Ego is the Enemy
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 8,201
- 16,246
Ukifaki mno baadaye unaona k za kawaida hubabaiki nazo.Ego is the Enemy mapenzi yana sehemu katika maisha. Kipaumbele ndio kitu cha kupunguza.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukifaki mno baadaye unaona k za kawaida hubabaiki nazo.Ego is the Enemy mapenzi yana sehemu katika maisha. Kipaumbele ndio kitu cha kupunguza.
.Ukifaki mno baadaye unaona k za kawaida hubabaiki nazo.
Jukwaa pendwa liliondolewa kimasihara sanaKaribu sana. Nakuibia Siri, si muda jamaa anarudi Tz. Hapo mambo ndio moto.
Lete mpyaSalaam wadau,
Tuendelee EP 04
Baada ya kuamka pasipo uwepo wa Recho, nikampigia simu. "Hello Good morning" alianza hivo kabla ya mimi kuongea. Nikajibu "morning... uko wapi..mbona hujaniamsha". Recho " Acha woga wewe, nimedamka mapema nikuandalie chai...hatahivo ipo tayari, njoo basi sitting room". Mimi "Poa am coming".
Hapo mapigo ya moyo yakarejea kwenye wastani wake wa kawaida. Nikaamka chap sitting room. Sasa bashasha lililokua usoni pa Recho hata mimi likanipa walakini, akanikaribisha chai. Niseme tu ilikua heavy breakfast, mpaka nikajisemea "kweli dawa imemuingia, sio kwa hospitality ile".
Kwa jinsi alivokua mchangamfu na bashasha nikaona kweli huyu sasa haisi ombwe la upweke tena. Hakika sikukosea ilikua hivo. Recho " Z tumelala wote Jana...nimekubali tuwe kwenye mahusiano lakini ujue kabisa, Nina mume wangu na ananipa kila kitu...najua namkose ila imeshatokea".
Akamalizia, " Ila Z unajua mapenzi wewe khah! Mwanamke gani huyo alikufundisha kut*mb*n*."
Nikabaki natabasam tu. Unajua vile unafeel pale mrejesho ukiwa chanya. Baada ya kifungua kinywa na story Chache nikasepa.
Nakumbuka Ile siku simu yangu haikukauka sms kutoka kwa Recho. Kama sio kila baada ya dakika moja basi ni tano ujumbe unaingia. Nilisifiwa sana na Mimi kurudisha salama vilevile. Sikumbuki takwimu vizuri lakini ndani ya Ile week tulikulana kana kwamba tupo honey moon Magoroto, Tanga.
Jina la Z likapoteza mvuto badala yake naitwa 'Daddy', 'Babaa' au 'my love'.
Ukisikia ndege kunasa tunduni hii sasa haukuishia kwake tu bali hata mimi nikajipata na hisia kalii sana juu yake. Ila hii haiku chagizwa na sex pekee, hapana kuna kitu cha ziada hapa alikifanya Recho. Nitasema baadae.
Mwezi wa pili sasa unaelekea kukatika toka tuanze rasmi wizi. Siku moja aliniambia hivi "unajua unanikula kiasi kwamba hata nikihesabu naona kabisa umezidi idadi ambazo Mimi na mume wangu tumefanya toka anioe." Akaendelea " Em tupunguze kidogo maana huyu akirudi atajua tu...ntashindwa kabisa kum 'act' tia!"
Mimi nikasalia kimya. Recho " unaonaje tuwe tunafanya mara mbili tu kwa week babaa...please kubali basi. Fanya hivo kunisaidia Mimi please".
Sikutaka uwe mjadala mkubwa nikamkubalia.
Ipo hivi, nilianza kwa kumtamani sana huyu dada, ukizingatia jinsi alivyojiweka na muonekano wake bila kusahau falsafa yangu dhidi ya wanawake type yake. Lakini kadri muda ulivosonga niliibua hisia kalii sana za mapenzi, nilihisi nimegraduate kutoka kumtamani na sasa nampenda.
Lile wazo lake likaanza kuniumiza kichwa tena (wivu). "Inakuaje anipangie e...au amepata mdau mwingine?" Hapa nikasahau kama mie mwenyewe ni mwizi, sasa naanza kuogopa kuibiwa mali ya wizi. Ila maadamu nilishakubali nikajisemea tutacheza na beat lakini twice a week Hapana.
Mambo hubadilika, sasa home familia ipo kwahiyo utokaji wangu sio huru sana kama hapo nyuma. Hata ratiba ya kumuona Recho ilibadilika japo sio kwa sehemu kubwa. Mara nyingi tulionana jioni. Wakati mwingine akiforce anione asubuhi basi nilifanya kwenda kwake.
Hii miezi mitatu ambayo nilikua clean bila sex nilikua kwenye mgogoro na kidemu changu cha chuo na Mimi nilikua tayari nimeridhia tuachane ukizingatia hatupo tena mkoa mmoja. Baada ya kufanikiwa kutengeneza mazingira ya kutolala home siku moja nikaenda kulala kwa Recho.
Kulivokucha saa 11 alfajiri sijui hii siku huyu dem tumuite Nailah wa chuo aliniota au vipi. Ilikua hivi:
Mimi na Recho ndani ya duvet, Boxer yangu chini, pichu ya Recho pembezoni mwa kitanda. Yaani tayari wazungu nimeshawahamisha makazi. Mlio wa sms ukasikika.
Kabla sijaendelea msomaji, mara zote tukiwa busy na ujinga wetu Mimi na Recho yule bwana mdogo kama hatakua amelala chumbani kwake basi hua anakua sitting room busy na cartoon.
Tulijitahidi kuficha uchafu wetu. Nakiri hapo tulifanikiwa. Ok tuendelee, mlio wa sms kuingia ukasikika na ni kwenye simu yangu. Kwa speed ya mwanga Recho aliiwahi simu yangu na kuniambia nitoe password. Mara nyingi nilikua nampa anakagua na hakuti kitu kwahiyo sikua na wasi. Simu yangu upande wa sms sikuset 'Hide Content'. Wakati ananipa nitoe nywila akaghairi kisha akaanza kusoma kwa Sauti. " UMEAMKAJE"?.
Nikauliza ni nani?. Akakaa kimyaa kisha akaendelea " Hii namba ninaijua, nimekalili namba za mwisho. Huyu ni demu wako".
Sasa kwa bahata mbaya au nzuri Mimi na Recho tulikua tunatumia simu aina Moja, Samsung alikua na uwezo wa kutafuta chochote kwenye simu yangu.
" Hii namba imekupigia sana japo si hivi karibuni lakini niliona ndio namba mnacheckiana sana... Haya nambie huyu ni nani na kwanini asubuhi hii anakutext."
Nikachukua simu mwenyewe nikaangalia namba, nikaona ni Nailah kweli. "Dah! Huyu Demu ananitakia Nini mimi... asubuhi yote hii sasa najiteteaje." Nikawaza kwa ukimya kisha nikamwambia. " mpenzi wangu, huyu ndio yule mwanamke nilikua nae chuo... nilishaachana nae ila hatakkubali matokeo".
Recho tena kwa Ngeli na jazba " I am the one who supposed to know umeamkaje kwasababu tumelala wote...huo ujasiri anautoa wapi kukutumia text asubuhi... Mimi sio mtoto Z !!!.
Unatia kambi katika suala la kuzini
Hello please try to comprehend the briefing sort of an abstract of the story. Nobody is promoting infidelity nor adultery but rather uncovering the impacts against them. Learn to percieve things with a very positive sense.Unatia kambi katika suala la kuzini
Astakfillah astakfillah wee man is not a fan of the way to the hyperspace and the way you want to do it now and I can do it now but pearl has been in the office for years and accountability to the hyperspace to get the same thing as
Mjomba mi kingereza nilichoandika hapo ni ile wanaita typing suggestions, dont take seriously mkuu...Hello please try to comprehend the briefing sort of an abstract of the story. Nobody is promoting infidelity nor adultery but rather uncovering the impacts against them. Learn to percieve things with a very positive sense.
Hakuna shida mkuu. Hahah! Karibu sana.Mjomba mi kingereza nilichoandika hapo ni ile wanaita typing suggestions, dont take seriously mkuu...
Naona umenitemea ung'enge' huo daaah
Ndgu samahani bana mi nimetoa general tuu kuwa kuzini ni dhambi..
Kama mada yako ipo nje na ishu za kuzini mkuu basi samahani
Tupo pamoja mkuu ...Hakuna shida mkuu. Hahah! Karibu sana.
Alafu nilijua babu ushajilekebisha kumbe bado ngoma bila bila daaah ....Inapoelekea hii stori yako, lazima mtukumbuke Wazee wenu kusema "Kitanda hakizai haramu"
Ama msemo wa Vijana wa hovyo akina Poor Brain kwamba "..kwenye Ndoa zenu tuna watoto wetu..."
Kwa hoja hizi naona Kataa Ndoa wamepata ushindi wa goli 5 kama alizofungwa Kagera Sugar Jana na Simba 🙌
Hahaha.............. Kuna wakati unajikuta tunatamani tuonekane vijana wa miaka 30 lakini Mvi na kutembelea mkongojo kunatuangusha Wazee 🙌😜Alafu nilijua babu ushajilekebisha kumbe bado ngoma bila bila daaah ....
Atakaye kubadilisha wewe tabia yako inabidi awe ana PHD ya saikolojia 😄😄😄😄😄
Ni kweli. Mambo ni moto mbeleni hapo.Inapoelekea hii stori yako, lazima mtukumbuke Wazee wenu kusema "Kitanda hakizai haramu"
Ama msemo wa Vijana wa hovyo akina Poor Brain kwamba "..kwenye Ndoa zenu tuna watoto wetu..."
Kwa hoja hizi naona Kataa Ndoa wamepata ushindi wa goli 5 kama alizofungwa Kagera Sugar Jana na Simba 🙌