Hivi ndiyo kusema hela zangu nilizoweka LBL ndiyo zimepotea ama TCRA na BoT watanirudishia?

Mtu aje tuanzishe scam yetu na sisi, maana inaonekana kuna pesa nyingi sana za bure bure upande huo na watu hawajawahi kujifunza kutokana na matukio ya nyuma.... Patterns recorgination nalo ni somo gumu sana inaonekana kwa watized wengi (hasa walimu๐Ÿ˜…).
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ