Hivi ndo vitoto vinavyonyima usingizi wanaume wa Dar

Hivi ndo vitoto vinavyonyima usingizi wanaume wa Dar

sizani kma kweli wapiga tukio ni hawa huwa kuna mambo ya ovyo saana yafanyikagan tuseme eneo lililovamiwa polisi wanaenda mida ya saa 2 usiku wanakamata tu ovyo watu wanaozurura usiku na wanaokaa vijiweni.
 
Dah inasitisha kwel! Vije uku mbeya navinyonga vyotr kwa mkono wa kushoto
 
Nyie chugga ni weupe sana hao panya wakija huko kwenu jiji litabaki jeupe ndani ya nusu saa unakumbuka fiesta ya kule chugga mlivyobakwa na watoto wa umbwa!
Chuga kuba teleza anawala wake zao kila siku na mabinti wadogo wamemchindwa yuko mwenyewe tu
 
Inaniwia vigumu kuwalaumu vijana wa Dar....maana Dar es salaam mwili wako ndio rasilimali yako pekee inayokufanya uishi na kumudu gharama za maisha ya mjini......

Hivyo huna budi kujichunga sana na majanga ambayo yanaweza kukuweka nje ya shughuli zako kwa kipindi kirefu....

Hao vijana wanaoitwa PANYA ROAD huwa wanafanya ambush na huwa wanakuwa wengi kwa wakati mmoja....jaribio lolote la wewe kujirinda au kutaka kukabiliana nao linaweza kukuletea madhara makubwa sana....au hata kugharimu maisha yako.....kwanini ujiweke hatarini ili uonekane shujaa wakati unaweza ukajiepusha na bado ukabaki salama.........

SIKU ZOTE KWA SHUJAA KUNAENDA KILIO......

NB;
Nawashauri vijana kama kuna nafasi ya kuwaepuka au hata kuwakimbia ni vyema kufanya hivyo kuliko kujaribu kuonekana shujaa......labda kama umebananishwa na wanakushambulia na unahitaji kupigania maisha yako..........
 
Hao watakua Panya buku, sidhani kama ndio wale Panya rodi wanaotishia usalama wa wanadaslam 🐒
 
Inaniwia vigumu kuwalaumu vijana wa Dar....maana Dar es salaam mwili wako ndio rasilimali yako pekee inayokufanya uishi na kumudu gharama za maisha ya mjini......

Hivyo huna budi kujichunga sana na majanga ambayo yanaweza kukuweka nje ya shughuli zako kwa kipindi kirefu....

Hao vijana wanaoitwa PANYA ROAD huwa wanafanya ambush na huwa wanakuwa wengi kwa wakati mmoja....jaribio lolote la wewe kujirinda au kutaka kukabiliana nao linaweza kukuletea madhara makubwa sana....au hata kugharimu maisha yako.....kwanini ujiweke hatarini ili uonekane shujaa wakati unaweza ukajiepusha na bado ukabaki salama.........

SIKU ZOTE KWA SHUJAA KUNAENDA KILIO......

NB;
Nawashauri vijana kama kuna nafasi ya kuwaepuka au hata kuwakimbia ni vyema kufanya hivyo kuliko kujaribu kuonekana shujaa......labda kama umebananishwa na wanakushambulia na unahitaji kupigania maisha yako..........
Mwaka 2016, ilimtokea jamaa yetu mitaa ya Kigamboni. Ile kafika kwake kakuta madogo nje ya geti kama wa5 hivi 12 - 16 yrs. Ile Kuwauliza mnafanyaje hapa? Vikamwambia achana na sisi akaanza kuvizungua kumbe bana tuna visu mixer viwembe.

Huku na kule jamaa akaanza kumkwida mmoja wao, ndio hapo sasa vikajibu mapigo kwa kumchoma na visu hadi kutoa utumbo, jamaa aliwahiswa hospitali baada ya wiki akafariki dunia.

Ni sahihi kabisa, ubabe haulipi linapokuja suala la hao wapuuzi. Ni bora kujifanya mjinga.
 
Yaani hawa watoto wanawafanya nyie wanaume wa Dar msilale.....

View attachment 2208576
Wanajamvi hum kila mtu anajiona baunsa kwenye eneo lake, kama wasukuma na wandamba wa kule kilombero.
Msukuma haogopi poli, anaishi na chatu kama rafiki yake, wakati mndamba haogopi mamba. Mto una mamba kama wote lakini mndamba anavuka.
Sasa nyie wanaume wa mikoani kama kuna maajabu mnafanya, mnakuja Dar kufanya nin?
 
Back
Top Bottom