Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kiufupi alimdhalirisha sana. Embu fikiria unawekwa bond dahMwijuka haheshimu wanawake au mkewe
Vitu sisiem wanapenda kuonaKuna watu walikusanyika kweli kabisa kwa ajili ya hili tukio! Haipaswi kuwa hivi kabisa katika jamii ya watu waliostaarabika na wanaojielewa.
View attachment 3065440
Vitu sisiem wanapenda kuonaKuna watu walikusanyika kweli kabisa kwa ajili ya hili tukio! Haipaswi kuwa hivi kabisa katika jamii ya watu waliostaarabika na wanaojielewa.
View attachment 3065440
Jamaa wasikubali kuondoka hapo bila huyo mwanamke..!Kuna watu walikusanyika kweli kabisa kwa ajili ya hili tukio! Haipaswi kuwa hivi kabisa katika jamii ya watu waliostaarabika na wanaojielewa.
View attachment 3065440
Serikali Ilipiga Marufuku Mambo Ya Hovyo Kama HayoMwijuka haheshimu wanawake au mkewe
Serikali Ilipiga Marufuku Mambo Ya Hovyo Kama HayoMwijuka haheshimu wanawake au mkewe
Serikali Ilipiga Marufuku Mambo Ya Hovyo Kama HayoMwijuka haheshimu wanawake au mkewe
Serikali Ilipiga Marufuku Mambo Ya Hovyo Kama HayoMwijuka haheshimu wanawake au mkewe
KabisaSerikali Ilipiga Marufuku Mambo Ya Hovyo Kama Hayo
Yanayoondoa Heshma, Hadhi Ya Mwanamke
HAUWEZEKANI
Inawezekana mwanamke hampendi mumewe hivyo akamshawishi amweke bondi kwa kutumia ushabiki wa mpira na mume akaingia kichwakichwa bila kujua itakuwa ni talaka.Kuna watu walikusanyika kweli kabisa kwa ajili ya hili tukio! Haipaswi kuwa hivi kabisa katika jamii ya watu waliostaarabika na wanaojielewa.
View attachment 3065440
Umeshindwa kumshangaa aliyeweka Mke wake bondi!!?..... Acha afundishwe Kwa njia ndefu ikiwa njia fupi hauelewa ....Kuna watu walikusanyika kweli kabisa kwa ajili ya hili tukio! Haipaswi kuwa hivi kabisa katika jamii ya watu waliostaarabika na wanaojielewa.
View attachment 3065440
Akimchukua mke huo nao utakuwa ni utumwa kwani kukabidhiana binaadamu bila ridhaa ya mhusika ni kumkamata kwa nguvu ili atumikishwe, yaani awe mtumwa.Huyo mpumbavu alimdhalilisha sana mke wake acha wenzie waendeleze udhalilishaji si kataka mwenyewe.!!
Huwezi kumfananisha mkeo na timu yako uanyoshabikia.!!
Yani Simba ina umuhimu kuliko mkewe??
Huyo Ally akomae apewe mke amsichekee!!