Hivi ndiyo kusema hela zangu nilizoweka LBL ndiyo zimepotea ama TCRA na BoT watanirudishia?

Hivi ndiyo kusema hela zangu nilizoweka LBL ndiyo zimepotea ama TCRA na BoT watanirudishia?

Sielewi somo na siielewi serikali. Naomba majibu. Hao TCRA na BoT walikuwa wapi muda wote?
nimejikuta nacheka tuuuu 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀
 
Sielewi somo na siielewi serikali. Naomba majibu. Hao TCRA na BoT walikuwa wapi muda wote?
Imepotea hakuna cha TCRA na BOT ndo washasepa hivyo naona kwenye magroup wanawapanga eti viongozi wanakuja kuongea na BOT ili kutimiza matakwa ya sheria za malipo za BOT sijui wanasafisha system hadi tarehe 25 so hamtaweza kutoa fedha.
Ndipo wanamalizia kutoa fedha kwenye line wanasepa hivyo hamtawaona hata hiyo jumatano.
 
Kwa sisi wakongwe wa DECI 2008/2009 tunakujulisha kuwa pesa imepotea. Hata kama serikali imechukua hizo ni pesa haramu hazirudishwi
Nani tapeli, DECI au serikali, yaani nani aliyepora hela za watu kinguvu,?
Watu wameamua kuchangishana hela, Leo wanampa huyu, baadae wanachanga wanampa mtu mwingine, halafu ghafra serikali imawapora zile hela, eti hawana kibali, nani mwizi
 
Sielewi somo na siielewi serikali. Naomba majibu. Hao TCRA na BoT walikuwa wapi muda wote?
Nyinyi ndiyo wale wapumbavu mnaopigia kura ccm ....kwani amjui kuwa hao matapeli wa hivyo ni makada na makomredi wa ccm .... nikama matapeli wa dini tu ...hivyo mkubali tu kuwa ambia watoto wenu kuwa nyinyi ni wapumbavu kati ya watanzania
 
Nani tapeli, DECI au serikali, yaani nani aliyepora hela za watu kinguvu,?
Watu wameamua kuchangishana hela, Leo wanampa huyu, baadae wanachanga wanampa mtu mwingine, halafu ghafra serikali imawapora zile hela, eti hawana kibali, nani mwizi
Serikali pesa za lbl hazichukui maana hata hao iliowakamata hizo fedha si wao wenye nazo hata mwenye lbl hawamjui. Lbl itakuwa inamilikuwa na wanaija au wakenya whether serikali ingeingilia au kutokuingilia kusepa ilikuwa lazima.ponze scheme lazima ifike mwisho maana hakuna biashara pale ni pesa ya huyu anapewa faidi huyu hivyo ili iendelee kuwepi ni lazima waendelee kuingia watu.
Kalynda, totoal energies zilifika mwisho pasipo serikali kuingilia. Na lbl ilikuwa inaelekea mwisho ndiyo maana hata kutoa pesa walifanya kila level iwe mara 1 kwa week ila kuanza kukamatwa ma team leader kumewafanya wawahi mapema maana wamejua wanaojiunga watapungua.
 
Mkuu usichoke

Nenda jiunge na jamaa WA pi minning
 
Ukipigwa huko nenda exk
Ama bitc

Never give kutoka kunahitaji Neema

Pale kipungun aliibuja mhaya kusambaza matangazo anagawa vifaranga watu wajiunge

Walipojiunga akaitisha mkutano
Watajazana wamama kama wote wakambiwa waongexe watu

Wakaenda it's watu kibao watajazana

Alawambia kiingilio alf kumi inaingia kwenye list ya vifaranga

Haha watu wakatoa alipoona wanalipa wengi akapandisha 36000

Watajazana kibao kulipa alawambia sasa zoezi la vifaranga LIKO na MAZUNGUMZO na bank ya MAENDELEO

Kwa sasa ungen ma grp alafu mtafute watu WA kuwekeza kwangu

Million 3 anapata m4 kwa mwezi

Wewe wakajaa chaka kibao hao waliostaafu ndio balaaaaaaaa

Jamaa BAADA ya KUMALIXA mkakati wake AKANZA kitengeneza UNGA nk


NKAMWAMBIA huyu tapeli JAMAN mtaniambia

Hahahaaaaaa gafla ofisis ikafungwa

Wanaitwa.

Tancet

Hivi sasa wananchi wanashinda kwa mpogolo mkuu WA wilaya kila siku kudai pesa zao

Jamaa alikaa ndana kidogo akaenda zake marekani
 
MJINI kutamu sana ukiwa na akili na uwezo WA kuhamasisha michango uneula ingawa Ina LAANA loh
 
Back
Top Bottom