Hivi ndivyo nilivyo mjibu leo tarehe 24/12/2021 siku moja kabla ya christmas

Hivi ndivyo nilivyo mjibu leo tarehe 24/12/2021 siku moja kabla ya christmas

bafetimbi

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2018
Posts
1,085
Reaction score
1,741
Wanazoea vibaya sana mamaeeeee mtu hatujawasiliana toka mwezi wa sita leo from no where, goooooog daamnnnnnn, bora nibaki singo kuliko hawa kupe

Screenshot_20211224-231113.jpg
 
Sijui kwanini jinsia ya kike huwa inaona yenyewe ndio ina haki ya kupokea

Ajabu baada ya hapo eti haki sawa kwa wote
Bora umeliona hilo ndomaana wanaume tunakufa mapema sana kumbe mpango wa kutuua ni hizi hizi kampeni za haki sawa hizi
 
Back
Top Bottom