Hivi Ndivyo Samia amefungua Uchumi. Mapato ya Jiji la Arusha Yapaa Mara Mbili kutoka Bilioni 30 Hadi Bilioni 60. Ni zaidi ya asilimia 💯

Hivi Ndivyo Samia amefungua Uchumi. Mapato ya Jiji la Arusha Yapaa Mara Mbili kutoka Bilioni 30 Hadi Bilioni 60. Ni zaidi ya asilimia 💯

Acha kukurupuka, Halmashauri hazitozi ushuru au kupata makusanyo Yao Kwa utaratibu wa VAT kama TRA.

Hakuna Cha kunifundisha hapa ,harafu mtu aliyekadiliwa Kodi anakadiliwa pesa halisi ambayo Haina uhusiano na kuongezeka Kwa bei ya bidhaa.

Hata hivyo hayo yote Huwa yanakuwa adjusted na bidhaa ambazo bei imeshuka mfano vyakula.
Nitajie vyanzo vitano vya mapato kwa halmashauri ya jiji la Arusha nikuelekeze.
 
Rais DK.Samia anazidi Kujipambanua na kujitofautisha na watangulizi wake Kwa kuacha alama.

Kutokana na sera yake ya kufungua Uchumi wa Nchi, Halmashauri ya Jiji la Arusha inatarajia kukusanya Mapato ya Shilingi Bilioni 60.6 ikiwa ni mara 2 ya makusanyo ya awali au sawa na ongezeni la zaidi ya asilimia 💯.

Haya ni mafanikio makubwa ya kujua Kwa shughuli za kiuchumi na kuongeza Kwa mzunguko wa hela wa Jiji ambalo miaka iliyopita kilikuwa limepauka huku sekta yake kuu ya Utalii na Biashara za Huduma zikiwa zimedorora ,lakini chini ya mama hakuna vyumba vya hotels na lodges vyote vimejaa zikiwemo zile ambazo ziligunga.

Kwa mujibu wa meya wa Jiji Hilo, mabilioni hayo yanaenda kuleta mapinduzi makubwa kwenye Maisha ya watu kwani asilimia 80% ya Mapato yote yataenda kuboresha Huduma za Jamii na Uchumi za Wananchi wa Arusha.

View: https://youtu.be/5EjA-bQm73Q?si=iMX92jZDgyoLKFTD


My Take
Tuliwaambia Samia ni next level kwenye uchumi muwe mnaelewa.

View: https://www.instagram.com/p/C5yISLvqAGV/?igsh=ZGs5MTAwand4OWM0

Tusubiri uone ile misukule ya mbowe itakavyotoa mapovu
 
Nitajie vyanzo vitano vya mapato kwa halmashauri ya jiji la Arusha nikuelekeze.
Sio unielekeze yaani najua sijitali kuelekezwa.

Mfano service levy ya petrol station inaongeza vipi Mapato ya Jiji bila kuongezeka Kwa Vituo vya Mafuta?

Pili,ushuru wa taka au property tax inahusianaje na bei vitu kupanda?
 
Sio unielekeze yaani najua sijitali kuelekezwa.

Mfano service levy ya petrol station inaongeza vipi Mapato ya Jiji bila kuongezeka Kwa Vituo vya Mafuta?
Service levy kwenye halmashauri inakokotolewaje au inalipwaje?
 
Service levy kwenye halmashauri inakokotolewaje au inalipwaje?
Nafahamu zaidi Kwa miradi ya wakandarasi ambayo ni 1% ya thamani ya mradi na sio uniform,Kila Halmashauri Ina utaratibu wake.

Sasa mkandarasi ana mradi wa mil.200 ,yeye kupanda Kwa dola sijui Shilingi kunahusikaje na kulipa hiyo service levy ya 1-3% Halmashauri?
 
Rais DK.Samia anazidi Kujipambanua na kujitofautisha na watangulizi wake Kwa kuacha alama.

Kutokana na sera yake ya kufungua Uchumi wa Nchi, Halmashauri ya Jiji la Arusha inatarajia kukusanya Mapato ya Shilingi Bilioni 60.6 ikiwa ni mara 2 ya makusanyo ya awali au sawa na ongezeni la zaidi ya asilimia 💯.

Haya ni mafanikio makubwa ya kujua Kwa shughuli za kiuchumi na kuongeza Kwa mzunguko wa hela wa Jiji ambalo miaka iliyopita kilikuwa limepauka huku sekta yake kuu ya Utalii na Biashara za Huduma zikiwa zimedorora ,lakini chini ya mama hakuna vyumba vya hotels na lodges vyote vimejaa zikiwemo zile ambazo ziligunga.

Kwa mujibu wa meya wa Jiji Hilo, mabilioni hayo yanaenda kuleta mapinduzi makubwa kwenye Maisha ya watu kwani asilimia 80% ya Mapato yote yataenda kuboresha Huduma za Jamii na Uchumi za Wananchi wa Arusha.

View: https://youtu.be/5EjA-bQm73Q?si=iMX92jZDgyoLKFTD


My Take
Tuliwaambia Samia ni next level kwenye uchumi muwe mnaelewa.

View: https://www.instagram.com/p/C5yISLvqAGV/?igsh=ZGs5MTAwand4OWM0

Hali ya maisha ya wananchi was Arusha inasadifu hayo mapesa yaliyopatikana!!?

Muwe mnaacha ujinga !!!

Uchumi ukikua na maisha ya watu was eneo husika hukua Sasa kama Hali ya mfumuko was bei IPO juu halafu unasema uchumi umekua na Raia wanalia na ugumu wa maisha utakua ni ujinga was mwandishi!
 
Nafahamu zaidi Kwa miradi ya wakandarasi ambayo ni 1% ya thamani ya mradi na sio uniform,Kila Halmashauri Ina utaratibu wake.

Sasa mkandarasi ana mradi wa mil.200 ,yeye kupanda Kwa dola sijui Shilingi kunahusikaje na kulipa hiyo service levy ya 1-3% Halmashauri?
Kwanza service levy hazilipwi na miradi tu, biashara karibia zote katika Halmashauri ambazo ni VAT registered wanalipa service levy halafu kama umeshakubali gharama za miradi zimeongeka kutokana na kupanda kwa dola unashangaa nini service levy kuongezeka kwenye miradi ya sasa tofauti na miaka ya nyuma?!
Itoshe kusema una kichwa kigumu sana kuelewa.
 
Hali ya maisha ya wananchi was Arusha inasadifu hayo mapesa yaliyopatikana!!?

Muwe mnaacha ujinga !!!

Uchumi ukikua na maisha ya watu was eneo husika hukua Sasa kama Hali ya mfumuko was bei IPO juu halafu unasema uchumi umekua na Raia wanalia na ugumu wa maisha utakua ni ujinga was mwandishi!
Parameters za Serikali ni makusanyo kutoka kwenye shughuli za Wananchi.Suala.la maisha Yako ni wewe kuchangamkia fursa Ili ujiletee ustawi.

Serikali itatimiza wajibu wake wa Kuimarisha Huduma za kiuchumi na kijamii sio kukugawia pesa wewe.

Mwisho povu la nini Sasa? Ndio ukweli huo Samia amefungua Nchi ndio maana Arusha imetapika.
 
Kwanza service levy hazilipwi na miradi tu, biashara karibia zote katika Halmashauri ambazo ni VAT registered wanalipa service levy halafu kama umeshakubali gharama za miradi zimeongeka kutokana na kupanda kwa dola unashangaa nini service levy kuongezeka kwenye miradi ya sasa tofauti na miaka ya nyuma?!
Itoshe kusema una kichwa kigumu sana kuelewa.
Kwa hiyo mfano nondo ambayo ilikuwa inauzwa 20,000 Sasa ni 23,000 ndio iongeze makunyanyo.kwa 100%? Acha ujinga basi broo.

By whatever business , gharama hazijapanda by 100% .Na Je zilizoshuka mbona huzizungumzii?

Wewe toa ego na wivu hapa,kama kuongeza gharama kunaongeza Mapato kumbe ni jambo zuri maana unapata mapesa ya kumwaga mamiradi kila Kona ya kuongeza ustawi wa jamii.
 
Parameters za Serikali ni makusanyo kutoka kwenye shughuli za Wananchi.Suala.la maisha Yako ni wewe kuchangamkia fursa Ili ujiletee ustawi.
Parameters wanazojali wanachi wa kawaida ni idadi ya ajira mpya nzuri, mfumuko wa bei na kidogo thamani ya shillingi kwa wanofanya biashara za nje.
Hakuna mwananchi wa kawaida anajali serikali imekusanya shillingi.
 
Parameters wanazojali wanachi wa kawaida ni idadi ya ajira mpya nzuri, mfumuko wa bei na kidogo thamani ya shillingi kwa wanofanya biashara za nje.
Hakuna mwananchi wa kawaida anajali serikali imekusanya shillingi.
Sasa kwani vyote hivyo havipo? Serikali inapata wapi Kodi kama hakuna employment of resources ikiwemo human capital?
 
Pigeni pambio zote lakini hukumu yetu kwa ccm iko palepale 2025. Maadui wakubwa wa watanganyika ni ccm,ujinga,maradhi na umasikini.
Maendeleo hayasimuliwi ila tunatakiwa tuone maisha yanakuwa bora.
 
Kwanza service levy hazilipwi na miradi tu, biashara karibia zote katika Halmashauri ambazo ni VAT registered wanalipa service levy halafu kama umeshakubali gharama za miradi zimeongeka kutokana na kupanda kwa dola unashangaa nini service levy kuongezeka kwenye miradi ya sasa tofauti na miaka ya nyuma?!
Itoshe kusema una kichwa kigumu sana kuelewa.
Samahani mkuu, kulipa service levy halmashauri ni mpaka uwe VAT Trader au kila mfanyabiashara analipa?
 
Back
Top Bottom