Hivi ndivyo Viwango vya Sauti vinavyokubalika na "NEMC"

Kama Earphones ina kiwango cha sauti ambacho mtu ukizidi kuongeza "volume sound" kwenye simu yako inakwambia "Loud sound can damage your inner ear."

Sijui wanaona ajabu gani kwa NEMC kutoa katazo la kelele kwenye Mabaa na kumbi za starehe.
Yule Mzee anazeeka vibaya!

Hana tofauti na wale wa Mhe. Mpina waliokuwa wakipima samaki waliopikwa kwa rula!
 
hizi taratibu zinafuatwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…