Hivi ndivyo tunavocheat, palipo na viatu vya muwewe kuna ndala zangu

Huu Uzi ni mrefu kama Walaka duhπŸ˜‚
 
Inahitahi moyo kumsamehe mwanamke,aliyekusaliti
Sana,binafsi nilishashindwa aise,kuna demu nilikuwa nae mkali hatari nilikuja kugundua anachart na mwanaume mwingine sio kufanya ni kuchart tu lkn dalili zilionesha anaelekea kibra si mda.Nilimwambia km utani,mimi na wewe ndoto zetu zimeishia hapa alilia machozi hadi mekundu wapi,akamtumia mama yake kubembeleza wapi akamtumia mama yangu kubembeleza wapi,demu kakubali yaishe amebaki kuwa anawasiliana na mama tu
 
Basi sawa
 
Haya ngoja tusubirie kesho
 
Ungempa tu nafasi nyingine ila wakati umempa Hiyo nafasi make sure Una mcontrol simu yake ni yako wanawake ndio walivyo Mzee
 
Ungempa tu nafasi nyingine ila wakati umempa Hiyo nafasi make sure Una mcontrol simu yake ni yako wanawake ndio walivyo Mzee
Binafsi sina uvumilivu huo na sipendi kuishi kinafki aisee nilijaribu nikashindwa,japo demu bado anaamini ipo siku nitamsamehe na huwa anaulizia kila ninachofanya kujua kama nimeoa au bado ila anauliza kupitia mama yangu
 
Salaam wadau,

Tuendelee EP 04

Baada ya kuamka pasipo uwepo wa Recho, nikampigia simu. "Hello Good morning" alianza hivo kabla ya mimi kuongea. Nikajibu "morning... uko wapi..mbona hujaniamsha". Recho " Acha woga wewe, nimedamka mapema nikuandalie chai...hatahivo ipo tayari, njoo basi sitting room". Mimi "Poa am coming".

Hapo mapigo ya moyo yakarejea kwenye wastani wake wa kawaida. Nikaamka chap sitting room. Sasa bashasha lililokua usoni pa Recho hata mimi likanipa walakini, akanikaribisha chai. Niseme tu ilikua heavy breakfast, mpaka nikajisemea "kweli dawa imemuingia, sio kwa hospitality ile".


Kwa jinsi alivokua mchangamfu na bashasha nikaona kweli huyu sasa haisi ombwe la upweke tena. Hakika sikukosea ilikua hivo. Recho " Z tumelala wote Jana...nimekubali tuwe kwenye mahusiano lakini ujue kabisa, Nina mume wangu na ananipa kila kitu...najua namkose ila imeshatokea".

Akamalizia, " Ila Z unajua mapenzi wewe khah! Mwanamke gani huyo alikufundisha kut*mb*n*."
Nikabaki natabasam tu. Unajua vile unafeel pale mrejesho ukiwa chanya. Baada ya kifungua kinywa na story Chache nikasepa.


Nakumbuka Ile siku simu yangu haikukauka sms kutoka kwa Recho. Kama sio kila baada ya dakika moja basi ni tano ujumbe unaingia. Nilisifiwa sana na Mimi kurudisha salama vilevile. Sikumbuki takwimu vizuri lakini ndani ya Ile week tulikulana kana kwamba tupo honey moon Magoroto, Tanga.
Jina la Z likapoteza mvuto badala yake naitwa 'Daddy', 'Babaa' au 'my love'.


Ukisikia ndege kunasa tunduni hii sasa haukuishia kwake tu bali hata mimi nikajipata na hisia kalii sana juu yake. Ila hii haiku chagizwa na sex pekee, hapana kuna kitu cha ziada hapa alikifanya Recho. Nitasema baadae.


Mwezi wa pili sasa unaelekea kukatika toka tuanze rasmi wizi. Siku moja aliniambia hivi "unajua unanikula kiasi kwamba hata nikihesabu naona kabisa umezidi idadi ambazo Mimi na mume wangu tumefanya toka anioe." Akaendelea " Em tupunguze kidogo maana huyu akirudi atajua tu...ntashindwa kabisa kum 'act' tia!"

Mimi nikasalia kimya. Recho " unaonaje tuwe tunafanya mara mbili tu kwa week babaa...please kubali basi. Fanya hivo kunisaidia Mimi please".
Sikutaka uwe mjadala mkubwa nikamkubalia.


Ipo hivi, nilianza kwa kumtamani sana huyu dada, ukizingatia jinsi alivyojiweka na muonekano wake bila kusahau falsafa yangu dhidi ya wanawake type yake. Lakini kadri muda ulivosonga niliibua hisia kalii sana za mapenzi, nilihisi nimegraduate kutoka kumtamani na sasa nampenda.

Lile wazo lake likaanza kuniumiza kichwa tena (wivu). "Inakuaje anipangie e...au amepata mdau mwingine?" Hapa nikasahau kama mie mwenyewe ni mwizi, sasa naanza kuogopa kuibiwa mali ya wizi. Ila maadamu nilishakubali nikajisemea tutacheza na beat lakini twice a week Hapana.


Mambo hubadilika, sasa home familia ipo kwahiyo utokaji wangu sio huru sana kama hapo nyuma. Hata ratiba ya kumuona Recho ilibadilika japo sio kwa sehemu kubwa. Mara nyingi tulionana jioni. Wakati mwingine akiforce anione asubuhi basi nilifanya kwenda kwake.


Hii miezi mitatu ambayo nilikua clean bila sex nilikua kwenye mgogoro na kidemu changu cha chuo na Mimi nilikua tayari nimeridhia tuachane ukizingatia hatupo tena mkoa mmoja. Baada ya kufanikiwa kutengeneza mazingira ya kutolala home siku moja nikaenda kulala kwa Recho.

Kulivokucha saa 11 alfajiri sijui hii siku huyu dem tumuite Nailah wa chuo aliniota au vipi. Ilikua hivi:


Mimi na Recho ndani ya duvet, Boxer yangu chini, pichu ya Recho pembezoni mwa kitanda. Yaani tayari wazungu nimeshawahamisha makazi. Mlio wa sms ukasikika.
Kabla sijaendelea msomaji, mara zote tukiwa busy na ujinga wetu Mimi na Recho yule bwana mdogo kama hatakua amelala chumbani kwake basi hua anakua sitting room busy na cartoon.

Tulijitahidi kuficha uchafu wetu. Nakiri hapo tulifanikiwa. Ok tuendelee, mlio wa sms kuingia ukasikika na ni kwenye simu yangu. Kwa speed ya mwanga Recho aliiwahi simu yangu na kuniambia nitoe password. Mara nyingi nilikua nampa anakagua na hakuti kitu kwahiyo sikua na wasi. Simu yangu upande wa sms sikuset 'Hide Content'. Wakati ananipa nitoe nywila akaghairi kisha akaanza kusoma kwa Sauti. " UMEAMKAJE"?.

Nikauliza ni nani?. Akakaa kimyaa kisha akaendelea " Hii namba ninaijua, nimekalili namba za mwisho. Huyu ni demu wako".
Sasa kwa bahata mbaya au nzuri Mimi na Recho tulikua tunatumia simu aina Moja, Samsung alikua na uwezo wa kutafuta chochote kwenye simu yangu.

" Hii namba imekupigia sana japo si hivi karibuni lakini niliona ndio namba mnacheckiana sana... Haya nambie huyu ni nani na kwanini asubuhi hii anakutext."


Nikachukua simu mwenyewe nikaangalia namba, nikaona ni Nailah kweli. "Dah! Huyu Demu ananitakia Nini mimi... asubuhi yote hii sasa najiteteaje." Nikawaza kwa ukimya kisha nikamwambia. " mpenzi wangu, huyu ndio yule mwanamke nilikua nae chuo... nilishaachana nae ila hatakkubali matokeo".

Recho tena kwa Ngeli na jazba " I am the one who supposed to know umeamkaje kwasababu tumelala wote...huo ujasiri anautoa wapi kukutumia text asubuhi... Mimi sio mtoto Z !!!.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…