Hawa watu wa mipira ni watu wa ajabu sanaUnashangaa hayo, ila hushangai ccm kushinda kwenye kila uchaguzi, huku ikiwa hata haileweki ipo kwa ajili ya wananchi, au ipo kwa ajili ya matumbo ya watu wachache tu kwenye jamii husika!
Umeona utumwa kwenye kukabidhiwa?Akimchukua mke huo nao utakuwa ni utumwa kwani kukabidhiana binaadamu bila ridhaa ya mhusika ni kumkamata kwa nguvu ili atumikishwe, yaani awe mtumwa.