Hivi ndivyo ushabiki wa mpira unavyoweza kuwageuza watu wendawazimu

Hivi ndivyo ushabiki wa mpira unavyoweza kuwageuza watu wendawazimu

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Kuna watu walikusanyika kweli kabisa kwa ajili ya hili tukio! Haipaswi kuwa hivi kabisa katika jamii ya watu waliostaarabika na wanaojielewa.

20240809_163536.jpg
 
Kuna watu walikusanyika kweli kabisa kwa ajili ya hili tukio! Haipaswi kuwa hivi kabisa katika jamii ya watu waliostaarabika na wanaojielewa.

View attachment 3065440
Inawezekana mwanamke hampendi mumewe hivyo akamshawishi amweke bondi kwa kutumia ushabiki wa mpira na mume akaingia kichwakichwa bila kujua itakuwa ni talaka.
 
Huyo mpumbavu alimdhalilisha sana mke wake acha wenzie waendeleze udhalilishaji si kataka mwenyewe.!!
Huwezi kumfananisha mkeo na timu yako uanyoshabikia.!!
Yani Simba ina umuhimu kuliko mkewe??
Huyo Ally akomae apewe mke amsichekee!!
 
Huyo mpumbavu alimdhalilisha sana mke wake acha wenzie waendeleze udhalilishaji si kataka mwenyewe.!!
Huwezi kumfananisha mkeo na timu yako uanyoshabikia.!!
Yani Simba ina umuhimu kuliko mkewe??
Huyo Ally akomae apewe mke amsichekee!!
Akimchukua mke huo nao utakuwa ni utumwa kwani kukabidhiana binaadamu bila ridhaa ya mhusika ni kumkamata kwa nguvu ili atumikishwe, yaani awe mtumwa.
 
Back
Top Bottom