Nitajie vyanzo vitano vya mapato kwa halmashauri ya jiji la Arusha nikuelekeze.Acha kukurupuka, Halmashauri hazitozi ushuru au kupata makusanyo Yao Kwa utaratibu wa VAT kama TRA.
Hakuna Cha kunifundisha hapa ,harafu mtu aliyekadiliwa Kodi anakadiliwa pesa halisi ambayo Haina uhusiano na kuongezeka Kwa bei ya bidhaa.
Hata hivyo hayo yote Huwa yanakuwa adjusted na bidhaa ambazo bei imeshuka mfano vyakula.
Tusubiri uone ile misukule ya mbowe itakavyotoa mapovuRais DK.Samia anazidi Kujipambanua na kujitofautisha na watangulizi wake Kwa kuacha alama.
Kutokana na sera yake ya kufungua Uchumi wa Nchi, Halmashauri ya Jiji la Arusha inatarajia kukusanya Mapato ya Shilingi Bilioni 60.6 ikiwa ni mara 2 ya makusanyo ya awali au sawa na ongezeni la zaidi ya asilimia π―.
Haya ni mafanikio makubwa ya kujua Kwa shughuli za kiuchumi na kuongeza Kwa mzunguko wa hela wa Jiji ambalo miaka iliyopita kilikuwa limepauka huku sekta yake kuu ya Utalii na Biashara za Huduma zikiwa zimedorora ,lakini chini ya mama hakuna vyumba vya hotels na lodges vyote vimejaa zikiwemo zile ambazo ziligunga.
Kwa mujibu wa meya wa Jiji Hilo, mabilioni hayo yanaenda kuleta mapinduzi makubwa kwenye Maisha ya watu kwani asilimia 80% ya Mapato yote yataenda kuboresha Huduma za Jamii na Uchumi za Wananchi wa Arusha.
View: https://youtu.be/5EjA-bQm73Q?si=iMX92jZDgyoLKFTD
My Take
Tuliwaambia Samia ni next level kwenye uchumi muwe mnaelewa.
View: https://www.instagram.com/p/C5yISLvqAGV/?igsh=ZGs5MTAwand4OWM0
Sio unielekeze yaani najua sijitali kuelekezwa.Nitajie vyanzo vitano vya mapato kwa halmashauri ya jiji la Arusha nikuelekeze.
Service levy kwenye halmashauri inakokotolewaje au inalipwaje?Sio unielekeze yaani najua sijitali kuelekezwa.
Mfano service levy ya petrol station inaongeza vipi Mapato ya Jiji bila kuongezeka Kwa Vituo vya Mafuta?
Nafahamu zaidi Kwa miradi ya wakandarasi ambayo ni 1% ya thamani ya mradi na sio uniform,Kila Halmashauri Ina utaratibu wake.Service levy kwenye halmashauri inakokotolewaje au inalipwaje?
Hali ya maisha ya wananchi was Arusha inasadifu hayo mapesa yaliyopatikana!!?Rais DK.Samia anazidi Kujipambanua na kujitofautisha na watangulizi wake Kwa kuacha alama.
Kutokana na sera yake ya kufungua Uchumi wa Nchi, Halmashauri ya Jiji la Arusha inatarajia kukusanya Mapato ya Shilingi Bilioni 60.6 ikiwa ni mara 2 ya makusanyo ya awali au sawa na ongezeni la zaidi ya asilimia π―.
Haya ni mafanikio makubwa ya kujua Kwa shughuli za kiuchumi na kuongeza Kwa mzunguko wa hela wa Jiji ambalo miaka iliyopita kilikuwa limepauka huku sekta yake kuu ya Utalii na Biashara za Huduma zikiwa zimedorora ,lakini chini ya mama hakuna vyumba vya hotels na lodges vyote vimejaa zikiwemo zile ambazo ziligunga.
Kwa mujibu wa meya wa Jiji Hilo, mabilioni hayo yanaenda kuleta mapinduzi makubwa kwenye Maisha ya watu kwani asilimia 80% ya Mapato yote yataenda kuboresha Huduma za Jamii na Uchumi za Wananchi wa Arusha.
View: https://youtu.be/5EjA-bQm73Q?si=iMX92jZDgyoLKFTD
My Take
Tuliwaambia Samia ni next level kwenye uchumi muwe mnaelewa.
View: https://www.instagram.com/p/C5yISLvqAGV/?igsh=ZGs5MTAwand4OWM0
Kwanza service levy hazilipwi na miradi tu, biashara karibia zote katika Halmashauri ambazo ni VAT registered wanalipa service levy halafu kama umeshakubali gharama za miradi zimeongeka kutokana na kupanda kwa dola unashangaa nini service levy kuongezeka kwenye miradi ya sasa tofauti na miaka ya nyuma?!Nafahamu zaidi Kwa miradi ya wakandarasi ambayo ni 1% ya thamani ya mradi na sio uniform,Kila Halmashauri Ina utaratibu wake.
Sasa mkandarasi ana mradi wa mil.200 ,yeye kupanda Kwa dola sijui Shilingi kunahusikaje na kulipa hiyo service levy ya 1-3% Halmashauri?
Parameters za Serikali ni makusanyo kutoka kwenye shughuli za Wananchi.Suala.la maisha Yako ni wewe kuchangamkia fursa Ili ujiletee ustawi.Hali ya maisha ya wananchi was Arusha inasadifu hayo mapesa yaliyopatikana!!?
Muwe mnaacha ujinga !!!
Uchumi ukikua na maisha ya watu was eneo husika hukua Sasa kama Hali ya mfumuko was bei IPO juu halafu unasema uchumi umekua na Raia wanalia na ugumu wa maisha utakua ni ujinga was mwandishi!
Kwa hiyo mfano nondo ambayo ilikuwa inauzwa 20,000 Sasa ni 23,000 ndio iongeze makunyanyo.kwa 100%? Acha ujinga basi broo.Kwanza service levy hazilipwi na miradi tu, biashara karibia zote katika Halmashauri ambazo ni VAT registered wanalipa service levy halafu kama umeshakubali gharama za miradi zimeongeka kutokana na kupanda kwa dola unashangaa nini service levy kuongezeka kwenye miradi ya sasa tofauti na miaka ya nyuma?!
Itoshe kusema una kichwa kigumu sana kuelewa.
Serikali imeacha kugawa pesa za TASAF?Serikali itatimiza wajibu wake wa Kuimarisha Huduma za kiuchumi na kijamii sio kukugawia pesa wewe.
Zinahusianaje na mada?Serikali imeacha kugawa pesa za TASAF?
Parameters wanazojali wanachi wa kawaida ni idadi ya ajira mpya nzuri, mfumuko wa bei na kidogo thamani ya shillingi kwa wanofanya biashara za nje.Parameters za Serikali ni makusanyo kutoka kwenye shughuli za Wananchi.Suala.la maisha Yako ni wewe kuchangamkia fursa Ili ujiletee ustawi.
Sasa kwani vyote hivyo havipo? Serikali inapata wapi Kodi kama hakuna employment of resources ikiwemo human capital?Parameters wanazojali wanachi wa kawaida ni idadi ya ajira mpya nzuri, mfumuko wa bei na kidogo thamani ya shillingi kwa wanofanya biashara za nje.
Hakuna mwananchi wa kawaida anajali serikali imekusanya shillingi.
Mifuko ya wenyewe kina nani? Unaweza thibitisha?Hata zikusanywe ngapi ,zinaishia kwenye mifuko yao wenyewe
Pambio zinaendelea πPigeni pambio zote lakini hukumu yetu kwa ccm iko palepale 2025. Maadui wakubwa wa watanganyika ni ccm,ujinga,maradhi na umasikini.
Maendeleo hayasimuliwi ila tunatakiwa tuone maisha yanakuwa bora.
si wanakulipa endelea tu
ππππ¨si wanakulipa endelea tu
Samahani mkuu, kulipa service levy halmashauri ni mpaka uwe VAT Trader au kila mfanyabiashara analipa?Kwanza service levy hazilipwi na miradi tu, biashara karibia zote katika Halmashauri ambazo ni VAT registered wanalipa service levy halafu kama umeshakubali gharama za miradi zimeongeka kutokana na kupanda kwa dola unashangaa nini service levy kuongezeka kwenye miradi ya sasa tofauti na miaka ya nyuma?!
Itoshe kusema una kichwa kigumu sana kuelewa.