Hivi ndivyo navyo imagine muonekano wa baadhi ya ladies wa humu JF

Hivi ndivyo navyo imagine muonekano wa baadhi ya ladies wa humu JF

Mi nahitaji mume
Mimi nakuoa kabisa dada sio kukuchezea ,hapa nipo single tu hata sijaoa tena baada ya kuachwa na mke wangu wa zamani .
Kikubwa zama PM ,nikuoe ,uzuri umekuja wakati mzuri nikiwa na hela ya kahawa hivyo hela ya kuwaita masheikh ipo na chai tutakunywa bila kusahau na ubani lazima uchomwe .
Please weka masihala pembeni zama kunako
 
Mimi nakuoa kabisa dada sio kukuchezea ,hapa nipo single tu hata sijaoa tena baada ya kuachwa na mke wangu wa zamani .
Kikubwa zama PM ,nikuoe ,uzuri umekuja wakati mzuri nikiwa na hela ya kahawa hivyo hela ya kuwaita masheikh ipo na chai tutakunywa bila kusahau na ubani lazima uchomwe .
Please weka masihala pembeni zama kunako
Haya
 
Back
Top Bottom