Hivi ndivyo tulivyotapeliwa na Ontario wa TMT kwenye Forex

Hivi ndivyo tulivyotapeliwa na Ontario wa TMT kwenye Forex

Mkuu Bavaria umewapa tu vijana pole....ebu tia neno kidogo kwenye hii ishu maaana kusema ukweli ulitusaidia sana mwanzoni kwwenye ule uzi wa mwanzo kabisa kwenye maujuzi ya forex
Sina cha kusema zaidi ya pole boss.

Mwanzoni nilijua ile training imeletwa kwa good faith. Ila kuambiwa mtu anafundishwa siku 5 halafu anaanza trading hapo nikajua moja kwa moja watu wanakuja kupewa signals.
Kuna classmate wangu alikuwa kwenye hayo magroup akanionesha jinsi mambo yanavyofanyika nikamuonea huruma sana.
Getting a trusted mentor kwa usawa wa sasa si kiti rahisi. Wengi ni matapeli sana.
Nashauri mtu apambane mwenyewe kwa nguvu zake.
 
Sina cha kusema zaidi ya pole boss.

Mwanzoni nilijua ile training imeletwa kwa good faith. Ila kuambiwa mtu anafundishwa siku 5 halafu anaanza trading hapo nikajua moja kwa moja watu wanakuja kupewa signals.
Kuna classmate wangu alikuwa kwenye hayo magroup akanionesha jinsi mambo yanavyofanyika nikamuonea huruma sana.
Getting a trusted mentor kwa usawa wa sasa si kiti rahisi. Wengi ni matapeli sana.
Nashauri mtu apambane mwenyewe kwa nguvu zake.
Safi umeeleza vizuri mkuu!
 
Ni kweli huyu nikimburuza mahakamani anapanda karandinga kirahisi sana na fidia anatulila ya kutosha tu.

The idea is to make him famous but this time in negative way to rescue others.

Why are you making excuses for him?

Naanza kutilia mashaka madhumuni yako.

Mtu ana ofisi kabisa na inajulikana. Na ana staff kabisa.

Mnalia sijui mmetapeliwa lakini hatua stahilifu hamchukui!

Nyie mmetapeliwa kweli au majungu tu?
 
Why are you making excuses for him?

Naanza kutilia mashaka madhumuni yako.

Mtu ana ofisi kabisa na inajulikana. Na ana staff kabisa.

Mnalia sijui mmetapeliwa lakini hatua stahilifu hamchukui!

Nyie mmetapeliwa kweli au majungu tu?
Sio kila mtu ni mwepesi wa kwenda mahakamani mkuu.

Kila mtu ana namna yake inayopoza machungu yake..trust me kuna watu wataenda mahakamani kwenye hii ishu na probably labda washatimba kisutu.

Ila kwangu naonaga ni bora niseme ndio huwa nacool down tempa yangu mahakama za bongo zilivyojaa rushwa bora hiki kilichobaki nikafanyie mengine kuliko kukipoteza mahakamani kwa nenda rudi.

I'm handling mine bruh!
 
Sio kila mtu ni mwepesi wa kwenda mahakamani mkuu.

Kila mtu ana namna yake inayopoza machungu yake..trust me kuna watu wataenda mahakamani kwenye hii ishu na probably labda washatimba kisutu.

Ila kwangu naonaga ni bora niseme ndio huwa nacool down tempa yangu mahakama za bongo zilivyojaa rushwa bora hiki kilichobaki nikafanyie mengine kuliko kukipoteza mahakamani kwa nenda rudi.

I'm handling mine bruh!

Alright ma nigga. You do you!

Deuces.
 
Yaani ukiwa na tamaa mbaya huwezi kufika popote..yaani tapeli alikula 130,000/= zetu za ada hakuridhika. 130,000×200 kwa siku tano tu, jumla 26,000,000/= hii ni kwa single session ya wiki moja session zilikuwa kibao, bado kuna session nyingi hapa sijaweka VIP walikuwa na bei yao ya executive. Hizi zote hazikutosha.

Akala commission za IB link kisiri siri hakuridhika.

Akala hela ya 2 pips spread kisiri siri hakuridhika.

Akaanza na kutufanyia mtima nyongo kwa broker kwa kucheza na order zetu tuchezee kichapo ili wagawane commison na broker.

Na bado people hawaoni haya yote ukionyesha negative wanakuona snitch...mfumo wa elimu ubadilishwe bongo maana jamaa anatumia gap hili la elimu kutuanithi waswahili wenzie.
 
Bavaria mimi nakulaan wewe kwanza katika masomo ulikua mstari wambele kutoa kwann hukutuambia kuwa tunaenda kutapeliwa na ulikua unajua je nikisema dhambi zingine ubebe wewe kuna ubaya?
 
Yaani ukiwa na tamaa mbaya huwezi kufika popote..yaani tapeli alikula 130,000/= zetu za ada hakuridhika. 130,000×200 kwa siku tano tu, jumla 26,000,000/= hii ni kwa single session ya wiki moja session zilikuwa kibao, bado kuna session nyingi hapa sijaweka VIP walikuwa na bei yao ya executive. Hizi zote hazikutosha.

Akala commission za IB link kisiri siri hakuridhika.

Akala hela ya 2 pips spread kisiri siri hakuridhika.

Akaanza na kutufanyia mtima nyongo kwa broker kwa kucheza na order zetu tuchezee kichapo ili wagawane commison na broker.

Na bado people hawaoni haya yote ukionyesha negative wanakuona snitch...mfumo wa elimu ubadilishwe bongo maana jamaa anatumia gap hili la elimu kutuanithi waswahili wenzie.
Ndo maana nikauliza hakuna mtaalamu humu wa yale mambo yetu... hela ilivyo ngumu watu wanauza mashamba afu mpuuz mmoja analamba PESA kizembe zembe aiseee n kutafuta mtaalamu tu hakuna namna...
 
Yaani ukiwa na tamaa mbaya huwezi kufika popote..yaani tapeli alikula 130,000/= zetu za ada hakuridhika. 130,000×200 kwa siku tano tu, jumla 26,000,000/= hii ni kwa single session ya wiki moja session zilikuwa kibao, bado kuna session nyingi hapa sijaweka VIP walikuwa na bei yao ya executive. Hizi zote hazikutosha.

Akala commission za IB link kisiri siri hakuridhika.

Akala hela ya 2 pips spread kisiri siri hakuridhika.

Akaanza na kutufanyia mtima nyongo kwa broker kwa kucheza na order zetu tuchezee kichapo ili wagawane commison na broker.

Na bado people hawaoni haya yote ukionyesha negative wanakuona snitch...mfumo wa elimu ubadilishwe bongo maana jamaa anatumia gap hili la elimu kutuanithi waswahili wenzie.

Ina maana alipunguza ada? Manake ilikuwa ni laki 2 kama sijakosea...
 
Ina maana alipunguza ada? Manake ilikuwa ni laki 2 kama sijakosea...
Honestly speaking sisi tulisoma kwa fee ya 130,000/= sijui intake zilizofuata labda ada iliongezwa?

Vipi wewe ukuwahi fursa iliyogeuka juice ya fursana kwa mtu mmoja? Akatukunywa?
 
Nilishtuka baada ya kufananisha analysis za astroforex kwenye web yao ambapo kipindi kile wale jamaa walisema buy EURUSD lazima ifike 1.2400 huku wakitoa sababu pamoja na chat ambapo cre anakwambia sell EURUSD and hold lose inafika $55 na mtaji wenyewe $100 unamuliza mentor should we cut lose yeye anakujibu hold tangu siku hiyo nikagundua huyu mentor uwezo mdogo na magumashi tu sikuwahi kufuata tena call zake na mwishowe nikajitoa magroup yao.
Niliamua kukomaa na video za youtube za muhindi wa urbanforex na baadhi ya vitabu mpaka sasa mambo yapo fresh.
Mkuu kama hutojali njoo pm unipe elimu kuhusu haya mambo
 
Back
Top Bottom