Hivi ndivyo tulivyotapeliwa na Ontario wa TMT kwenye Forex

Hivi ndivyo tulivyotapeliwa na Ontario wa TMT kwenye Forex

Hawa jamaa wako vizuri na hili group lao la telegram wako very clean, transparency, no zone scammers its the great place to be a and learn and grow as a forex traders.

Na Mimi nimo kwenye group lao since way back but hawanijui..I recommends this group..nice one very informative and sophisticated.

shukrani ulieleta link.
Link ya hilo group mkuu mbona haifunguki ninaomba mtu aposti tena Tafadhali na asanteni
 
Msingi wa hoja yangu ni kwamba Ontario hadi kumfuata Cre afanye nae kazi na kua ni mtu pekee aliye mfollow instagram ,alijiridhisha kwamba anajua, na ili mtu aweze kukupotosha inabidi ajue ili akikupotosha awe na uhakika wa kupata faida akitrade against you.

Hii ya mamentor kufanya biashara ya aina hii nimekutana nayo mara kdhaa mitandaoni,Andile Mayisela amawahi wafanyia hivi traders alikokua anawqongoza kwa kuingia mkataba na BB broker na wale traders wakapewa call za uongo na hela zikaenda na maji ,hii ndio aina ya scam
inayosemwa iko kwenye forex na inatumika kwa wale ambao ndio wageni kabisa ktk game ili hata akikwambia hii ni double top wakati siyo unakuwa huna la kupinga kwa sababu hijui.

Style hii pia nimewahi soma tuhuma mitandaoni alitumia Prophet Bushiri kuwapotosha waumini wake aliowaambia waingize hela ktk trading na yeye angewamentor kisha hela zikaenda na maji kwa kuwapotosha ktk calls.

Huu ni mtazamo wangu tu ,si lazima ukawa sahihi 100%.

Mwisho hii fx inawezekana mtu akaifahamu ila kwa kufanya jitihada kubwa,na nilikua na bahati ya kipekee ya kuwa kati ya watu wa kwanza kupata habari za hii biashara kutoka kwa Ontario ana kwa ana hata kabla hajaleta humu na nilishuhudia profits kwa macho yangu zikiwa ktk live trading yake hii iliniongezea kuiamini na kufanya jitihada za kuifahamu pia yeye mwenyewe aliniahakikishia kua inawezakana mtu kuifahamu akisoma na kupractice sana(kwa hili ninamshukuru).

sasa nina uelewa wa kuridhisha japo bado naendelea kujifunza ,pia changamoto za kupoteza hela nimezipitia sana Ila ndio tuition fee ya kuijua forex na sipendi kumtafuta mbuzi wa kafara ktk hasara zangu kwa sababu nilishawahi kufahamu kwamba every free lunch has a hidden obligation ,kwa hiyo kama nilifurahia free lunch bila kuwa na tahadhari, nilifanya kosa mimi na sio alienipa free lunch.



Mkuu wangu hili la kupoteza hela kila mtu amelipitia sana tu. Kuna siku Cre alipost trades za Loss aliyopata kwenye groups nalo hili linakuweje au alipost demo labda???sijui. Kama ni kweli kuwa Cre alikuwa anafanya call za loss makusudi ili akagawane hela na broker basi yule bwana ni shetani maana kwanza walikuwa wanachukua pips 2 kwa kila position watu walikuwa wanafungua. Walikuwa wanapata commision ya IB...tukiwithdraw hela kuna kiasi cha hela walikuwa wanabaki nacho maana exchange rate ilikuwa ni tofauti na kwenye madukaya kubadilisha hela kwa siku hyo...ilikuwa inakuwa chini kidogo na unajua kuwa pesa zilikuwa zinapitia acount ya TMT.

Kama kweli hawa jamaa hawakuridhika na hela waliyokuwa wanapata kwenye spread, IB na withdraws bado wakaamua tukukamua zaidi kwa kutupa call za uongo...basi hawa mabwana sio binadamu wa kawaida...Niseme tu hvo basi..ACHA NIENDELEE KUPIGA SHULE YA FOREX ILI NIJITEGEMEE 100%
 
Akamatwe huyu mtu.. arudishe PESA


Tuungane tukamkamate mkuu wangu...Ila kwenye hii biashara kuna kitu huwa wanaweka hata mabroker wote huwa wanaweka...Soma hapa chini

Risk Warning: Trading financial products on margin carries a high degree of risk and is not suitable for all investors. Losses can exceed the initial investment. Please ensure you fully understand the risks and take appropriate care to manage your risk.
 
Kuna kitu nimejiuliza hapa..HV watu wote walio dar wakamua kuvamia ofisi za tmt wakidai hela yao halafu polisi wakaja pale Ontario akakamatwa na matv na makamera yakimulika si itakuwa imemchafua sana. Zile invitations za kuongea au kuhudhuria makongamano ya kimataifa si ndo itakuwa basi tena. Kweli tamaa mbaya sana huyu Kijana Ontario kajiharibia sana kwa kupofushwa na tamaa kama kweli na yeye kahusika moja kwa moja kuwapuna watanzania wenzake hela zao.
 
Nitakuja kuanzisha uzi jinsi nilivyotengeneza 97m ndani ya mwezi mmoja tu kwa mtaji wa tsh 10000 kwenye betting.
Nitaeleza mbinu nilizotumia mpaka kufanikisha hiyo pesa.
Leta huo Uzi mapema aisee
 
Nitakuja kuanzisha uzi jinsi nilivyotengeneza 97m ndani ya mwezi mmoja tu kwa mtaji wa tsh 10000 kwenye betting.
Nitaeleza mbinu nilizotumia mpaka kufanikisha hiyo pesa.
We are waiting.
 
Nitakuja kuanzisha uzi jinsi nilivyotengeneza 97m ndani ya mwezi mmoja tu kwa mtaji wa tsh 10000 kwenye betting.
Nitaeleza mbinu nilizotumia mpaka kufanikisha hiyo pesa.
Mkuuu leta haraka sanaaaa hiyo mbinu.
 
Unaona ulivyo mjinga.. my two lines unajibu kwa maneno mengi ambayo ni kelele tupu..

Wewe umeijua forex humu kupitia Ontario, mimi nimekaa darasani, nikasoma na nimeanza trade kabla hata wewe na Ontario hamjaingia humu JF..

Nimekwambia niambie successful people waliotajirika kwa Forex hujui na wala huna majibu. Mimi nitakwambia mpaka matajiri waliotajirika kwa kulima na kuuza hizo ndizi.

Biashara yeyote ina risk ndio maana kukawa na Insurance for unforeseen things, ila duniani kote huwezi insure biashara ya kamari. Forex ni kamari, full stop.

Usitake nirudi darasani nikufundishe topic ya Risk, niilisoma hiyo semester nzima chuoni, na sio hivi vyuo vyenu vya ajabu ajabu..
Ahahah mkuu kama haja kuelewa basi hakuelewi tena
 
Kuna hii hapa telegram link ambayo ina hundreds of books za Forex, and all global financial market...ni forex library kubwa.

Uzuri wa mule wana post vitabu tu daily hakuna kuombana hela, wala kuchart. Its the no zone for scammers. Its all about gaining solid knowledge. I recommend this for self learning and enlightenment.

Hawa hapa @TradersLibrary TraderLibrary to enter, click on the following link: [emoji116]
Traders Library
 
Humo Kwenye hiyo traders library group ni mwendo wa kula vitabu tu mwanzo mwisho..!

Screenshot_2018-04-08-15-49-46.jpg
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ,ukweli utabaki pale pale kuwa jamaa aliwazidi na amewazidi akili mpaka kufikia kuwatengeneza na mmempa maisha kwa hiari yenu pasipo kutumia mtutu..........life means struggling na kila mmoja ana njia yake ya kutokea.
 
Back
Top Bottom