Kitimoto
JF-Expert Member
- Aug 25, 2012
- 6,941
- 7,808
Yule Mzee anazeeka vibaya!Kama Earphones ina kiwango cha sauti ambacho mtu ukizidi kuongeza "volume sound" kwenye simu yako inakwambia "Loud sound can damage your inner ear."
Sijui wanaona ajabu gani kwa NEMC kutoa katazo la kelele kwenye Mabaa na kumbi za starehe.
Hana tofauti na wale wa Mhe. Mpina waliokuwa wakipima samaki waliopikwa kwa rula!