Hivi ndivyo tulivyotapeliwa na Ontario wa TMT kwenye Forex

Na wewe ni muhuni na mpuuzi kama huyo mpuuzi mwenzio..

Nitajie hapa watu watano pekee waliotajirika kwa forex.. Mimi nitakutajia maelfu waliotajirika kwa Kilimo.
 
The only solution ya kutengeneza utajir,kodi au milik ardh lima nyanya au kitunguu i promise unatoka mm saiv naish maisha yang ya level nzur,nyumb ipo but mwakn nanunua mark x tukijaaliwa na mm npate usafir maan mchumia juan anakul kivulin(my age 24) sasa ww endelea kuw mvivu wa kufikir na kutak utajir kwa kubonyeza batan za cm yako
 
Kuna ugomvi wa maslahi kwenye biashara ya kitapeli...


Mtoa mada alikua mwanafunzi wake,kakua,kaota mapembe anataka kuchukua ugali wa mwalimu...

Jay-Z anakuambia ,little monkeys grown into gorillas!

Wote wezi tu,wezi wameoneana wivu...half billion ya wizi ya Ontario imempagawisha mwanafunzi na yeye anataka awe gorilla kabisa!

Majizi majizi tu...wote waizi watupu!

Kafieni huko!
 
Hahahahahahaha dude ulikuwa unatetea wewe lakini
 
Na wewe ni muhuni na mpuuzi kama huyo mpuuzi mwenzio..

Nitajie hapa watu watano pekee waliotajirika kwa forex.. Mimi nitakutajia maelfu waliotajirika kwa Kilimo.
Na wewe ni muhuni na mpambavu kama wenzio .

Unataka nikutajie ili iweje .

Wewe katika ulimwengu wa Forex hauko kabisa wala hujui kitu kuhusu forex so hata nikikutaji haitakusaidia kitu .

Niikuwa nakuona una akili sana humu ndani kumbe ndio wale wale tu .

Mshambiwa forex ia not for everyone tatizo mnalazimisha vitu sana .

Kitu usichikijua wewe na kisichokupa faida wewe upande mwengine wenzako wanafaidika nacho .

So acha kuponda ponda tu wakati hujui kitu kabisa yaani tabularasa .

Sitokujibu tena maana nimegundia hujui kitu zaidi ya hiyo taaluma yako uliosomea.

Sio ajabu ni Fisadikuu kweli nani anajua .

Kwaheri
 
Hahahahahahaha dude ulikuwa unatetea wewe lakini


Hizi topic za forex mkuu mimi ni mpinzani mkuu!Pitia thread zote uniambie....

Kuhusu hiyo post yangu hapo juu kuhusu position ya tmt na jp against huyu mchezaji ni opinion ...hawa waduwanzi hua siwafagiliii kabisa!

Ila Ontario ni moja kati ya watu wanafiki sijapata ona hapa duniani...just kwa kusoma threads zake!

Nafiki na tapeli la kutupwa!..Sijawahi liona physically ila kupitia threads zake unaona wazi kabisa!
 
Aliwahi kusema Fid Q neno tamu huwa halina ukweli na neno baya lina ukweli ndani yake.

Jamaa ana maneno matamu sana kama walivyo matapeli na wanasiasa but very hollow words.... Wanataka kukuingiza kingi tu wakupige wasepe.
 
Unadhani kwa yale maneno sukari ya mshkaji tungetokaje sasa? The guy is absolutely great market influencer yaani ukiingia ukitoka una Mungu.

Maisha haya! Ila no sweat tu.
ndani ya mwezi mmoja una TZS 50M kwa mtaji wa USD 1000. Ama kweli maisha easy sana aser[emoji1] [emoji1]
 
Na wewe ni muhuni na mpuuzi kama huyo mpuuzi mwenzio..

Nitajie hapa watu watano pekee waliotajirika kwa forex.. Mimi nitakutajia maelfu waliotajirika kwa Kilimo.
Mkuu trump mwenywe anafanya sana forex na kaajiri hadi watu kwa hiyo kazi, sasa ukisema sio unakosea! Na ukinitajia hao watu wako waliotajirika kwa kilimo watakua wa uko kijijini kwako.
 
Unaona ulivyo mjinga.. my two lines unajibu kwa maneno mengi ambayo ni kelele tupu..

Wewe umeijua forex humu kupitia Ontario, mimi nimekaa darasani, nikasoma na nimeanza trade kabla hata wewe na Ontario hamjaingia humu JF..

Nimekwambia niambie successful people waliotajirika kwa Forex hujui na wala huna majibu. Mimi nitakwambia mpaka matajiri waliotajirika kwa kulima na kuuza hizo ndizi.

Biashara yeyote ina risk ndio maana kukawa na Insurance for unforeseen things, ila duniani kote huwezi insure biashara ya kamari. Forex ni kamari, full stop.

Usitake nirudi darasani nikufundishe topic ya Risk, niilisoma hiyo semester nzima chuoni, na sio hivi vyuo vyenu vya ajabu ajabu..
 
Samahani mkuu, nilikufananisha na yule myahudi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…