We si umetoka kusema vijana hatuna mchango kwa nyuzi kama hizi alafu tena unatumia uzi huu kurusha kamba 🤣🤣🤣🤣Mimi nakuoa kabisa dada sio kukuchezea ,hapa nipo single tu hata sijaoa tena baada ya kuachwa na mke wangu wa zamani .
Kikubwa zama PM ,nikuoe ,uzuri umekuja wakati mzuri nikiwa na hela ya kahawa hivyo hela ya kuwaita masheikh ipo na chai tutakunywa bila kusahau na ubani lazima uchomwe .
Please weka masihala pembeni zama kunako
Sitongozagi mkuu 😂Weee tongoza acha kuniangukia kwa msongo wako. 🤣🤣🤣🤣
We si umetoka kusema vijana hatuna mchango kwa nyuzi kama hizi alafu tena unatumia uzi huu kurusha kamba
Ugomvi sasaWe si umetoka kusema vijana hatuna mchango kwa nyuzi kama hizi alafu tena unatumia uzi huu kurusha kamba 🤣🤣🤣🤣
Aaah wapi!!Anazipunguza kwa style hiyo, vipi lakini picha si imeakisi yaliyomo?
Size yangu huyo mshangaziUtamuweza? cc @Miss Natafuta 😉
mwandiko wa kiume kabisa, huitaji D mbiliUmejuaje mkuu?
Eeh bana eeh, 🤣Account ulizotaja, 6 za kiume.
mwandiko wa kiume kabisa, huitaji D mbili
Kweli unanipenda au unataka kunichezea?Wewe i love u hata unipondeje wewe wangu tu