Hivi ndivyo tulivyotapeliwa na Ontario wa TMT kwenye Forex

Sikuwahi kuwa na Imani na huyu mtu.
 
We trusted our brother then he sold us out.

Trust.
 
Watu tumeandika sana kuhusu TMT na ONTARIO miezi mingi sana nyuma huko ila still watu wanaibiwa tu na mtu huyo huyo.
Nyie mnaoliwa sasahivi ni kwa kujitakia na ONTARIO endelea tu kuwala kwasababu hawawezi kutrade pasipo nyie.
Sasa TMT Na ONTARIO sasa sio wa kulaumiwa ila wakujilaumu ni hawa walioziba masikio na kusema "Watu wanachuki binafsi na ONTARIO" na wengine wakasema "FOREX DAR ndio wanasambaza habari za chuki kumharibia mshindani wao ,ONTARIO".
ONTARIO endelea tu kuwala wote wanaoendelea kufanya FOREX na nyinyi.

Watu waliandika sana mkaanza kuwaharibia thread zao kwa kukanunsha kila kilichoandikwa mda ule.Hakuna kipya hapo alichokindika Mleta mada ambacho toka mwezi wa 10 mpaka jan hakikuandikwa humu na vyote vilikanushwa na watea wake kindakindaki.

Watu wameona NANDI kaenda FOREX kwa ONTARIO akapiga picha na ONTARIO akaipost humu watu wakaanza kusema mbona NANDI kaenda bhana,hawa wengine ni chuki twendeni(Great thinkers wenzetu wakavutwa na NANDI hahahah).

ONTARIO kama utasoma hii comment ujue tu mimi sina kesi wala tatizo na wewe hata kidogo maana tofauti yangu na wewe nilimalizia kwenye thread hii SHAHIDI: Majibu kwa Ontario kuhusu kuitwa tapeli wa Biashara ya Forex kupitia TMT (II)

Myahudi Jr II ni muelewa sana sikuhizi huwa hafuati upepo na hatokuja kukukandia mleta mada kama alivyokuwa akifanya kwenye thread hii SHAHIDI: Majibu kwa Ontario kuhusu kuitwa tapeli wa Biashara ya Forex kupitia TMT (II)
 
mkuu, mimi nafanya folex, na sijawahi kuwa na mentor na profit na make, na sijawahi pigwa lost. by now nipo na ma broker wa 3, forex.com, etoro.com na hawa templerfx.com... naishi mwanana tu, sijawahi hata ku attend training zaidi ya kujisomea mwenyewe

Nakuhakikishia Forex sio utapeli ukipata watu sahihi wa kukuguide..its the future. Mbaya upate watu wenye tamaa kama ya Ontario.

Umekwisha!
 
niko fresh sana kwenye demo ila sasa kwenye live huwa presha inapanda najikuta na lose. kuna siku kidogo nivunje lap top zaidi ya 1800 dollar zilipotea ghafla in 10hrs na account ikasoma 2.7 $
Una haja ya kupanick umekosa discipline and proper risk management inaonyesha.
Na huko too emotional.

Tafiti mapungufu yako learn more you will be good.

Been there, done that.
 
We trusted our brother then he sold us out.

Trust.
Halafu mkuu nimeona umesema kuwa eventually TmT wakawaambia kuwa JP Markets ni tapeli na JP Markets nae akasema TmT awe ignored kuwa naye ni Tapeli.... Kwahiyo sasa TmT anatumia brocker yupi???

Kuna siku nilieleza watu humu kuwa ipo siku itatokea conflict of interest kati ya JP Market na IB wake TmT watu wakawa wanareply kwa blue screenshots!!! Haya sasa watu wameunguza viinua mgongo[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Una haja ya kupanick umekosa discipline and proper risk management inaonyesha.
Na huko too emotional.

Tafiti mapungufu yako learn more you will be good.

Been there, done that.
umekosa discipline and proper risk management inaonyesha.
Na huko too
emotional.
emotional.
emotional.
emotional.
emotional.

TRUE MAANA kwenye demo sikosei ila LIVE.
mkuu wewe uko maeneo gani dar labda tunaweza shar idea one day
 
niko fresh sana kwenye demo ila sasa kwenye live huwa presha inapanda najikuta na lose. kuna siku kidogo nivunje lap top zaidi ya 1800 dollar zilipotea ghafla in 10hrs na account ikasoma 2.7 $
Tupe sababu zilizopelekea kuunguza account yako...


Forex ni knowledge, ila kuwa na knowledge si kigezo cha wewe kufanikiwa.. Soma sana psychology of trading
 
niko fresh sana kwenye demo ila sasa kwenye live huwa presha inapanda najikuta na lose. kuna siku kidogo nivunje lap top zaidi ya 1800 dollar zilipotea ghafla in 10hrs na account ikasoma 2.7 $
Mkuu I have noticed that forex is all about skills and experience not capital

Binafsi nilishapoteza almost 300 usd lakn namshkuru Mungu noe nimeanza kuona mwanga

Yesterday night I deposited 6 usd lets see nitafika wapi next week
 
umekosa discipline and proper risk management inaonyesha.
Na huko too
emotional.
emotional.
emotional.
emotional.
emotional.

TRUE MAANA kwenye demo sikosei ila LIVE.
mkuu wewe uko maeneo gani dar labda tunaweza shar idea one day
Unajua robot wanaweza kupata faida sana Kwenye Forex maana hawana emotional na adui mkubwa wa Forex ni emotional pekee.

Jaribu kutafuta best ways to handle emotions then you will be fine. Huu mtihani Mimi nilishaupita..emotions nilishazinyofoa zamani.

Kwa sasa siko Dar mkuu.
 
Exactly na kwa sasa Mimi siko kama nilivyo nimejifunzia na kumaster hiki kitu.

Na na ninaamini its the good things i have ever came across with.
Exactly mkuu.

Hii kitu nitajifunza mbeleni Mungu akipenda kwa sasa nazidi kujifunza zaidi jinsi ilivyo uhalisia wake.

Ningekuwa na muda wa kutosha ningeshajitosa kwenye training ila sikuweza sababu ya muda.

Niwapongeze wote mliofanya training ya hi kitu hatimaye mkagundua kilichomo humo na kutupa mwanga na njia sahihi wengine tuliochelea lakini tuna ndoto ya kujifunza.

ONTARIO tumwambie ukweli bila kumung'unya maneno katika mazuri yake na mabaya yake.

Daima ukweli unatuweka huru!!
 
hawa templerfx, nao wana changa moto yao. mie hawa nawatumia kwa ajiri ya matumizi madogo madogo maana hawa eleweki vizuri.

sehemu ya investment nimefanya etoro na forex

Mkuu Humble African kuna hawa templer Fx wanasema wana fanya trade za training kwa dola moja!! Yaani inakuwa kama demo acc ila ni real! Mi nataka hiyo ili niwe tu kama nacheza game huku naji brush!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…