Al-mukheef
JF-Expert Member
- Feb 2, 2025
- 3,727
- 3,777
Hehehe! Msimpe maji atadanjaKunywa kwanza maji mengi utulie ndio utueleze vizuri... Hapa umefokafoka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hehehe! Msimpe maji atadanjaKunywa kwanza maji mengi utulie ndio utueleze vizuri... Hapa umefokafoka
Nilikuwa na hilo wazo kama vipi tuungane tupige hela maana kuna washkaji huku chuoni eti wanasema wanajichanga wapate mtaji wa kujiunga na kampuni kama hizoMtu aje tuanzishe scam yetu na sisi, maana inaonekana kuna pesa nyingi sana za bure bure upande huo na watu hawajawahi kujifunza kutokana na matukio ya nyuma.... Patterns recorgination nalo ni somo gumu sana inaonekana kwa watized wengi (hasa walimu😅).
Itabidi tuanze na hao😂😂😂😂Nilikuwa na hilo wazo kama vipi tuungane tupige hela maana kuna washkaji huku chuoni eti wanasema wanajichanga wapate mtaji wa kujiunga na kampuni kama hizo
Off course maana wana viherehere hao na hawashaurikiItabidi tuanze na hao😂😂😂😂
Soma hiyoDunia hii Ina nchi nyingi lakini sijui kwanini ni Tanzania tu ndo ikajaliwa wajinga wengi kiasi hiki.......!
Si tungegawanywa kidosgo kidogo Kila nchi ili Tanzania nayo ipumue......!
Tuliwaambia hamkutaka kuelewa tangu miaka ya 2010 humu mnaambiwa kuhusu utapeli wa pyramid schemes hamuelewiSielewi somo na siielewi serikali. Naomba majibu. Hao TCRA na BoT walikuwa wapi muda wote?
Pia soma > LBL: Pyramid Scheme Inayowatapeli Watu kwa Kisingizio cha Uwekezaji
Zikikamatwa zinataifishwaSielewi somo na siielewi serikali. Naomba majibu. Hao TCRA na BoT walikuwa wapi muda wote?
Pia soma > LBL: Pyramid Scheme Inayowatapeli Watu kwa Kisingizio cha Uwekezaji
Biashara haramu haitetewi Wekeza for your own risk. Hata bangi watu wanatumia nguvu zao lakini Siku ukitiwa nguvuni na serikali usiilalamikie. Hizi Pyramid schemes ni hatari sana kwa wananchi na taifa. Ninacholaumu serikali wanachelewq sana kuzichukulia hatuaNani tapeli, DECI au serikali, yaani nani aliyepora hela za watu kinguvu,?
Watu wameamua kuchangishana hela, Leo wanampa huyu, baadae wanachanga wanampa mtu mwingine, halafu ghafra serikali imawapora zile hela, eti hawana kibali, nani mwizi
Kote huko kilio ni kilekile ni swala la mudaWatanzania tunaongoza kuwekeza huko. Ipo gwec pia, ilikuwepo totoal energies na hapa naona wanatangaza nyingine.
Hatimae Milio imeanza kusikikaSielewi somo na siielewi serikali. Naomba majibu. Hao TCRA na BoT walikuwa wapi muda wote?
Pia soma > LBL: Pyramid Scheme Inayowatapeli Watu kwa Kisingizio cha Uwekezaji
Nakumbuka nikiwa chuo 2009 miezi kama hii mzee Pinda anaifungia DECI na kuchukua more than 1B watu waliishi magumu sana. Wapo walioweka ada na wengine boom ili waendelee kula maisha. Mambo yalikuwa magumu mnoo. Unamwambiaje mzazi DECI imesepeshwa na fedha ya ada?Nilikuwa na hilo wazo kama vipi tuungane tupige hela maana kuna washkaji huku chuoni eti wanasema wanajichanga wapate mtaji wa kujiunga na kampuni kama hizo
Hakikisha una sapoti ya watu wazito wa kukulinda otherwise utakua mfano wa kuigwa.Nilikuwa na hilo wazo kama vipi tuungane tupige hela maana kuna washkaji huku chuoni eti wanasema wanajichanga wapate mtaji wa kujiunga na kampuni kama hizo
Upo na mimi!Hivi ni mimi tu najiona ni mgumu sana kuamini hayo mambo ya kupanda na kuvuna sijui networking business...au kuna wengine
Itakuwa ndo lengo.Zikikamatwa zinataifishwa