Hivi Ndivyo Unavyoweza Kutajirika Kwa Kuanza Na Shilingi Elfu Moja

Mimi nashukuru sana kwa hii hoja na nilikuwa natamani sana kupata uchambuzi wa hii UTT.nna maswali yafuatayo?1.Je nnapowekeza kwenye mfuko huo kama ni laki moja kwa mwezi,gawio langu mwisho wa mwezi laweza kuwa shs ngapi?2. Naweza pata ufafanuzi kuhusu tofauti kati ya Umoja Fund,Wekeza Maisha, Jikimu Fudn,Watoto Fund na Liquid Fund coz zote zipo chini ya UTT sasa mtu kama mm nnayeanza maisha najikita wapi kati ya hizi.
 

Asante sana mkuu kwa kuelewa vizuri na kwa mfano mzuri ulioongeza.
Tatizo la watanzania wenzetu hawapendi kujifunza na kujaribu mambo mapya. Mtu yuko radhi atumikishwe kwenye ajira miaka kumi ijayo ila kumwambia ajiamdalie mpango wa kumkomboa wa miaka michache anakuona wewe kichaa.
Watu hao hao ndio kila siku wanalalamika.
 
Kwa wale wanaouliza maswali kuhusu UTT na mifuko yao mingine naomba ili mpate maelezo mazuri tembeleeni website yao au nendeni pale sukari house ghorofa ya kwanza ulizia tu utt na waambie unataka kupata taarifa za uwekezaji watakueleza vizuri sana.
Mimi sio mfanyakazi wa utt wala mtangazaji wao, bali ni mwekezaji hapo na nilianza kidogo kidogo ila sasa hivi kila nikichek statement kwa mwezi naona mambo yanakuwa mazuri sana.
Hivyo nawahamasisha watanzania wenzangu hata kama hiutaki kuweka kwenye hiyo utt anza na mpango huo kidogo wa kuweka buku pembeni na uweke ambapo huwezi kuitoa.
Nilipendekeza utt kwa sababu hela huwezi kuitoa haraka, unaamdika barua kisha unapewa ndani ya siku kumi hivyo zile njaa za kuchomoa kama kwenye atm au mpesa/tigo pesa hazitakuwepo.
Kwa hivyo watanzania wenzangu hata kama huo mfumo hapo juu huwezi tengeneza wakwako ila usiishi HAND TO MOUTH ni hatari sana kwa maisha yako.
Nawatakia kila la kheri,
TUKO PAMOJA.
 

una wazo zuri.... lkn hii njia ya ku cout maelezo yote sio nzuri.....
 
mkuu Makirita Amani hii mada kama umeikopi ipo humu zaidi ya miaka sita
 
Last edited by a moderator:

usikatishwe tamaa katika kuwasaidia watu, wenye kuhitaji Masada wako watakuwa wamenufaika na mawazo yako.
 
usikatishwe tamaa katika kuwasaidia watu, wenye kuhitaji Masada wako watakuwa wamenufaika na mawazo yako.

Asante mkuu,
Sijakata tamaa na wala siwezi kukatishwa tamaa na mtu yeyote yule. Hiki ni kitu ambacho nimechagua kufanya maisha yangu yote. Ila kuna watu wanahitaji majibu makali kidogo ili akili zao zifikiri vizuri.
TUKO PAMOJA.
 
Makirita amani big up sana. Umeongelea ukweli halisi wa sisi watanzania we ye kipato kidogo from hand to mouth, huu ndio uwekezaji unaotufaa. Alaf watu wanapinga sbb 1,000/= kwao ni unrealistic, mbona mnaweza kuwekeza zaidi ya 1,000/= nadhan mfikirie mnaweza kuwekeza kiasi gani na kwa muda gani kadri ya malengo yako tusitegemee kilichoandikwa humu kiwefatwe hivyo hivyo, kama idea ni nzur basi tuichukue na kuirekebisha kadri itakavyotufaa sio kupinga tu haitatujenga.
Hakuna kinachoshindikana kwa mtu mwenye nia na dhamila ya dhati
 

Asante sana mkuu.
Kwa kweli mtu anatakiwa akisoma hapa aone ni jinsi gani anaweza kuiprove au kuifanya iweze kuaply katika hali yake.
 
Wazo zuri ila sio kwa kutafutia mtaji tu; ili wazo linafaa sana kwa kuwekeza pesa ya mtoto kama ukizaa mtoto tu ukamfungulia account yenye interest ya maana na ukawa unaweka huko kila siku / mwezi akikua nadhani hautasumbuka kuhusu fees za university au siku akiondoka kuanza maisha unampa kianzio. Kwa msaada hapa labda ungeorodhesha fixed accounts zenye best percentage interests sababu ninavyojua nyingi kwakweli interests zao zinasikitisha ukiweka na inflation yaani mwisho wa siku pesa utakayochukua dhamani inakuwa imeshuka sana. Anyway saving for the rainy day is way to go.... Ila kama kuna uwezekano wa kupata asset kama nyumba ukanunua na kupangisha its way better though not easier
 
sasa huu ni ushauri au upotoshaji.huu mfuko ni wa chama fulani kinataka kikusanye tena mradi wake wa casmpaign.....kumbuka yale ya NIKO NK
 

Ni kweli kabisa mkuu. Kusave kwa ajili ya watoto ni vizuri mno.
Ila kwa benk hakuna haja ya kujisumbua hasa kwa hela ndogo hizi riba kubwa watakayokupa ni 3% ndio maana nimependekeza mutual fund ya umoja ambayo ina record nzuri ya kukua kwa zaidi ya 10% kwa mwaka.
 
sasa huu ni ushauri au upotoshaji.huu mfuko ni wa chama fulani kinataka kikusanye tena mradi wake wa casmpaign.....kumbuka yale ya NIKO NK

Mkuu tumia akili zako, acha kutumia akili za kushikiwa. Mutual funds ni uwekezaji unaojulikana dunia nzima. Kufa kwa niko ni kitu cha kawaida katika uwekezaji hasa management inapokuwa mbovu.
Sasa wewe endelea kuchanganya siasa na uwekezaji mwishowe uje ufe masikini. Kama unafanya kazi na unakatwa mafao yanaenda wapi? Si kwenye mifuko ambayo inamilikiwa na hivyo vyama? Mbona hujaacha kazi kwa sababu chama kinaweza kuiba hela zako na kukuacha solemba?
Fikiria kwa makini hasa inapokuja maswala ya uwekezaji.
 
thread nzuri ila naomba ufafanuz ktk hili.
hivi hawa UTT sio kama NICOL maana nasikia NICOL imeyumba sana.
 

Hizi Mutual Funds pia ni muhimu kufanya due diligence, unaweza ukawa on paper unaona pesa zimeongezeka kumbe ni kina Madoff Ponzi Scheme, (although sisemi kwamba hawa nao ndio wale wale)
 

Why do Mr. Makirita is not polite in his answers? Because the truth hurts and he is copying American philantro-scam from the web.:thumbdown:
 
Why do Mr. Makirita is not polite in his answers? Because the truth hurts and he is copying American philantro-scam from the web.:thumbdown:

I am very sory if you find my answers not polite. I am doing it purposely because i have been telling people in more polite ways but they come with very awkward arguments. I may choose to ignore them but it wont help them. So i go straight, and tell them they have serious problem.
If you find me to be a scammer, please can you tall me how am i going to benefit when you start to save 1000 per day? I have not forced you to invest in mutual fund, that is one of the options.
So please sir, use the white stuff between your ears.
Sorry if that is hard to you.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…