Hivi ndivyo tulivyotapeliwa na Ontario wa TMT kwenye Forex

Hivi ndivyo tulivyotapeliwa na Ontario wa TMT kwenye Forex

Kuna vitu vingi sana katika stori za huyo Dogo kama mtu uko makini "kusoma katikati ya mistari" vinafikirisha sana....na ndio maana naamini amerudi twitter kivingine na anataka kufanya jambo tena!
 
Jamaa unatafuta umaarufu sana alafu twitter huna hata fanbase.

UnaPush msuri tembo matokeo nzi.
Ni kweli Sina fanbase Twitter Ni mgeni kule sababu sikuwa nikitumia Twitter before.

Seema nilipoona Jeff anawaseti watu awapige ndio Nika blow whistle si unaona I've saved people's life.

Kakimbia Twitter naona karudi Facebook kwa watoto.

Mwambie Kama forex Ina faida saana kwanini asitrade na familia Yake wawe matajiri wenyewe Kama Rotchild family au Rockefeller family?

Madogo mna vichwa vigumu saana.
 
Humble African..niliona comment yako jana twitter juu ya uzoefu wako wa kufanya hii biashara ni wazi Huyu Jeff alikua bado hajaijua na kwa ile mikataba uliyoweka kuhusu kutapeliwa na hawa jamaa ni dhahiri hii biashara ni nzuri ila makanjanja kama hawa kina Jeff ndio wanaiharibu!
 
Humble African..niliona comment yako jana twitter juu ya uzoefu wako wa kufanya hii biashara ni wazi Huyu Jeff alikua bado hajaijua na kwa ile mikataba uliyoweka kuhusu kutapeliwa na hawa jamaa ni dhahiri hii biashara ni nzuri ila makanjanja kama hawa kina Jeff ndio wanaiharibu!
Sahihi kabisa.. ukiwa na knowledge na skills za kutosha ni biashara kubwa na nzuri Duniani.

Tatizo matapeli wamejaa kila Kona ya hii biashara.
 
Back
Top Bottom