Hivi ndivyo tunavocheat, palipo na viatu vya muwewe kuna ndala zangu

Hivi ndivyo tunavocheat, palipo na viatu vya muwewe kuna ndala zangu

Hakuna kosa Mwanaume hawezi kusamehe kama kujua mtoto aliyempata ndani ya ndoa na Mke wake sio mtoto wake wa damu.

Kuna jamaa angu aliwahi kusema, Siku atakayojua hivyo, ndiyo Siku atakayomlisha sumu huyo mtoto na Kumuua 🙌
Ni sahihi. Inaleta hisia ngumu kuikubali. Wanawake kaka wapo tricky sana. Mimi nilikua mwizi lakini Kuna time navaa viatu vya bwana mkubwa najikuta namuogopa kiumbe anaitwa mwanamke.
 
Ni sahihi. Inaleta hisia ngumu kuikubali. Wanawake kaka wapo tricky sana. Mimi nilikua mwizi lakini Kuna time navaa viatu vya bwana mkubwa najikuta namuogopa kiumbe anaitwa mwanamke.
Hakika, anaweza kuaga anakwenda kumsalimia Mama yake Mzazi huko Nansio Ukerewe, kumbe amefichwa na X wake Kinondoni anakesha anampa penzi, kisha mtoto unaletewa wewe umlee 🙌
 
Salaam wadau,


Maisha yanatupa zoefu nyingi sana, zenye matokeo chanya na wakati mwingine zinaweza kukuachia alama ya uchungu isiyosahaulika. Mara nyingi sio kwa kupenda au kuridhia maisha automatically yanakupa darasa. Hiki ni kisa Cha ukweli.

Nitajaribu kuweka wazi mambo magumu ili upate picha japo kwa kusoma. Nikusihi tu soma na chukua machache kwajili ya kuboresha mahusiano Yako. Wala usinijaji kwa yaliotokea maana huko nilishatoka 6 years back na sijutii. Toba ilishamaliza kila kitu. Twende kazi.

Miezi miwili tu baada ya kumaliza elimu ya juu nipo home mark timing ndio nakutana na aliyefanya niandike huu Uzi. Tulikutana dukani mtaa Mmoja, wakati Mimi nafika yeye alikua akisubiri chenji/chenchi yake. Muuzaji alitoka kidogo ikabidi nimuulize yeye sasa. "Habari Yako, huyu yupo wapi ?". Akanijibu. " ametoka kidogo kufata chenchi anarudi sasahivi". Hili duka lilikua ndani ya mji wa mtu, unaelewa sikuhizi unajenga nyumba Yako na frame kadhaa mbele yake. Ndivo ilivokua.

Mimi sikuona Haya kuanzisha stori nae ili kubuy time. Mimi " sorry wewe ni mwenyeji huu mtaa ?" Huyu dada naomba tumuite Recho. Akanijibu "Ndio mi nikaa hapo tu jirani, na wewe ?". Mimi "Me pia nyumba ya tatu kutoka hapa". Recho " ooh! Kumbe tupo jirani... sasa mbona Mimi sijawahi kukuona na kwangu we ni mgeni kabisa". Nikamjibu Hilo swali kuwa na Mimi nilitaka nimuulize nivile tu kaniwai. Huku ukweli nikwamba ni kweli sio mkaaji sababu ya shule. Basi muuzaji alirudi na akampa chenchi yule dada akarudia nyuma kunipa nafasi nihudumiwe lakini hakuondoka nikama alikua akisoma sms kwenye simu yake.


Wadau mwanamke udhaifu wake upo masikioni. Maana yake ni unaweza athiri namna yake ya kufikiri kwa kupenyeza maneno matamu kwenye sikio lake. Lakini kwetu wanaume Macho ndio weakpoint. Kutaamani kunaanzia kwenye kuona. Binafsi nilimtamani yule dada. Why ? alikua amevaa tight ndefu ya grey, t-shirt ambayo kwake ni oversize chini kabisa kaua na kikuku Cha chain mguu mmoja. Shape na muonekano mzima of course alinivutia japo sijamuelezea kwa 100% maana sio dhima yangu ya msingi ingawa kama ungeiona picha yake insta naamini ungegusa kwenye kuview profile.

Bila kujua au kujali sikumpa tena attention kwani niliamini anaondoka lakini nilishangazwa na kitu. Nilisikia... " jirani me naondoka", nikama 30sec zilikatika toka anipishe nipate hudumu. Nikageuka chap naona ni kweli anashuka ngazi. Nikamwambia " sawa jirani tutaonana tena". Nilichonotice ni kama Recho alitarajia ninge endeleza maongezi sorts of maswali na hatimaye tubadilishane namba. Ukweli ni alikua sahihi lakini nilikaza tu maksudi maana niliamini kama ni jirani kweli na anakaa pale aliponionesha kwa kidole basi tungekutana mara nyingi zaidi maana nipo home sasa.

Kimsingi nilikua nimefunga zipu yangu kwa miezi kama mitatu hivi au ziaid hivyo nilikua hyper flani hivi. Hapa niweke kitu clear. Notion iliojengeka kichwani mwangu ni, mwanamke ambaye Anableach...anavaa vikuku...anatattoo. Iwe ni ana kimoja kati ya hivyo au vyote kwa pamoja ni Wanawake ambao wapo beyond the limits. Yaani kama kaolewa au anamtu kucheat sio issue na mambo ya bata hasa sex ndio issue zinawapa fantasy sana. Na hio Haina uhusiano na elimu yake . Super woman chukua hioo itakuaaidia. So niliamini tu hapa nitapiga hata iweje. Niliweka nia lazima nitamtafuta tu.

Kesho yake mida ya saa 5 asubuhi nilipita jirani kabisa na Ile nyumba na ilikuwa na fence. Kichwani nikawaza nigonge geti au nikaushe naona shetani akawini. Nikagonga geti, baada ya muda kidogo likafunguliwa. Aisee ni yeye Recho kafungua. " Jamani jirani umepajuaje hapa. Heeh! Karibu kumbe kweli wewe ni mwenyeji". Mimi " Jana baada ya kunionesha tayari nikajua ni nyumba gani haswaa" mara kidogo nyuma yake akafata mtoto mdogo wa kiume kama miake 4+. Sikuuliza lakini alinambia "Oh! Mwanangu huyu jirani, haya karibu basi ndani."

Kaka mkubwa niliingia Ndani, Moja kati ya very high risks nimewahi kufanya ni hii. Kuingia ndani ya mji wa mtu pasina kujua kaolewa au lah na kama kaolewa mwenye mke yupo ndani, katoka au utarudi muda gani... Leo tuishie hapa then kesho tujue yalionikuta, inshallah tunaendelea.
Unamtaka Lissu au Mbowe??
 
Habari za weekend wakuu.

Tuendelee 05

Alivomalizia Ile statement nikaamua niimpigie Nailah palepale. Mimi kwa ukali " Habari ya asubuhi". Nailah akaitika kwa kijihofu flani " safi.. mambo!". Sikujali Ile 'mambo' nikaendelea, " unanitumia meseji asubuhi hii unashida gani..kwani tunamahusiano?". " Heeh! jamani kwani Kuna ubaya kukusalimia....hata kama hatuna mahusiano salam nayo hutaki!!??".
Kwa tone ileile ya ukali nikaendelea " hata kama ni salamu ndio mapema hivi kana kwamba umepatwa na tatizo...Asee sipendi". Nikakata simu.

Muda huo wote simu ilikua loud speaker hivyo Recho anasikia yote. Baada ya kukata simu nikamwambia "nadhani umemsikia, Sina mahusiano ni yeye tu ". Hapo napo nikaelewa wanawake wana wivu sana. Recho " Z hata kama ningekua ni mimi, kwa sauti hiyo ya ukali unadhani ningekubali tuna mahusiano...Huyo ni demu wako tu".

Alivomalizia tu nikamshika shingo na kumla mate katika hali flani sio romantic ila rough nikaenda mbali zaidi nikaweka cha asubuhi kisha nikaamka bafuni kuoga niondoke. Wakati natoka mlangoni akaniambia. "Z umenit*mba sawa lakini hatujamalizana". Sikujali sana nikaondoka.

Kama umefatilia vizuri toka mwanzo Mimi sio muongeaji sana. Hata katika majibishano mara nyingi sikua najibu au kujenga hoja. Usije sahau mpaka Recho ananivulia chupi sikuwahi kusema au kuandika neno I LOVE YOU. Nilipita tu na gap la Upweke.

Hapa tuwatetee wanawake kidogo. Kumbe anaweza akacheat si kwa tamaa za mali au muonekano wa mtu lah hasha! bali mazingira yanayo mzunguka kwa wakati huo.

Sasa tuendelee, Kumbe Recho alimaanisha kwa Ile kauli yake kwamba hatujamalizana. Siku hio hakupiga simu, kupokea simu wala kujibu sms zangu. Siku ikakata, kesho yake pia. Siku hio ya pili nilienda jioni kumuona baada ya kutopokelewa simu. "Shida nini hupokei simu zangu wala hujibu sms?". Nikauliza baada ya salamu. Recho " umenikwaza sana, Yani unanikosea na bado unanilala... Z kipindi tunaanza mahusiano nilijiridhisha wewe sio mtu wa wanawake wengi..ila sasa imani yangu inaanza kushuka."

Akaendelea, "Nambie ukweli yule ni nani kwako, bado hainiingii akilini mmeachana na akutext asubuhi".
Nilivoona yupo serious ikabidi nifunguke kwa mara ya kwanza maneno kibao na kwa udhaifu mkubwa wa kihisia. Alionekana kunielewa lakini nilifanya makosa makubwa sana kufanya vile.

Msomaji, nilijifunza mwanamke kabla hajakusoma vizuri au kabla hajajiaminisha unampenda kweli au una mtamani, atakua humble na submissive sana. Ukiwa na roho ya kifirauni hata duka anaweza kukupa ufungue wewe.

Hapa wakubwa wameelewa nini namaanisha. Ila punde akishajiridhisha pasina shaka wewe ni wake na yeye ndio udhaifu wako alooh! Mambo hubadilika. Sio kwamba anakutoa moyoni hapana. Anaanza maisha ya maozea. Utanielewa tu.

Pamoja na yote tuliyoongea na Recho hio siku aliniambia anaumwa, na alihisi huenda ni malaria. Nikamshauri akapime kwanza then atumie dawa lakini alikataa. "Kuna dawa nimeelekezwa na dada asubuhi hua inatibu mambo mengi nitaitumia hiyo".

Hapa tuelewe, Recho alikua na dada yake wa damu ambaye wana wasiliana sana. Huyu dada yake kamtangulia kwenye ndoa, yani alianza dada kuolewa ndio akafata Recho.

Alinitajia jina la hio dawa, sikuona sababu ya kusubiri nikawai chap kumchukulia duka la dawa baridi. Alinambia angeanza kumeza usiku muda wa kulala , sikuona mbaya nikaondoka.

Sasa kutoka hapo simu zikapokelewa na sms nikaanza kutumiwa na kujibiwa kwa mara ingine. Usiku saa 4 alinitext " Babaa nahisi home kali ani hata kupika nimeshindwa". Chap nikampigia, "pole mamaa...dah! Zile dawa umemeza?". "Ndio nimemeza kama nusu saa hivi...nahisi ni kali maana nimetapika na hata nguvu Sina".

Fasta nikaaga home naenda nunua voucher. Niliwahi duka moja ambalo najua wanafunga saa nne au tano kasoro. Kwa bahati palikua wazi, nikachukua maziwa fresh ya box na cake kadhaa uelekeo kwa Recho.

Kweli nilikuta ana hali mbaya. Nikamuliza dogo vipi akasema alimuagizia chips kwahio kala na amepumzika . Ikabidi niwe muuguzi kwa muda kidogo, chemsha maziwe chap tukaanza kubembelezana kula sasa. Of course alijitahidi kugusagusa. Nilitamani kusalia pale lakini huo uwezekano haukuwepo.

Baada ya nusu saa nikamuaga ila nikakumbuka huu mwezi sijasikia kabisa habari za Simba wanacheza. Nikamuliza "Vipi mwezi huu hujaenda Space?" Hio ni code nilikua natumia kumuuliza habari za hedhi. "Em acha kunipa presha mimi.. ndio tarehe zenyewe ila sidhani kama naumwa sababu ya period!".

Nikamwambia "ooh! Poa kesho nakuletea kipimo cha mimba". Akaniwaii "weeeh!! babaa acha kabisa. Tena usiombe na hata nikipima siwezi kukwambia". Tukacheka kisha nikawai home nisije ibua mjadala wa kulala nje.

Kulivokucha nikampigia simu akapokea. "Morning Dady" alianza hivo Recho. Mimi " Yes morning, Unaendeleaje mwanamke wangu". "Sio mbaya sana ila hizi dawa naona niziache tu...sioni haueni". Nikamwambia "Poa badae ntakuja kukuona". Akajibu " Sawa karibu daktari wangu kwanza nimeshakumiss".

Saa 5 asubuhi simu ya Recho ikaingia, " Mambo my love". Mimi " fresh tu vipi maendeleo". Recho "Mnh! Njoo nyumbani now.......Kuna niii?
Hapo sawa.
 
Back
Top Bottom