Serikali haiko responsible na liable na makubaliano ya kifedha yoyote yale unayofanya na matapeliSielewi somo na siielewi serikali. Naomba majibu. Hao TCRA na BoT walikuwa wapi muda wote?
Imeisha hiooo mkuu uliza waliolizwa na upatu enzi zile kama HATA robo walizipata hahahaaSielewi somo na siielewi serikali. Naomba majibu. Hao TCRA na BoT walikuwa wapi muda wote?
Mm ndio nachokaga HAPO NDUGUSielewi somo na siielewi serikali. Naomba majibu. Hao TCRA na BoT walikuwa wapi muda wote?
Umewapa kiasi gani hao lblSielewi somo na siielewi serikali. Naomba majibu. Hao TCRA na BoT walikuwa wapi muda wote?
540kUmewapa kiasi gani hao lbl
Kwa sisi wakongwe wa DECI 2008/2009 tunakujulisha kuwa pesa imepotea. Hata kama serikali imechukua hizo ni pesa haramu hazirudishwiSielewi somo na siielewi serikali. Naomba majibu. Hao TCRA na BoT walikuwa wapi muda wote?
Kampuni Hiyo tayari imeshakuwa DECI nyingineSielewi somo na siielewi serikali. Naomba majibu. Hao TCRA na BoT walikuwa wapi muda wote?
Sasa sindio tunaisaka sadaka?? ๐๐Mnaacha kuwekeza kwa Mungu na sadaka na zaka mnakimbilia wahuni LBL one sasa