Hivi ndiyo kusema hela zangu nilizoweka LBL ndiyo zimepotea ama TCRA na BoT watanirudishia?

Hivi ndiyo kusema hela zangu nilizoweka LBL ndiyo zimepotea ama TCRA na BoT watanirudishia?

Hawawezi kuelewa kabisa mkuu hata uwaeleze nini wao wanaamini kabisa ilikuwa ni ya kudumu.
Kuna kipindi waliwaonyesga jengo la serikali liko dodoma wakawambia ni ofisi za lbl wanamalizia kujenga nilicheka sana. Ungekuwa kwenye group ungejua jinsi gani watanzania wengi ni wajinga. Ila asilimia kama 30% wanajua kuwa ni ponze scheme wanaingia mapema na ikifa wanahamia kwingine.
Mimi nimeingia lbl september na nlitegemea haifiki december. Nikala ela ilipofika november au december akaunti nikampa mdogo wangua endelee kula gawio maana nlikuwa nishakula nilichoweka na faida mara 2.
Aloo wagumu sana kuelewa wabongo
 
Kuna wao au serikali kuingilia kati kabla ya malengo kutimia
Mkuu serikali haiingiliagi vitu vya kipuuzi wao toka ishue inaanza wanajua ni mfumo wa bwana Charles Ponzi sasa huwa wanachukua chao mapema, serikali iliingilia kati Desi sababu wao ilizidi watu walikuwa hata kazini hawaendi folen ya desi inazid folen ya watu kuingia uwanja wa taifa siku simba ikicheza na yanga, serikali inawaektia tu imengilia kati lakin hela zenu hazirudi, kwani kalynda walifanywa nini walivyowapiga ?
 
Jaman hivi ninyi watu mtaelewa lini hizi ponzi scheme ? Bro hii mifumo aliianzisha bwana mkubwa mmoja Muitaliano (Mhuni wa Torino) anaitwa Charles Ponzi, kwamba early investors watalipwa na new investors alafu wanaiua. Kinachonishangaza unaamini kabisa wamekwamishwa na serikali? Kwan mkuu mnakuwaga mmelishwa madawa ya kuleta? Hawajakwamishwa na gavament hawa wametembea kibingwa ila kwakuwa wana associates ambao ninyi mnawajua ni wabongo wenzenu basi hiyo kukwamishwa ni mbinu ya kuwauliza, mkuu amka usingizini saivi ni mchana watu kariakoo wanauza bidhaa wengine wanaibia wateja ilimradi zote kazi na zote wanapata kipato, hakuna hela yakudownload...
Binafsi mimi sipo huko kiongozi, nimetoa tu maoni kulingana na matukio kama hayo kujirudia na wajanja kutoweka na pesa za watu!
 
Serikali haifanyi kazi kijinga namna hii
Umeshamjua mwizi, Utamuua au utambana alipe mali za watu kisha umuadhibu? Hawajakosea kuwahi kabla majanga hayajatokea, Ila kuwatimua kabla hawajarejeshea kile walichochukua haitakuwa fundisho kwa kampuni zingine kama hizo.Binafsi mimi sipo huko kiongozi, nimetoa tu maoni kulingana na matukio kama hayo kujirudia na wajanja kutoweka na pesa za watu!
 
Biashara ya pesa bila vibali na serikali kutopata kodi unaingia kwenye kesi za uhujumu uchumi na money laundering.

Na pesa yoyote ikipatikana kwenye biashara za aina hiyo ni mali ya serikali hairudishwi kwa walengwa. Hiyo imeisha mkuu
Binafsi mimi sipo huko kiongozi, nimetoa tu maoni kulingana na matukio kama hayo kujirudia na wajanja kutoweka na pesa za watu!
 
Binafsi mimi sipo huko kiongozi, nimetoa tu maoni kulingana na matukio kama hayo kujirudia na wajanja kutoweka na pesa za watu!
Huko hapafai kaka hapafai kabisa hili kila sehemu na hautasikia mtu yeyote kashitakiwa na serikali na unakuta kampuni ilisajiliwa BRELA na ilikuwa inalipa kodi vizuri tu ndio ujue utapeli wao unaanzia mbalii
 
Hadi kufika december kampuni za namna hii zaidi ya 10 zitakua zipo na kama kawaida haziwezi kosa watu. So trend ni ile ile kila mwaka.

In short summary kuna uhitaji mkubwa sana wa kipato
 
Kula chuma hicho mkuu cha wana lbl
 
Back
Top Bottom