Chinchiler
JF-Expert Member
- Jul 29, 2022
- 1,513
- 2,019
Kitu chepesi sana fuatilia kampuni ya DESI mwaka 2018 Utapata majibu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niliwaonya kwenye hiyo nyuzi ambayo mods wamekuwekea hapo, ila hamkusikia. Kimewarambaaaaaa!Sielewi somo na siielewi serikali. Naomba majibu. Hao TCRA na BoT walikuwa wapi muda wote?
Pia soma > LBL: Pyramid Scheme Inayowatapeli Watu kwa Kisingizio cha Uwekezaji
Deci gani ya 2018?Kitu chepesi sana fuatilia kampuni ya DESI mwaka 2018 Utapata majibu
Bora aisee tusipigwe kiboyaUpo na mimi!
Kuna ndugu yangu namuonaga mjanja, jana ndio nimejua alijiunga lbl🤣
Sasa 2009 hizo DECI na Tumaini zilikuwaje maana kipindi hicho sidhani kama smartphones zilikuwepo au kama zilikuwepo zilikuwa chacheNakumbuka nikiwa chuo 2009 miezi kama hii mzee Pinda anaifungia DECI na kuchukua more than 1B watu waliishi magumu sana. Wapo walioweka ada na wengine boom ili waendelee kula maisha. Mambo yalikuwa magumu mnoo. Unamwambiaje mzazi DECI imesepeshwa na fedha ya ada?
Wakati huohuo ilikuwepo pyramid scheme nyingine ilitwa Tumaini. Bado watu walienda kuwekeza huko kupanda mbegu ziote. Kwa hiyo tusishangazwe watu wakiendelea kuwekeza kwenye pyramid schemes zingine.
Ngoja niongee na waziri mkuu ndugu yanguHakikisha una sapoti ya watu wazito wa kukulinda otherwise utakua mfano wa kuigwa.
Wakati unapeleka hela LBL uliwasiliana na serikali na TCRA? Walikuambia nini na mlikubaliana nini nao?Sielewi somo na siielewi serikali. Naomba majibu. Hao TCRA na BoT walikuwa wapi muda wote?
Pia soma > LBL: Pyramid Scheme Inayowatapeli Watu kwa Kisingizio cha Uwekezaji
Huwa hamnaga akili hata kidogo, mapunguani..Sielewi somo na siielewi serikali. Naomba majibu. Hao TCRA na BoT walikuwa wapi muda wote?
Pia soma > LBL: Pyramid Scheme Inayowatapeli Watu kwa Kisingizio cha Uwekezaji
😀😀😀😀Kwa sisi wakongwe wa DECI 2008/2009 tunakujulisha kuwa pesa imepotea. Hata kama serikali imechukua hizo ni pesa haramu hazirudishwi
Pole ndugu yanguIla kabla serikali haijaingilia bado watu walikuwa wanaendelea kulipwa, Serikali iingie kwa umakini kunusuru wale walioweka pesa zao zisipotee, Nia ya serikali ni Nzuri, kuwadhibiti ili hata ikitokea hapo baadae wakatoweka waweze kuwa liable na wabanwe na sheria, Ila Serikali iwe makini na approach yake, Ikibidi wahakikishe wale waliokuwepo watoe kwanza pesa zao, taratibu zao ziendelee then wakimalizana warejeshwe, wasipomalizana vilevile isitokee hasara kwa raia yeyote.
Ilikuwa unaenda physically kwenye ofisi zao mnapanga foleni kupanda mbegu kama mko bank. Unapewa risiti yenye number ya kutolea pesa kila baada ya wiki mbiliSasa 2009 hizo DECI na Tumaini zilikuwaje maana kipindi hicho sidhani kama smartphones zilikuwepo au kama zilikuwepo zilikuwa chache
Watu mnapenda kitonga. Kwahiyo mkuu ulitegemea utapata hela kiurahisi hivyo.Sielewi somo na siielewi serikali. Naomba majibu. Hao TCRA na BoT walikuwa wapi muda wote?
Pia soma > LBL: Pyramid Scheme Inayowatapeli Watu kwa Kisingizio cha Uwekezaji
Duuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuh!!!Ilikuwa unaenda physically kwenye ofisi zao mnapanga foleni kupanda mbegu kama mko bank. Unapewa risiti yenye number ya kutolea pesa kila baada ya wiki mbili
Yanapita sasa hayo maji😀😀😀😀😀Kunywa kwanza maji mengi utulie ndio utueleze vizuri... Hapa umefokafoka
Biashara ya pesa bila vibali na serikali kutopata kodi unaingia kwenye kesi za uhujumu uchumi na money laundering.Ila kabla serikali haijaingilia bado watu walikuwa wanaendelea kulipwa, Serikali iingie kwa umakini kunusuru wale walioweka pesa zao zisipotee, Nia ya serikali ni Nzuri, kuwadhibiti ili hata ikitokea hapo baadae wakatoweka waweze kuwa liable na wabanwe na sheria, Ila Serikali iwe makini na approach yake, Ikibidi wahakikishe wale waliokuwepo watoe kwanza pesa zao, taratibu zao ziendelee then wakimalizana warejeshwe, wasipomalizana vilevile isitokee hasara kwa raia yeyote.
DECI ilimeza watu wengi sana maana waliipenyeza kwenye taasisi za kidini za kilokole. Fikiria watu walivyonaswa.Duuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuh!!!