTusitishane.
Ajali mara nyingi huleta maumivu(ya mwili au ya moyo) ndio kama hii iliyomkuta ndugu yetuYaani unawaambia wenzio eti ni ajali kama ajali zingine kwa hiyo kutolewa marinda umeona ni kawaida eeh?
Manina.
Hakuwa shemale mkuu,demu kabla ya kukutana na jamaa alikuwa na majamaa wengine wawili ambao nao ni wageni eneo hili.Duuh huyo malaya alichukua alikua ni shemale nini???[emoji23]
Inakuaje atekenywe taarabu yake na manzi alikua malaya na sio mke wa mtu aisee??
Kaliwa na nani na alikua na mwanamke, itakua ni kisasi hiko kafanyiwa, maybe aligonGa manzi ya mtuMkuu kwa nini nimuonee wivu? inasemekana kaliwa kwa mpalange
Sijajua,ila yule demu alikuwa mgeni eneo lileKaliwa na nani na alikua na mwanamke, itakua ni kisasi hiko kafanyiwa, maybe aligonGa manzi ya mtu
Kwenye umalaya lolote laweza tokea!Huyo hakuwa baharia, mgeni huyo
Mabaria tunatumia akili sana , hatunyonyi maziwa wala shingo na tunawaweka mbuzi kangoma kwenda mwanzo mwisho, ila uwe na ndomu imara zaidi
Yanawakuta sana mkuu,ila hawasemiHahahaaaa daaahhh mabaharia wanapitia mengi
Kudadeki [emoji23][emoji23] sasa nia yao walikua wanatafuta mtu wa kubonya tu??Hakuwa shemale mkuu,demu kabla ya kukutana na jamaa alikuwa na majamaa wengine wawili ambao nao ni wageni eneo hili.
Baada ya tukio hata wale jamaa nao walitoweka.
Mabaharia inabidi tukutane tufanye kikao cha dharura Otherwise tutaendelea kudharirika na kuaibika na kupotea ama kufa kama uyu Baharia mwenzetuJamaa alikuwa na tabia akitoka kazini jioni anapitia bar anaopoa malaya anakula mzigo upesi anarudi nyumbani.
Kutokana na kuwahi kwake nyumbani mke akajenga imani nae.
Siku ya tukio,jamaa kama kawaida katoka kazini kapitia bar kakuta kuna malaya mpya,hakumkawiza akapeleka LUGHA,haooo kwenye bodaboda wakazama gesti.
Saa saba usiku mke anapigia simu watu wa karibu mmewe hajarudi.Piga simu kote inapodhaniwa anaweza kwenda majibu hatujamwona.
Asubuhi likaanza zoezi la kumtafuta akaonekana saa saba yupo gesti hajitambui tena uchi na nyuma sijui kafanywa nini
Akapelekwa nyumbani akaitwa daktari amtibie palepale.
Amepona ila valangati limebaki na mkewe
NB:wazinzi tuendelee tu hizi ni AJALI tu kama ajali zingine zilizozoeleka
Hiyo staili nayo ni hatari kama umeshusha suruali magotini.Weye unapiga libeneke halafu manzi anaendelea kukusachi mifukoni.Ndiyo.Si umemsogezea mifuko jirani.πππππHuyo hakuwa baharia, mgeni huyo
Mabaria tunatumia akili sana , hatunyonyi maziwa wala shingo na tunawaweka mbuzi kangoma kwenda mwanzo mwisho, ila uwe na ndomu imara zaidi
Utasababisha wasiwe wanapatambulisha kwao Sasa.ππππChato Mkuu π
Utasababisha wasiwe wanapatambulisha kwao Sasa.ππππ
BuzaBaharia wa wapi huyo
Huputwi[emoji1][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]