Hivi ndivyo navyo imagine muonekano wa baadhi ya ladies wa humu JF

Hivi ndivyo navyo imagine muonekano wa baadhi ya ladies wa humu JF

Mimi nakuoa kabisa dada sio kukuchezea ,hapa nipo single tu hata sijaoa tena baada ya kuachwa na mke wangu wa zamani .
Kikubwa zama PM ,nikuoe ,uzuri umekuja wakati mzuri nikiwa na hela ya kahawa hivyo hela ya kuwaita masheikh ipo na chai tutakunywa bila kusahau na ubani lazima uchomwe .
Please weka masihala pembeni zama kunako
We si umetoka kusema vijana hatuna mchango kwa nyuzi kama hizi alafu tena unatumia uzi huu kurusha kamba 🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom