Hivi ndivyo Viwango vya Sauti vinavyokubalika na "NEMC"

Hivi ndivyo Viwango vya Sauti vinavyokubalika na "NEMC"

Sidhani kama ni sahihi!
Viwanda 65dba?
Makazi 35dba?

Hiyo 58dba tu kuna watu mkikaa mita 3 apart hawasikii!

Lengo ni nini? Uchafuzi wa mazingira au kulinda watumiaji?
Kuruhusu watu kufanya yao bila kuingiliana na wenye starehe
 
Huu ni mradi kama miradi mingine.Vipimo gani havina uhalisia.Lengo ni kukusanya pesa sio kutunza mazingira.
 
Katazo hili sio kwenye maeneo ya mabaa pekee yake bali na maeneo mengine ya Makazi, Viwanda, kwa taarifa zaidi soma 👇:-

1. Hospitali, Shule, Vyuo, Maktaba na Nyumba za Wazee Decibel (dBA 35)
2. Jengo la Makazi ni Decibel (dBA 35)
3. Viwanda Vidogo ni Decibel (dBA 50)
4. Eneo la Viwanda ni Decibel (dBA 65)
5. Makazi Mchanganyiko, Biashara na Burudani ni Decibel (dBA 45)

View attachment 2614432

Chanzo: NEMC, ECOKATUNI
Makanisani na misikitini kiwango cha sauti ni decibel ngapi?
 
Hapa kijijini bitaraguru hizo decibel nazipimaje?
Hapo ulipo kuna chanzo cha Kelele?
Kama kuna chanzo cha Kelele, nenda kwenye Playstore ya simu yako, kisha-download "Sound Meter App".

Baada ya kui-download, ifanyie installation, then ifungue kwa ajali ya kunasa mawimbi ya sauti kutoka kwenye chanzo cha Kelele. Kama umepata majibu.
Jaribu kulinganisha dBA ulizozipata na za NEMC? je, zipo chini ya kiwango ama juu ya kiwango. Kama zipo juu ya kiwango ripoti NEMC kwa kuwa muathirika wa Uchafuzi wa Kelele.​
 
Ghetto


Screenshot_20230509-144229.jpg
 
Makanisani na misikitini kiwango cha sauti ni decibel ngapi?
Wameanza kwanza na kwenye Mabaa, majengo ya shule, viwanda na Makazi ya Watu.
Utapata taarifa kamili baada ya mkutano unaokuja kati ya NEMC VS VIONGOZI WA DINI.
 
Wameanza na Kwanza na kwenye Mabaa, majengo ya shule, viwanda na Makazi ya Watu.
Utapata taarifa kamili baada ya mkutano unaokuja kati ya NEMC VS VIONGOZI WA DINI.
Hizo ni mbinu za kutafuta pesa hawana lolote, wanataka watu wakienda club au bar wasisikilize music
 
Naona jinsi watu hawajui kupima dba sababu dba ina husishwa na umbali ukipima dba ukiwa mita 2 toka spika ilipo na ukapima mita 20 toka spika ilipo lazima majibu yatofautiane sasa ni umbali gani unahitajika ili kupata kipimo sahihi? Nadhani mnajua hata kama umefungulia mziki sauti ya chini akiingia umo ndani ambapo wapo wanywaji lazima atasema sauti ipo juu sababu yupo karibu na chanzo.

Inawezekana hata hizo baa walizofungia walienda kuppima dba humohumo baa badala ya kwenda kupima kwenye makazi ya watu ili ijulikane hiyo sauti inafika kwenye hayo makaazi ya watu? Ambao wanakereka na hizo kelele badala yakwenda kupima huko baa sehemu ambayo waliopo hawakereki na hizo kelele.

Hiyo dba 35 hata mtu akikoroma au wakilana inazidi hapo hata chura akifoka inazidi .
Pia hawajatoa elimu juu ya hizo dba maana wangekosolewa na kuonekana hawana akili .

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
You must be fool, yaan kelele za BAR unahitaji kuzipima? Bar iko Km 3 na bado unasikia kelele za music, je waliokaribu na hiyo Bar watakuwa kwenye hali gani?

Tuache uswahili wakati mwingine, huko Ulaya unaweza tembea usisikie hizo kelele mwaka mzima, ukitaka kelele zama indoor huko.
 
Hapo ulipo kuna chanzo cha Kelele?
Kama kuna chanzo cha Kelele, nenda kwenye Playstore ya simu yako, kisha-download "Sound Meter App".

Baada ya kui-download, ifanyie installation, then ifungue kwa ajali ya kunasa mawimbi ya sauti kutoka kwenye chanzo cha Kelele. Kama umepata majibu.
Jaribu kulinganisha dBA ulizozipata na za NEMC? je, zipo chini ya kiwango ama juu ya kiwango. Kama zipo juu ya kiwango ripoti NEMC kwa kuwa muathirika wa Uchafuzi wa Kelele.​
Naona faini ndo zimegeukiwa kuwa chanzo cha mapato baada ya tozo kupigiwa kelele.
 
Naona faini ndo zimegeukiwa kuwa chanzo cha mapato baada ya tozo kupigiwa kelele.​
Sio kweli Mkuu.
Huu ni utaratibu kama utaratibu mwingine, tatizo letu hatupendi Sheria tunataka kuishi kama wanyama pori.

Lazima uelewe Dunia ni uwanja wa fujo, bila sheria kila mtu angefanya anavyotaka ndio maana sheria ipo ilikuweka mizania sawa.​
 
You must be fool, yaan kelele za BAR unahitaji kuzipima? Bar iko Km 3 na bado unasikia kelele za music, je waliokaribu na hiyo Bar watakuwa kwenye hali gani?

Tuache uswahili wakati mwingine, huko Ulaya unaweza tembea usisikie hizo kelele mwaka mzima, ukitaka kelele zama indoor huko.
Kama Earphones ina kiwango cha sauti ambacho mtu ukizidi kuongeza "volume sound" kwenye simu yako inakwambia "Loud sound can damage your inner ear."

Sijui wanaona ajabu gani kwa NEMC kutoa katazo la kelele kwenye Mabaa na kumbi za starehe.
 
Back
Top Bottom