Hii story nikama ishaisha tukapewa na bonus episodeUmemaliza episodes zote?π
Mtoto hana cost yoyote, hapo ameshika mbovu huyo ..Hakuna kosa Mwanaume hawezi kusamehe kama kujua mtoto aliyempata ndani ya ndoa na Mke wake sio mtoto wake wa damu.
Kuna jamaa angu aliwahi kusema, Siku atakayojua hivyo, ndiyo Siku atakayomlisha sumu huyo mtoto na Kumuua π
πππqmmke
Ni kweli, mtoto hana kosa kwani huwa hana nafasi ya kuchagua azaliwe kwenye familia ipiMtoto hana cost yoyote, hapo ameshika mbovu huyo ..
Nyie π€
Umejivunja mwenetu, naona kama umetufichia mpira mweupe.. πππππ si wa kubwa wwAnapenda vikuku sana. Sikuwa interested na ufirauni. Hivyo niseme alijistiri kwa Hilo.
Ya kwamba mfupa hauna ulimi ππππ πna baada ya kumkuta hayupo
π π π π πNikiri ujinga hapa, kweli show za kupanga tukutane tarehe fulani saa fulan, mahali fulani zinakuwa na utofauti na hizi za ku 'ambush'. Huu ni ujinga nimekiri ipo hivo ila haimaanishi mkeo umpige ambush barazani.
Tuliongea mengi na baada ya hapo tukaziruhusu sehemu zinazotofautisha jinsi zetu nazo zipeane mawaidha