sky walker
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 1,160
- 831
hahahahaahahahah handle emotions emotions nilishazinyofoa zamani. hongera sema mpaka nilipofikia saizi nahisi zimepungua tofauti na kipindi cha nyuma. saizi labda kwenye margin call ikitokea ndo nitashtukaUnajua robot wanaweza kupata faida sana Kwenye Forex maana hawana emotional na adui mkubwa wa Forex ni emotional pekee.
Jaribu kutafuta best ways to handle emotions then you will be fine. Huu mtihani Mimi nilishaupita..emotions nilishazinyofoa zamani.
Kwa sasa siko Dar mkuu.