Money Stunna
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 13,053
- 6,304
- Thread starter
-
- #41
Uzi itabidi upelekwe jukwaa la lugha maana wadau badala ya kuchangia mada wengi wamejikita kwenye kuonyeshana umwamba kwenye kiswahili yaani kama ni mkutano mwenyekiti anakuwa ameshindwa kukimudu kikao kwa kuruhusu ajenda zingine ndani ya ajenda kuu, kwa mantinki hiyo hata sie wachangiaji tumetoka kwenye ajenda. Vinginevyo asnate kwa tahadhari uliyotoa mleta uzi
nani aliokwambia watu wote tumesoma kwa kiswahili?
Lugha tamu-lugha nzuri
Wadaha wang,wajifya.Nimegundua wote ni Watanganyika,tusigombee fito mwanituMuniomaho, mimi ni Mzaramo nnaejuwa Kiingereza kuliko wewe.
Elimu ni elimu, iwe Kiswahili au Kichina, lakini wewe hiyo elimu yako, iwe kwa lugha yoyote ile, ni finyu sana, hapo ndipo kwenye tatizo.
Ungekuwa na elimu ya kukutosha, yoyote ile, ungefurahi unapoelekezwa kwa faida yako.
Jadili topic sasa. Ndio maana kuna jukwaa la lugha ungeenda kunirekebishia kule. Sasa jadili topic usichakachue
Elimu ni elimu, iwe Kiswahili au Kichina, lakini wewe hiyo elimu yako, iwe kwa lugha yoyote ile, ni finyu sana, hapo ndipo kwenye tatizo.
Ungekuwa na elimu ya kukutosha, yoyote ile, ungefurahi unapoelekezwa kwa faida yako.
Elimu ni elimu, hata ya madrasa?????? Ungekuta wavaa vipedo wote na wavaa ushungi wanajilipua na kusubiria mabikira 12 peponi? Acha uongo..., Elimu ni elimu ila siyo ya madrasa.
Madrasa = madarasa, mahali watu wanapo durusu, wewe inaonesha hujasomea darasani, ndiy maana umekuwa finyu kiasi hicho.
Madrasa = madarasa, mahali watu wanapo durusu, wewe inaonesha hujasomea darasani, ndiy maana umekuwa finyu kiasi hicho.
Tuwe makini wafanyakazi wengi tunaowaacha kwenye maduka kutokana na ubize wetu siyo waaminifu.
Wafanyakaz wengi huangalia bidhaa inayouzika sana hivo nayeye analeta mzigo wake na anaanza kuuza wa kwake kwanza.
We ukija kupiga hesabu unaona hesabu ziko sawa kumbe yeye anauza wa kwake kwanza.
Muwe mnafanya upelelezi lasivyo mtafilisika. Wafanyakaz wa duka wengi siyo waaminifu na hawana huruma .
Japo si wote wapo wachache waaminifu
ungejuwa maana ya utamu wa lugha usingeandika hayo. Pole sana.
aise kweli wanadhambi mbaya sana .wafanyabiashara inabidi wawe wanashirikiana,ikiwezekana ndugu msaidie huyo mzee kwa kumtaarifu.si vizuri kuona mtu anaangamia alafu ukamwacha aangamieni dhambi sana kwa kweli, mi kuna mtu namjua kabisa anauza duka la simu, anachofanya na yeye anaagiza mzigo wake toka dubai na anauzia hapo hapo dukani kwa boss wake..huyo boss wake anaishi mkoa mwingine ambako ana biashara huko pia kwa hivyo wanajaichia na mizigo yao wanauza yoote, boss akikaribia kuja ndio wanatoa simu zake wanadisplay zao wanazificha..halafu wanasingizia biashara mbaya, kumbe wanauza mizigo yao..
hapo mwenye duka anawalipa mshahara, marupurupu, analipia umeme, kodi ya nyumba, ulinzi, TRA, n.k wao hawalipi chochote na mizigo yao wanauza hapo hapo..fikiria wanapata faida mara ngapi...
kuna siku huyo ndugu yang aliibiwa pesa nyingi, kimoyo moyo nikasema huwenda ni dhambi za kumdhulumu boss wao
we ni tatizo ktk jamii
Asante kwa kunirekebisha. Una lingine la kuongeza au kuchangia kwenye mada
Bibie tuache bhana wewe unayejua Kiswahili nenda BAKITA ukapambane na wenzako wa level zako....huku ni habar za biznar tu wajasiriamali tunatafuta namna ya kuongeza kipato.= Hueleweki.
Hujui Kiswahili na hauna shule ya kushindana na mimi. Nnakusikitikia sana kijana kwa kuacha kuendelea kusoma kwa umri wako ulivyo mdogo na kujishughulisha na mitandao.
Pole sana.