Hivi ndiyo kusema hela zangu nilizoweka LBL ndiyo zimepotea ama TCRA na BoT watanirudishia?

Hivi ndiyo kusema hela zangu nilizoweka LBL ndiyo zimepotea ama TCRA na BoT watanirudishia?

DECI ilimeza watu wengi sana maana waliipenyeza kwenye taasisi za kidini za kilokole. Fikiria watu walivyonazwa.
Watu walitoa pesa kwenye account zao za bank, wengine walikopa ilimradi wapande waendelee kuvuna. Chuoni kulikuwa na in-service fulani mke na mume walikuwa wanaingiziwa boom kila mmoja 3M. Wakazichanga zote 6M wakazipanda bwana. Week moja mbele Mzee Pinda anaifunga DECI na kutupa ndani baadhi ya

DECI ilimeza watu wengi sana maana waliipenyeza kwenye taasisi za kidini za kilokole. Fikiria watu walivyonazwa.
Watu walitoa pesa kwenye account zao za bank, wengine walikopa ilimradi wapande waendelee kuvuna. Chuoni kulikuwa na in-service fulani mke na mume walikuwa wanaingiziwa boom kila mmoja 3M. Wakazichanga zote 6M wakazipanda bwana. Week moja mbele Mzee Pinda anaifunga DECI na kutupa ndani baadhi ya wahusika. Ilikuwa balaa
Duh
 
Ila kabla serikali haijaingilia bado watu walikuwa wanaendelea kulipwa, Serikali iingie kwa umakini kunusuru wale walioweka pesa zao zisipotee, Nia ya serikali ni Nzuri, kuwadhibiti ili hata ikitokea hapo baadae wakatoweka waweze kuwa liable na wabanwe na sheria, Ila Serikali iwe makini na approach yake, Ikibidi wahakikishe wale waliokuwepo watoe kwanza pesa zao, taratibu zao ziendelee then wakimalizana warejeshwe, wasipomalizana vilevile isitokee hasara kwa raia yeyote.
Serikali haifanyi kazi kijinga namna hii
 
Imepotea hakuna cha TCRA na BOT ndo washasepa hivyo naona kwenye magroup wanawapanga eti viongozi wanakuja kuongea na BOT ili kutimiza matakwa ya sheria za malipo za BOT sijui wanasafisha system hadi tarehe 25 so hamtaweza kutoa fedha.
Ndipo wanamalizia kutoa fedha kwenye line wanasepa hivyo hamtawaona hata hiyo jumatano.
Hahaha ndio wanavyowaambia? Ila juz si niliwaambia hawa hawarudi watu wakanitukana. Hao washasepa tayari...
 
Hahaha ndio wanavyowaambia? Ila juz si niliwaambia hawa hawarudi watu wakanitukana. Hao washasepa tayari...
Eeh na watu wanaamini halafu group wakafunga msgs eti mpaka jumatano ili watu wasilete taharuki. Ndo washasepa tu
 
Ila kabla serikali haijaingilia bado watu walikuwa wanaendelea kulipwa, Serikali iingie kwa umakini kunusuru wale walioweka pesa zao zisipotee, Nia ya serikali ni Nzuri, kuwadhibiti ili hata ikitokea hapo baadae wakatoweka waweze kuwa liable na wabanwe na sheria, Ila Serikali iwe makini na approach yake, Ikibidi wahakikishe wale waliokuwepo watoe kwanza pesa zao, taratibu zao ziendelee then wakimalizana warejeshwe, wasipomalizana vilevile isitokee hasara kwa raia yeyote.
Jaman hivi ninyi watu mtaelewa lini hizi ponzi scheme ? Bro hii mifumo aliianzisha bwana mkubwa mmoja Muitaliano (Mhuni wa Torino) anaitwa Charles Ponzi, kwamba early investors watalipwa na new investors alafu wanaiua. Kinachonishangaza unaamini kabisa wamekwamishwa na serikali? Kwan mkuu mnakuwaga mmelishwa madawa ya kuleta? Hawajakwamishwa na gavament hawa wametembea kibingwa ila kwakuwa wana associates ambao ninyi mnawajua ni wabongo wenzenu basi hiyo kukwamishwa ni mbinu ya kuwauliza, mkuu amka usingizini saivi ni mchana watu kariakoo wanauza bidhaa wengine wanaibia wateja ilimradi zote kazi na zote wanapata kipato, hakuna hela yakudownload...
 
Hawa wanakuwaga mifumo washaiset ikifikisha kiwango fulan cha pesa isitishe activities maana wao watakuwa washafikia malengo na hawa wanasepa very soon
Kuna wao au serikali kuingilia kati kabla ya malengo kutimia
 
Jaman hivi ninyi watu mtaelewa lini hizi ponzi scheme ? Bro hii mifumo aliianzisha bwana mkubwa mmoja Muitaliano (Mhuni wa Torino) anaitwa Charles Ponzi, kwamba early investors watalipwa na new investors alafu wanaiua. Kinachonishangaza unaamini kabisa wamekwamishwa na serikali? Kwan mkuu mnakuwaga mmelishwa madawa ya kuleta? Hawajakwamishwa na gavament hawa wametembea kibingwa ila kwakuwa wana associates ambao ninyi mnawajua ni wabongo wenzenu basi hiyo kukwamishwa ni mbinu ya kuwauliza, mkuu amka usingizini saivi ni mchana watu kariakoo wanauza bidhaa wengine wanaibia wateja ilimradi zote kazi na zote wanapata kipato, hakuna hela yakudownload...
Hawawezi kuelewa kabisa mkuu hata uwaeleze nini wao wanaamini kabisa ilikuwa ni ya kudumu.
Kuna kipindi waliwaonyesga jengo la serikali liko dodoma wakawambia ni ofisi za lbl wanamalizia kujenga nilicheka sana. Ungekuwa kwenye group ungejua jinsi gani watanzania wengi ni wajinga. Ila asilimia kama 30% wanajua kuwa ni ponze scheme wanaingia mapema na ikifa wanahamia kwingine.
Mimi nimeingia lbl september na nlitegemea haifiki december. Nikala ela ilipofika november au december akaunti nikampa mdogo wangua endelee kula gawio maana nlikuwa nishakula nilichoweka na faida mara 2.
 
Shaka Ondoa Utalipwa Pesa Zako,,Endelea Kucheza Zaidi,,Mtandao Ulitetema.
 
Kwani wakati wa DECI ilikuwaje? Serikali ilirudisha hata senti ya mtu? Ila serikali inawajibika kwa kurususu wananchi waumie na wakati serikali ina vyombo vya dola.
 
Back
Top Bottom