Hivi ndivyo tunavocheat, palipo na viatu vya muwewe kuna ndala zangu

Hivi ndivyo tunavocheat, palipo na viatu vya muwewe kuna ndala zangu

Tuendelee EP 07

Nilipokea simu nikatega sikio kwa umakini. Recho " hello vipi". Mimi " Safi, Kuna usalama kweli..tulisha agana mpenzi wangu lakini!". Recho " kwakweli babaa hii dawa imeanza kunipa mawazo...sisikii chochote wakati nilitegemea mpaka saahivi mambo yawe tayari".
Mimi " ulimeza saa ngapi ?".

Alidai alimeza saa mbili usiku lakini sasa inaeelekea saa Saba hajahisi chochote kwa maana ya maumivu ya tumbo la chini au ishara za damu kumtoka. Nikamtuliza pale pamoja na kuwa Sina uzoefu na jambo la utokaji wa mimba na tukakubaliana alale tu tuone kesho itakuaje.

Kesho yake tukaendelea kuwasiliana huku Hali ikiwa vilevile. Toka tumeanza wizi Recho alipunguza kwa sehemu kubwa kunywa hasa Konyagi. Hakuacha kabisa lakini alipunguza, kuna kipindi alikua anaficha chupa kwenye viunga vya maua nje ili nikija nisione na anakula ndizi mbivu kuikata Ile harufu.

Bado niliweza kumgundua lakini kwasababu najua alikua akielekea kwenye uraibu sikumjia juu. Naelewa ingemchukua muda kuacha.

Hii siku ilipita pia pasipo dawa kufanya kazi na hapo tukaanza kushauriana atumie nyingine. Ila kabla ya kufanya hivo tuwasiliane na daktari tuone angeshauri nini. Asubuhi ile kimya, mchana kimya, usiku bado hakuna mabadiliko. Tukaagana saa 3 usiku kila mtu alale salama.

Binafsi ule usiku siku lala kabisa, nilikua kwenye hali ya kukosa amani na usingizi kabisa. Mungu saidia paka kucha. Nikapigia simu mwenyewe, "wewe upo sawa kweli, usiku sijalala kwa amani asee...na vipi bado tuu?!?". Recho " Z shukuru Mungu nimepokea simu yako...Mimi Leo nilikua nakufaaa". Akaendelea "Hivi kwenu huwa hamtoagi mimba eh?". Mimi nipo kimya namsikilizia kwa makini. " Hapa ndio nimemaliza kusafisha nyumba maana nilipakaza damu kila Kona".

Nikamdaka " So unamaanisha tayari!??". Recho " Sasa huelewi nini... ndio dawa imefanya kazi". Mimi " Dah! Anyway pole sana my love, kwahio damu imeacha kutoka au vipi". Recho " baby haiwezi kukata tu mara moja itaenda inapungua mwisho itaacha... ila mh! Ulizia vizuri kwenu, ukoo wenu itakua hamtoagi mimba!...kidogo nife".


Wiki ilikatika bado hajakoma kutoka damu, tukakubaliana aende kwa mtaalam/daktari acheki na asafishe masalia. Ikawa hivo na nafikiri ndani ya wiki mbili mambo yakawa shwari. Sasa likaibuka jambo hapa.

"Hivi mara yako ya mwisho kupima HIV ni lini?" Nikaulizwa swali. Mimi " Sikumbuki lakini jibu rahisi ni kesho twende wote hata maabara tu tukapime." Recho tena " unajua nimekuota vibaya sana leo... Yani Kuna mtu ananiambia huyo kijana unaetembea nae ni muathirika." Akaendelea " sasa na hivi baba ( .) anarudi nimejipata na hofu kweli".

Nikamuangalia kwa hasira kisha nikamwambia " Recho umefikia hatua ya kuniwazia mie nina umeme.... tumelala wote siku ngapi, na katika hizo siku tumetumia kinga mara ngapi?" Nikaendelea "Leo ni mwezi wa ngapi tupo kwenye mahusiano... kama na HIV ingekua hujaona dalili!?!?. Ok kesho mapema sana wote hospital ".

Kama ungeniona navoshout msomaji ungestaajabu. Recho ananizidi miaka 5, yaani ni mkubwa kwangu lakini nilikua kama Mzee wake katika kutoa kauli. Niliongea kiume na tena bila kupepesa macho pembeni wala kutafuna maneno.

Hapa chukua hii. Mwanamke ni mwanamke, hata awe ni Rais wa nchi ni mwanamke. Katika uumbaji mwanamke yupo kutii kile mwanaume utasema/amua juu yake. Ukitaka kuamini hilo mpe order mwanamke ya kufanya kitu kwa sauti ya kurembua huone reaction zake. Na baadae toa order hiohio kwa sauti ya mamlaka yani kiume uone tena reaction.

Hakika utekelezaji wa amri yenye mamlaka ndio utafanyiwa kazi chap pasina mapuuza.

Turudi kwa Recho. Baada ya kuongea vile nikaanza kuombwa samahani. "Basi naomba nisamehe mwanaume wangu. Jamani ndio unanikasikirikia hivo... alaf sijazoe unanikalipia hivi." Akaendelea " au hunipendi, usinigombeze bhana me nitaanza kukuogopa". Basi ili kutoa nyongo vizuri nikapelekwa chumbani. Kimoja tu nikasahau kwani nilikua nashoutia kitu gani.

Katika zile harakati za kuomba kazi maeneo tofauti tofauti kuna kazi moja mkeka ulitika japo ilikua ni nje kidogo ya mkoa na haikua ya kudumu, kama miezi sita tu. Sikua nimwemwambia Recho maana nilitakiwa kureport mwezi uliokua unafata na ndio kipindi hiko hiko mumewe Recho angerejea nchini.

Recho aliniomba kitu tena. Recho " kabla huyu hajaja naomba tujizoeshe mambo mawili." Mimi " enhee!". "Mosi, tupungeze kuwasiliana walau mara mbili tu kwa siku...pili, hii week nianche kabisa usiniguse tena". Kwangu Likija swala la kutomgusa Recho siwazi kingine zaidi ya kuhisia Recho ana mtu mwingine.

Nikamjibu "Kuhusu kuwasiliana nitajitahidi ingawa sina uhakika sana kama ntaweza... lakini kukula mama wangu utanisamehe. Wiki Hapana".

"Z lakini usisahau tunafanya hivi ili tusijestukiwa mapema...sio kwamba tutaachana my love". Akazidi kunisisitiza " tukiendelea kufanya sitaweza kumuigizia...ndio nitaweza siku ya kwanza lakini najua tu mbeleni atajua tu. Em nielewe basi jamani."

Kwasababu sipendi mijadala mirefu nikamwambia poa. Sasa hapa wivu ukaanza kunitesa. Mali sio yangu lakini ndio hivo nimepanda mtumbwi wa vibwengo tayari ntafanyaje. Kweli bhana siku hio pattern ya kuchat ilikua sio nzuri.

Rasmi sasa napiga simu zinaiita tu na hanirudii. Katika sms 10 Moja ndio inajibuwa tena zile 'K' au 'P'. Ajabu nikienda kwake mahaba kama yote ila kwa njia ya simu hapana. Hii ikanitesa kiasi na kufanya nizidi kupata hisia hasi dhidi ya Recho

Hayawi hayawi sasa sasa yamekua, wiki ijayo jamaa kathibitisha atatua katika Ardhi ya bongo. Toka nimeanza story huyu mwamba sijamzungumzia kabisa, ni kwasababu sio kiini cha ujumbe naohitaji uupate kupitia story hii lakini sio mbaya ukamfahamu kwa ufupi.

Jamaa ni mtumishi wa serikali na nafasi yake ni poa sana. Huyu mwamba alienda kujendeleza kielimu nafikiri, kwa bahati nzuri au mbaya nilikutana nae pasipo yeye kunijua na tukasalimiana kabisa. Hapa inahitaji moyo kidogo. Kipindi yupo nje mara kadhaa akiwa anavideo call na babe wake mimi nilikua nipo live. Hapo ndio tuwaogope wanawake.

Nikaoneshwa picha ya risiti ya ticket ya ndege, tarehe inasomeka ni siku tano mbele ndio siku ya safari. Na kweli sijamvua nguo Recho toka siku alioniomba nisifanye hivo.

Usichanganye, toka Recho agundue ana mimba, atoe na kupona ni mwezi sasa unakaribia kuisha. Kwahiyo mpaka jamaa anarudi unakua umetumia ule mwezi mmoja toka amjulishe mkewe kuwa angerudi Tz. Na nilimuweka mara Moja tu.

Sio kwamba nilishindwa kufosi penzi, Hapana. Najua udhaifu wa Recho upo wapi na ningeweza kutumia mwanya huohuo lakini niliona niheshimu tu kile alichoniomba kwani tayari nina jiona nimekua kirusi kuingilia familia ya mtu na bado niendeleze unyama. Hapa niliamua kuwa mpole kwanza.

Sasa silaha yangu kubwa ya mawasiliano iliobaki sio simu tena bali kwenda nyumbani kwa Recho. Mume wake anarudi, simu zangu hazipokelewi, ubwege wa mapenzi umenijaa. Je ntatoboa....
Ulisemaa unakaka peke ako, ila saivi unaaga.
 
Tuendelee EP 07

Nilipokea simu nikatega sikio kwa umakini. Recho " hello vipi". Mimi " Safi, Kuna usalama kweli..tulisha agana mpenzi wangu lakini!". Recho " kwakweli babaa hii dawa imeanza kunipa mawazo...sisikii chochote wakati nilitegemea mpaka saahivi mambo yawe tayari".
Mimi " ulimeza saa ngapi ?".

Alidai alimeza saa mbili usiku lakini sasa inaeelekea saa Saba hajahisi chochote kwa maana ya maumivu ya tumbo la chini au ishara za damu kumtoka. Nikamtuliza pale pamoja na kuwa Sina uzoefu na jambo la utokaji wa mimba na tukakubaliana alale tu tuone kesho itakuaje.

Kesho yake tukaendelea kuwasiliana huku Hali ikiwa vilevile. Toka tumeanza wizi Recho alipunguza kwa sehemu kubwa kunywa hasa Konyagi. Hakuacha kabisa lakini alipunguza, kuna kipindi alikua anaficha chupa kwenye viunga vya maua nje ili nikija nisione na anakula ndizi mbivu kuikata Ile harufu.

Bado niliweza kumgundua lakini kwasababu najua alikua akielekea kwenye uraibu sikumjia juu. Naelewa ingemchukua muda kuacha.

Hii siku ilipita pia pasipo dawa kufanya kazi na hapo tukaanza kushauriana atumie nyingine. Ila kabla ya kufanya hivo tuwasiliane na daktari tuone angeshauri nini. Asubuhi ile kimya, mchana kimya, usiku bado hakuna mabadiliko. Tukaagana saa 3 usiku kila mtu alale salama.

Binafsi ule usiku siku lala kabisa, nilikua kwenye hali ya kukosa amani na usingizi kabisa. Mungu saidia paka kucha. Nikapigia simu mwenyewe, "wewe upo sawa kweli, usiku sijalala kwa amani asee...na vipi bado tuu?!?". Recho " Z shukuru Mungu nimepokea simu yako...Mimi Leo nilikua nakufaaa". Akaendelea "Hivi kwenu huwa hamtoagi mimba eh?". Mimi nipo kimya namsikilizia kwa makini. " Hapa ndio nimemaliza kusafisha nyumba maana nilipakaza damu kila Kona".

Nikamdaka " So unamaanisha tayari!??". Recho " Sasa huelewi nini... ndio dawa imefanya kazi". Mimi " Dah! Anyway pole sana my love, kwahio damu imeacha kutoka au vipi". Recho " baby haiwezi kukata tu mara moja itaenda inapungua mwisho itaacha... ila mh! Ulizia vizuri kwenu, ukoo wenu itakua hamtoagi mimba!...kidogo nife".


Wiki ilikatika bado hajakoma kutoka damu, tukakubaliana aende kwa mtaalam/daktari acheki na asafishe masalia. Ikawa hivo na nafikiri ndani ya wiki mbili mambo yakawa shwari. Sasa likaibuka jambo hapa.

"Hivi mara yako ya mwisho kupima HIV ni lini?" Nikaulizwa swali. Mimi " Sikumbuki lakini jibu rahisi ni kesho twende wote hata maabara tu tukapime." Recho tena " unajua nimekuota vibaya sana leo... Yani Kuna mtu ananiambia huyo kijana unaetembea nae ni muathirika." Akaendelea " sasa na hivi baba ( .) anarudi nimejipata na hofu kweli".

Nikamuangalia kwa hasira kisha nikamwambia " Recho umefikia hatua ya kuniwazia mie nina umeme.... tumelala wote siku ngapi, na katika hizo siku tumetumia kinga mara ngapi?" Nikaendelea "Leo ni mwezi wa ngapi tupo kwenye mahusiano... kama na HIV ingekua hujaona dalili!?!?. Ok kesho mapema sana wote hospital ".

Kama ungeniona navoshout msomaji ungestaajabu. Recho ananizidi miaka 5, yaani ni mkubwa kwangu lakini nilikua kama Mzee wake katika kutoa kauli. Niliongea kiume na tena bila kupepesa macho pembeni wala kutafuna maneno.

Hapa chukua hii. Mwanamke ni mwanamke, hata awe ni Rais wa nchi ni mwanamke. Katika uumbaji mwanamke yupo kutii kile mwanaume utasema/amua juu yake. Ukitaka kuamini hilo mpe order mwanamke ya kufanya kitu kwa sauti ya kurembua huone reaction zake. Na baadae toa order hiohio kwa sauti ya mamlaka yani kiume uone tena reaction.

Hakika utekelezaji wa amri yenye mamlaka ndio utafanyiwa kazi chap pasina mapuuza.

Turudi kwa Recho. Baada ya kuongea vile nikaanza kuombwa samahani. "Basi naomba nisamehe mwanaume wangu. Jamani ndio unanikasikirikia hivo... alaf sijazoe unanikalipia hivi." Akaendelea " au hunipendi, usinigombeze bhana me nitaanza kukuogopa". Basi ili kutoa nyongo vizuri nikapelekwa chumbani. Kimoja tu nikasahau kwani nilikua nashoutia kitu gani.

Katika zile harakati za kuomba kazi maeneo tofauti tofauti kuna kazi moja mkeka ulitika japo ilikua ni nje kidogo ya mkoa na haikua ya kudumu, kama miezi sita tu. Sikua nimwemwambia Recho maana nilitakiwa kureport mwezi uliokua unafata na ndio kipindi hiko hiko mumewe Recho angerejea nchini.

Recho aliniomba kitu tena. Recho " kabla huyu hajaja naomba tujizoeshe mambo mawili." Mimi " enhee!". "Mosi, tupungeze kuwasiliana walau mara mbili tu kwa siku...pili, hii week nianche kabisa usiniguse tena". Kwangu Likija swala la kutomgusa Recho siwazi kingine zaidi ya kuhisia Recho ana mtu mwingine.

Nikamjibu "Kuhusu kuwasiliana nitajitahidi ingawa sina uhakika sana kama ntaweza... lakini kukula mama wangu utanisamehe. Wiki Hapana".

"Z lakini usisahau tunafanya hivi ili tusijestukiwa mapema...sio kwamba tutaachana my love". Akazidi kunisisitiza " tukiendelea kufanya sitaweza kumuigizia...ndio nitaweza siku ya kwanza lakini najua tu mbeleni atajua tu. Em nielewe basi jamani."

Kwasababu sipendi mijadala mirefu nikamwambia poa. Sasa hapa wivu ukaanza kunitesa. Mali sio yangu lakini ndio hivo nimepanda mtumbwi wa vibwengo tayari ntafanyaje. Kweli bhana siku hio pattern ya kuchat ilikua sio nzuri.

Rasmi sasa napiga simu zinaiita tu na hanirudii. Katika sms 10 Moja ndio inajibuwa tena zile 'K' au 'P'. Ajabu nikienda kwake mahaba kama yote ila kwa njia ya simu hapana. Hii ikanitesa kiasi na kufanya nizidi kupata hisia hasi dhidi ya Recho

Hayawi hayawi sasa sasa yamekua, wiki ijayo jamaa kathibitisha atatua katika Ardhi ya bongo. Toka nimeanza story huyu mwamba sijamzungumzia kabisa, ni kwasababu sio kiini cha ujumbe naohitaji uupate kupitia story hii lakini sio mbaya ukamfahamu kwa ufupi.

Jamaa ni mtumishi wa serikali na nafasi yake ni poa sana. Huyu mwamba alienda kujendeleza kielimu nafikiri, kwa bahati nzuri au mbaya nilikutana nae pasipo yeye kunijua na tukasalimiana kabisa. Hapa inahitaji moyo kidogo. Kipindi yupo nje mara kadhaa akiwa anavideo call na babe wake mimi nilikua nipo live. Hapo ndio tuwaogope wanawake.

Nikaoneshwa picha ya risiti ya ticket ya ndege, tarehe inasomeka ni siku tano mbele ndio siku ya safari. Na kweli sijamvua nguo Recho toka siku alioniomba nisifanye hivo.

Usichanganye, toka Recho agundue ana mimba, atoe na kupona ni mwezi sasa unakaribia kuisha. Kwahiyo mpaka jamaa anarudi unakua umetumia ule mwezi mmoja toka amjulishe mkewe kuwa angerudi Tz. Na nilimuweka mara Moja tu.

Sio kwamba nilishindwa kufosi penzi, Hapana. Najua udhaifu wa Recho upo wapi na ningeweza kutumia mwanya huohuo lakini niliona niheshimu tu kile alichoniomba kwani tayari nina jiona nimekua kirusi kuingilia familia ya mtu na bado niendeleze unyama. Hapa niliamua kuwa mpole kwanza.

Sasa silaha yangu kubwa ya mawasiliano iliobaki sio simu tena bali kwenda nyumbani kwa Recho. Mume wake anarudi, simu zangu hazipokelewi, ubwege wa mapenzi umenijaa. Je ntatoboa....
Jitahidi leo uweke episode 2
 
End product ya kula wake za watu

1000282123.jpg
 
Tuendelee EP 08


Katika kipindi ambacho Z mimi nimekua bwege wa mapenzi ndio Recho anafanikiwa kupunguza kama sio kukata mawasiliano na mimi. Mwanzoni ilinipa shida sana kiasi nikawa nalazimika kwenda kwake kumuona. Ilifika point nikaona haina maana kuwa kila siku niwe nafosi mambo nikaamua kukaza.

Siku akinitafuta haya asiponicheck poa tu. Haikua rahisi lakini niliweza, na hapo nikaanza kuwaza nifufue koloni langu yani Nailah wa chuo.

Ndani ya zile siku tano za 5 bwana mkubwa kurudi kweli nikula msoto kihisia. Siku moja kabla ya jamaa kuja bila kutarajia nakutana na Recho njiani. Kashtuka sana kisha, " heeh! Utaniua bhana kwa presha... mambo". Mimi " Safi, naona hujatarajia kuniona kabisa...hivi haya maisha ndio unapenda sio?". Recho " sio hivo ila nimelazimika kufanya hivi kwajili yetu wote".

"Hivi unadhani Mimi sikumiss...nakumiss lakini najikaza tu". Mimi "hata kama, ndio kunitext au kujibu sms napo ni tatizo". Hatukua na mwisho mzuri wa mazungumzo ila alisisitiza kuwa jamaa yake anarudi kesho yake na nijitahidi ku 'behave'.

Kukubali kuingia kwenye mapenzi na Recho sasa kinanitokea puani. Nilikua nishazoea vyakuchinja sasa hivi vya kunyonga naona ni changamoto.

Nilizoea kujibondea mali kila nilipojisikia sasa hakuna tena. Kusikia sauti yake ya mahaba na maneno yake sasa hakuna tena. Mtu wa kuniuliza kazini leo mambo yalikuaje na umefikiwa wapi lile jambo lako sasa hana time.

Kweli katika mapenzi kinachouma ni mazoea. Narudia kweli nilipata msoto.

Kesho ikafika, Recho akapost status, picha ya mwamba na 'caption' iliosomeka "Welcome back home Daddy, I can't wait" ikasindikizwa na emoji za kopa kopa. Nikaview na sikusema kitu.

Nakiri kuwa ubwege ule niliokuwa nao ulinitesa sana. Ile siku bhana sikulala maana kila nikifumba macho naona jinsi Recho anazungusha kiuno kwa mumewe. Nimesahau kabisa kama mimi nilikua ni mwizi tena deywaka.

Hapa tuongee kitu. Ukitoka na mke wa mtu au mume wa mtu ni vema na wewe uwe mke wa mtu au mume wa mtu ili mzani ubalance. Sichochei watu kuchepuka ila kwa muktadha wa hisia na mawazo niliyokua nayo Ile siku nafikiri ningekua na mtu usiku ule ningepata liwazo. Ndugu zangu wa maudhui lichukulieni hili chanya zaidi.

Paka kucha nikiwa kwenye dimbwi zito la mawazo kana kwamba nimefumania mke wangu. Mara paa sms kutoka kwa Recho, " Good morning, naamini uko salama.. Mimi pia". Ikamalizika na neno 'USIJIBU' mwishoni.

Wadau mapenzi shikamo. Baada ya kusoma Ile sms nilijisikia faraja, nikajiwazia kumbe nakumbukwa. Yani kule kuumia moyo na kukosa raha kukabadilishwa na sms moja tu.

Mishale ya saa 4 asubuhi akanipigia. Chap nikapokea, " mambo Z..najua umekasirika". Nikamjibu " Niko poa usijali ila dah umejua kuninyoosha...siku zote hizo leo ndio unanipigia?". Recho " sorry bhana lakini unajua kwanini nilikua nafanya vile... kwanza hapa yupo anaoga ndio nimepata chance". Mimi kusikia vile basi nikazidi jifariji yes bado napendwa.

Wakati nataka kuendeleza maongezi Recho kwa kunong'ona akaniwai "Bye badae, please usinipigie wala sms". Simu ikakatika .

Muda wa kureport kwenye kile kibarua ikafika. Niliona niafadhali niondoke tu eneo lile ili nisimuone Recho maana sasahivi Mimi ndio imekua kama nagongewa mke wangu. Sikuona ni vyema niondoke bila kumjulisha, jioni yake nikapost status huku niki 'hide' all contacts except Recho yaani aione Recho pekee.

Nikaandika ujumbe wangu kuwa kesho ningeondoka nje kidogo ya mkoa kwajili ya kazi mpya na ningelitumia muda gani huko.

Najua hapo nimekupa njia mbadala ya kuwasiliana na mchepuko wako. Hahah! Ok ishi nayo. Recho aliview Ile status mishale kama ya saa tano usiku na hakujibu chochote. Asubuhi nipo safarini akanipigia, " wewe mbona ghafla hivo... na mbona hukunambia mapema". Mimi " nakwambiaje wakati sikupati kwa wakati..ipo hivo na nipo safarini sasa". Recho " sawa kwasababu ni jambo la heri sawa nimekuelewa. Ila ukipata kadem nisijue".

Mimi " fresh ila duh nimeshakumiss kinoma". Recho " mh! jamani I know my love ila vumilia kidogo, huyu week ijayo anaweza toka kidogo". Aisee wanawake watatuua. Nikasema poa yani akitoa tu kiatu chake Mimi natia ndala zangu.

Kuanzia hapo status ikawa means ya mawasiliano. Kwakweli ilifanya kazi kubwa kwa usiri mkubwa. Najua jamaa akili ya kuview status kwenye simu ya mke wake anatolea wapi. Naona na Recho aliielewa maana siku moja alisema. " wewe ni jambazi shindikanaa".

Ndugu msomaji uwe makini na si shauri uitumie na wewe maana si ajabu wewe na mkeo wote mnasoma Uzi huu.

Kweli week ikapita, Mimi wa kwanza kuulizia kama jamaa yupo. Nikaambiwa alihairisha kusafiri ila muda wowote atatoka. Sasa hapa nipo mkoani kikazi lakini Recho ndio kateka akili yangu.

Nafikiri hii ni kwasababu ya yeye kuhusika moja kwa moja kwenye upigaji wa hatua kwa maana ya kazi.

Ewe mwanamke chukua kitu hapo, sio lazima niseme uwe na kitu cha ziada kwa mmeo mbali na sex. Kuwa na kitu extra Inasaidia kuchukua nafasi nafsini kwa mtu.

Z Sikua na videmu wala nini. Baada ya familia yangu aliekua anafata ni Recho bila kuji ni mali ya wizi....
 
Back
Top Bottom