Hivi ndivyo tulivyotapeliwa na Ontario wa TMT kwenye Forex

Hivi ndivyo tulivyotapeliwa na Ontario wa TMT kwenye Forex

"easy come..easy go''

ulibahatika kupata profit ya kiasi gani.?
Mimi niliingiaga mzima..niliwahi tengeneza hadi dola 1500. Nilikuwa nikiwaona watu wana IST najisemea hawa watu wana akili kweli!?

Nikiona Range Rover au BMW nikichanganya na maneno ya Ontario mixer na profit ya $1500 nawadharau Sana wa spacio ila muda huu nawaheshimu hadi wa spacio tena Ahahaha. Maana hata boda imegoma.
 
ni kweli kabisa, alafa hii watu wanakosea wanapo ichukulia kama sehemu ya kujiongezea kipato.

mimi hii nimefanya kama ofisi, na ma document kibao, na huwa na kua naingia kama ofisini, hua siwezi kuacha trading mie niondoke huwa sifanyi hivyo, huwa nakaa hadi masaa yangu kumi yatimie. hii ni ofisi kwangu, kila ninacho fanya kinaingizwa kwenye record na mwisho wa mwezi najilipa mshahara na nyingine naicha kukuza mtaji. na soon naingia kwenye full time nataka ku quit kila kitu, nibaki na hii tu
Duuu safi sana Mkuu forex ni fursa kwakweli ngoja tuzidi kupambana mpaka kieleweke.
 
Sikuwa nikiijua forex kabla ya ontario kuintroduce hapa jf, sikutaka kukurupuka nikatulia nikasoma kidogo, nikasoma comments za watu vya kutosha nikachanganya na akili zangu za kuzaliwa, nikagundua kuna uwezekano 85% forex ikawa real ila 97% ontario akawa tapeli, nikasukuti kwanza, nikaonheza akili kidogo nikaja kuona ninachokiamin ni sahihi, niligundua forex yaweza kiwa real ila inabidi uache kazi ufanye kazi, uisome mnoo maana ni very risk...

Polen sana ndugu zangu
 
mkuu mimi nilitaka kwenda tmt ila kila nikipanga kunatokea dharura sasa nataka na mimi niive kama wewe nitaivia wapi ..nipe mwongozo..still i want to trade
You need to meets knowledgeable, humble and person who is not greedy. Atakupa msaada.

Ukitaka kizuri gharama lakini sisi tumelipa gharama kubwa ila uzuri with knowledge nothing is impossible.
 
Mkuu kwa sasa hapo TMT wanatumia broker gani?
Bado wana tafiti kuona nani atawafaa for the near future. Thus hawana broker kwa sasa maana sioni hata mentor akitoa calls for the last few days passed.
 
  • Thanks
Reactions: uth
yeaah lakin kuwek lots kubwa sio kupata faida kubw unawez wek lots 0.02 lakin ukapga hel kubwa pia risk ikawa ndogo
Kitu cha msingi kwanza ni kumaster mchezo wa forex alafu faida inakuja baadae kuna strategy ukizijua unakua na uhakika wakupiga pesa unaweka lots size ata ya 1 au 2 bila tatizo ni vyema kusoma na kujifunza bila kukoma ili kujua ndani na nje ya forex.
 
yeaah lakin kuwek lots kubwa sio kupata faida kubw unawez wek lots 0.02 lakin ukapga hel kubwa pia risk ikawa ndogo
Kinachoaribu watu wanataka Forex iwe get rich quick schemes wanajilipua na malot makubwa at the end wanakuwa market donors.

Ukiwa na lot ndogo hata emotions huwezi kuwa nazo maana umekuwa na discipline na soko. Ukiliheshimu linakuheshimu pia.
 
Nandy, AY, Max, Ruge mutahaba, hawa wote nao wamekula za uso.

Wengine walikuwa wana trade kwa siri.
Kuna uzi bwana habib anga a.k.a the bold aliandika matapeli wa5 tanzania nadhan imefika wakati amuongeze na ontario katika ontario katika list hiyo.. Maana katapeli mpaka kina ay bado kidogo angemtapeli mpaka mkubwa wa sirikali maana jamaa anavyopenda hela za kitonga angechukua hazina yote akaenda kutrade[emoji23] [emoji23] ..

Nacheka km mazuri ila inasikitisha, mtu umetokwa jasho mpuuz mmoja anaichukua akiwa kwenye a.c ndio maana huwa nasema hapa mjini ni akili, nguvu kijijin, ukija town na miguvu yako utalima lami.
 
Kinachoaribu watu wanataka Forex iwe get rich quick schemes wanajilipua na malot makubwa at the end wanakuwa market donors.

Ukiwa na lot ndogo hata emotions huwezi kuwa nazo maana umekuwa na discipline na soko. Ukiliheshimu linakuheshimu pia.
kweli mkuu upo sahihi..ninapo set analysis zang za price action ndan nikiwek demand na supply nikiweka na fibs lots aizid 0.50pip uakika
 
Sikuwa nikiijua forex kabla ya ontario kuintroduce hapa jf, sikutaka kukurupuka nikatulia nikasoma kidogo, nikasoma comments za watu vya kutosha nikachanganya na akili zangu za kuzaliwa, nikagundua kuna uwezekano 85% forex ikawa real ila 97% ontario akawa tapeli, nikasukuti kwanza, nikaonheza akili kidogo nikaja kuona ninachokiamin ni sahihi, niligundua forex yaweza kiwa real ila inabidi uache kazi ufanye kazi, uisome mnoo maana ni very risk...

Polen sana ndugu zangu
Tushapoa mkuu!

Forex haina haja ya kusoma mno mkuu ile sio aerospace engineering. Na Ndio maana sandile shezi Forex millionaire imekuwa millionaire at the age of 20 via hii hii Forex.

Forex inataka practice, uachane na emotions, uwe na discipline, na proper risk management pamoja and knowledge basi wewe utapiga hela kirahisi sana.

Forex ina risk ukiwa hauna knowledge but ukiijua unachofanya its a great opportunity.
 
Tushapoa mkuu!

Forex haina haja ya kusoma mno mkuu ile sio aerospace engineering. Na Ndio maana sandile shezi Forex millionaire imekuwa millionaire at the age of 20 via hii hii Forex.

Forex inataka practice, uachane na emotions, uwe na discipline, na proper risk management pamoja and knowledge basi wewe utapiga hela kirahisi sana.

Forex ina risk ukiwa hauna knowledge but ukiijua unachofanya its a great opportunity.
Usikute sandile nae alikuwa km ontario[emoji23] [emoji23] [emoji23] ..

Ila mkuu inabidi usome upate kuelewa kwanza.
 
Usikute sandile nae alikuwa km ontario[emoji23] [emoji23] [emoji23] ..

Ila mkuu inabidi usome upate kuelewa kwanza.
Yule dogo ni self made millionaire very reliable and smart.

Kwa sasa anatoa mafunzo bure hadi gerezani kwa watu wanaojieleaa kuinvest in Forex.

Kusoma ni must ila sio ile intensive. Utajikuta unakuwa too emotional then unarudi kule kule.
 
Tupe sababu zilizopelekea kuunguza account yako...


Forex ni knowledge, ila kuwa na knowledge si kigezo cha wewe kufanikiwa.. Soma sana psychology of trading
nili weka lot size kubwa na nikafungua position kama 4 hivi nikiamini kuwa after news price ita drop lakini baada ya hapoo ilipanda kwa kasi sana hadi kuunguza account na baadae kama masaa kadhaa ikashukaa taratibu
 
  • Thanks
Reactions: uth
Mimi niliingiaga mzima..niliona tengeneza hadi dola 1500. Nilikuwa nikiwaona watu wana IST najisemea hawa watu wana akili kweli!?

Nikiona Range Rover au BMW nikichanganya na maneno ya Ontario mixer na profit ya $1500 nawadharau Sana wa spacio ila muda huu nawaheshimu hadi wa spacio tena Ahahaha. Maana hata boda imegoma.


nini hatma ya huyu Ontario aliyewaingiza chaka.?
~je utamshitaki?
~au ni kimya kimya?
~ontario anajiteteaje?
 
Short cut is always a long cut acheni kupenda mkato tumieni jasho na damu kupata pesa
 
Back
Top Bottom